Rais Samia Vunja Baraza la Mawaziri Nchi ipone. Waziri Majaliwa Habebeki

Rais Samia Vunja Baraza la Mawaziri Nchi ipone. Waziri Majaliwa Habebeki

Daaah mtu kateseka,katoka mbali kafika on top,alafu mjinga mjinga mmoja anakuja andika mtandaoni kuhusu kujiuzulu,
Anafurahisha[emoji1787][emoji1787]
Siungi mkono hoja ya mtoa hoja, ila nafasi ni dhamana haimaanishi ufanye vibaya uchekewe tuu.
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda🤣🤣
Kwani samaki anaanzia wapi kuoza? Hivi kuna nyoka anayeuma baada ya kumkata kichwa chake?

Nafikiri sote tujitafakari tunaitendea nini nchi yetu. Kumnyooshea mtu mmoja kidole kama vile wengine wako vizuri sana ni uonevu.

Ipo haja ya kulltafakari nini tatizo na kuamua kweli kushughulika nalo.
Tusijidanganye tumesimama...tutaangukia pua
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda🤣🤣
Wanakutuma kuja kuandika andika huku

Mtanyooka tu
 
Siungi mkono hoja ya mtoa hoja, ila nafasi ni dhamana haimaanishi ufanye vibaya uchekewe tuu.
Kafanyaje vibaya?nyie CCM acheni majungu na fitina kisa vyeo

Ndio maana Magufuli alikua anawanyoosha wote uwe ccm kindakindaki au usiwe.
Mnapenda kufitiniana sana na kujipendekeza kwa ajili ya kupata vyeo
 
Waokojaji hawaonekani...Wizara ya Kassim..
Vyakula vinapanda Bei huku waziri wa kilimo anashupaa mipaka haitafungwa...

Mabando yanapanda bei ..waziri kiimya...

Mradi kila waziri keshaanza kuwa mzigo
Wakati Wa Jiwe Anawatimua Mchana Kweupe
 
Nimekaa paleee nasoma comments, halafu namuwaza aliyeandika huu uzi akiona comment hazipo upande wake anajifeel vipi kwasasa… CCM iwe makini sana, wamuache Mama afanye kazi wamuandalie njia 2025, mkianza kutafuta vyeo kwasasa mtapoteza focus…
 
Alisema kwan wabunge kule mpo wangap. Akasema 19 ,akasema naweza kuwatoa wote kwan bunge litashindwa kuendelea


Jiwe Huyo
 
Kwanini asijivunje yeye rais kwanza
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda🤣🤣
Mbona hii umeandika kimajungu majungu,naona umesubiri uteuzi umeona hupati sasa unaamua kuchafua watu ukijua na wewe utapenya...
 
Kafanyaje vibaya?nyie CCM acheni majungu na fitina kisa vyeo

Ndio maana Magufuli alikua anawanyoosha wote uwe ccm kindakindaki au usiwe.
Mnapenda kufitiniana sana na kujipendekeza kwa ajili ya kupata vyeo
Ndugu mimi nazungumzia dhana ya uwajibikaji huwa haiangalii mtu ametokea wapi bali kuwajibika ni uungwana wa kuonesha unafahamu dhima ya dhamana.

Narudia sipo hapa kuchochea chochote wala mtu yeyote apoteze nafasi yake kisa majungu ya watu wachache.
 
Alisema kwan wabunge kule mpo wangap. Akasema 19 ,akasema naweza kuwatoa wote kwan bunge litashindwa kuendelea


Jiwe Huyo
Sauti ya kimamlaka !! Kwakweli jamaa alikuwa na sauti ya kimamlaka !! Japo alikuwa na mapungufu yake !!
 
Kwani hili bwawa la kidunda huwa linajengwa mdomoni tuu, maana kuna yule jamaa anaitwa sijui luhemeja kila akiibuka anakuja na single ya bwawa la kidunda.......tuonyesheni huko lilikojengwa tuakaambulie hata ndoo mbili za maji bhanaaa....​
 
Back
Top Bottom