Rais Samia Vunja Baraza la Mawaziri Nchi ipone. Waziri Majaliwa Habebeki

Rais Samia Vunja Baraza la Mawaziri Nchi ipone. Waziri Majaliwa Habebeki

a
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa

Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda🤣🤣

akivunja hao atakawateua watatoka mbinguni au watakuwa wale wale wa CCM?kama ndo hao hao unategemea kutakuwa na badiliko gani?unamtoa chui unamteua simba wapi na wapi.tutafute kwanza katiba ya wananchi ambao itaharmonize hayo mambo.
 
a




akivunja hao atakawateua watatoka mbinguni au watakuwa wale wale wa CCM?kama ndo hao hao unategemea kutakuwa na badiliko gani?unamtoa chui unamteua simba wapi na wapi.tutafute kwanza katiba ya wananchi ambao itaharmonize hayo mambo.
Kuna ahueni kwenye kila mwanzo mpya. Wapo wanaomudu hiyo nafasi.
 
Hili ombi likitekelezeka mnistue…
Mazingira
Fedha
Nishati
Habari
Wakitoka hawa basi utabiri utatimia
Kila MTz akiamua kuteua anayempenda yeye kuwa waziri basi hii nchi itakuwa ya wendakuzimu.

Kila siku maneno maneno tu hakuna anayeridhika
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda🤣🤣
Baada ya kuvunja hilo baraza na kumteu waziri mkuu mwingine, una ndugu yako ndio unmwombea ateuliwe. familia za wapigaji mnanyoloshwa vibaya mpaka wivu unawashika pabaya.
 
acha upumbavu na chuki za kike nenda kaolewe, majaliwa kafanya nini huna hata point ya kuleta huna ushahidi majaliwa kafanya nini? wewe huna akili utamfananisha majaliwa na kiongozi gani hapa tanzania waliobaki majaliwa ni kipenzi na mategemeo ya wengi ndie rais ajae, huyo mama yako utamfananisha na majaliwa kwa uongozi bora? aaawapi hamfikii hata robo
 
PM hana shida na wala hajawahi tuhumiwa kwa upigaji - huyu ni kiongozi mahiri sana
 
Back
Top Bottom