Rais Samia Vunja Baraza la Mawaziri Nchi ipone. Waziri Majaliwa Habebeki

Rais Samia Vunja Baraza la Mawaziri Nchi ipone. Waziri Majaliwa Habebeki

apangiwe kazi nyingine.
Mlolongo wote ulotaja wa uozo wake kiuongozi bado unataka apangiwe kazi nyingine! Kazi gani hiyo inayofaa watu wasiojiweza ?

Hivi kina Boris Johnson na Lizz Truss wamepangiwa kazi nyingine au wameungana na raia wenzao kupambana na maisha mtaani?

Legacy za Mwalimu Nyerere hizi, uki feli pamoja anaku recycle pengine. Nyakati zimebadilika, tulikuwa milioni 8 sasa tuko milioni 60, Majaliwa mmoja hana hati miliki ya kufia uongozini. Piga chini mazima, ex-prime minister hawezi kufa njaa mtaani, mbona sisi hatufi ?
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda[emoji1787][emoji1787]
Huyu bwana pia siyo msafi. Pale Dodoma, nyumba kajengewa na mfanyabiashara. Je, yeye anamlipa nini huyo mfanyabiashara?
 
Huyi bwana pia siyo msafi. Pale Dodoma, nyumba kajengewa na mfanyabiashara. Je, yeye anamlipa nini huyo mfanyabiashara?
Nasubiri watema nyongo Wamalize hasira zao, then tuanze jadiliana kwa hoja bila kutetea wala kuonea. Kuna watu wametuma kuzima mjadala, watazima wao. Kwanza watuambie hela za Visa kazipeleka wapi sababu hazina hazipo na yeye alitoa maelekezo
 
Nasubiri watema nyongo Wamalize hasira zao, then tuanze jadiliana kwa hoja bila kutetea wala kuonea. Kuna watu wametuma kuzima mjadala, watazima wao. Kwanza watuambie hela za Visa kazipeleka wapi sababu hazina hazipo na yeye alitoa maelekezo
Hoja dhaifu, wanaohusika ni home na foreign affairs yeye hapo anahusishwaje?
Our Prime minister is there to stay no matter what.
 
Hamuoni aibu?
Kila mwenye akili timamu akisoma maelezo yako uanjua wewe na kundi lako ndiyo tatizo na Kassim Majaliwa ni kikwazo kwenu.
Siasa hizi za maji taka ziliisha na utawala wa JK. Cha kushangaza zimerudi kwa kasi awamu ya Mh. Samia sasa sijui tuamini tuhuma za kwamba JK ndiyo ameshika remote awamu hii ya Mh.Samia?

Mh.Samia umezidi kupoa sana kiasi kwamba kila takataka za enzi za JK zimerudi kama vile tuna kiongozi dhaifu kama wakati ule. Nimemnukuu John Mnyika suala la udhaifu wa kiongozi awamu ile.
Aliyoandika Tito Magoti umeweza kujibu hata moja?
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda🤣🤣
Yan majaliwa abaki Tu , Kwa kweli akitoka huu Mzee nchi itaibiwa vibaya mno
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda[emoji1787][emoji1787]

Una mawazo potofu sana wewe,Huyu baba utendakazi wake ni mzuri Sana unataka uingie wewe?shame upon you!!
 
Mtatoana Roho kwa Vita Ya Uraisi
Urais ni mtamu Anko !! Kila kitu kinakuwa rahisi tu kwako!! Hata mimi ningependa niupate , wacha waugombee tu kila mtu ana haki ya kufanya hivyo lakini mwisho wa siku Rais atakayekalia kiti ni mmoja tu wengine watabaki kuukodolea macho tu kama mimi hapa !! 😅
 
Kwani Majaliwa Kasim Majaliwa yeye peke ake kaumbiwa uwaziri mkuu ?

Kiukweli kapwaya saana tena saana anapaswa kuachia ofisi ya umma mwenyewe kwa kuwajibika

Hivi tume alizounda zote ripoti zake zipoje ? Mwenye kumtetea anisaidiq mrejesho ulivyokuwa wa kamati zake.

Kwa nchi za wenzetu alipaswa kujihudhuru tuu kipindi Rais SSH alipochukuwa madaraka.

Maana alikuwa baadhi ya mambo hakuwa muumini wake lakini alibadilika ghafula na kuanaza kuwa sio wa JPM.

Huyu waziri mkuu ndiye alielidanganya taifa kuhusu kifo cha JPM je aluwajibika ?

Kiukweli hafai yeye na baadhi ya mawaziri wote hao hawapaswi kuendelea kuwepo kwenye ofisi za umma .

Waziri mkuu nae ni walewale tu timu msoga hakuna kitu hapo
 
Kwani Majaliwa Kasim Majaliwa yeye peke ake kaumbiwa uwaziri mkuu ?

Kiukweli kapwaya saana tena saana anapaswa kuachia ofisi ya umma mwenyewe kwa kuwajibika

Hivi tume alizounda zote ripoti zake zipoje ? Mwenye kumtetea anisaidiq mrejesho ulivyokuwa wa kamati zake.

Kwa nchi za wenzetu alipaswa kujihudhuru tuu kipindi Rais SSH alipochukuwa madaraka.

Maana alikuwa baadhi ya mambo hakuwa muumini wake lakini alibadilika ghafula na kuanaza kuwa sio wa JPM.

Huyu waziri mkuu ndiye alielidanganya taifa kuhusu kifo cha JPM je aluwajibika ?

Kiukweli hafai yeye na baadhi ya mawaziri wote hao hawapaswi kuendelea kuwepo kwenye ofisi za umma .

Waziri mkuu nae ni walewale tu timu msoga hakuna kitu hapo
Wewe na raisi aliyemteua ni nani wa kujua kiundani uzuri au ubaya wa Majaliwa??

Kama jibu ni wewe; basi Samia hafai kuwa mkuu wa nchi, aondoke!
Kama jibu ni kinyume chake; basi, Anachofanya Majaliwa yuko sahihi kwa mujibu wa aliyemteua.
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda[emoji1787][emoji1787]
Umetumwa na maropes wewe siobure.
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda[emoji1787][emoji1787]
Umeyakanyaga Ccm Hoeeee
Wewe ni Ccm?
 
Wewe na raisi aliyemteua ni nani wa kujua kiundani uzuri au ubaya wa Majaliwa??

Kama jibu ni wewe; basi Samia hafai kuwa mkuu wa nchi, aondoke!
Kama jibu ni kinyume chake; basi, Anachofanya Majaliwa yuko sahihi kwa mujibu wa aliyemteua.

Samahani mkuu wewe upo sayari ya uranusi au Dunia ?

Rais mteuzi wa waziri mkuu hakufanya hicho kitu zaidi alirithiwa kutoka kwa JPM kwa akili yake aliona hiyo ndio njia sahihi ya kuliwin kundi toka Kanda ya ziwa .

Tukija kwenye utendaji kazi hapo ndio kizungumkuti kinaanzia . Kaunda tume ngapi na nini mrejesho wake ?

Huoni hata tu uzembe alioufanya kupitia mfuko wa maafa uliopo kwenye ofisi yake ? Badala ya kwenda kuokoa uhai wa watu yeye katumia kwenda kuwapeleka kwenye nyumba zao za milele(kuzika) hiyo akili matope ?

Kipindi hicho bado tu ameng'ang'ania uwaziri mkuu

Ukija kwenye uongo ndio usiseme kabisa
 
Back
Top Bottom