Rais Samia Vunja Baraza la Mawaziri Nchi ipone. Waziri Majaliwa Habebeki

Rais Samia Vunja Baraza la Mawaziri Nchi ipone. Waziri Majaliwa Habebeki

Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda🤣🤣
Anza na makamba Kwanza na genge lake ndo umshutumu Majaliwa
 
Huu uchochezi..anashindwa kujiuzuru January kwa kusema uongo kila siku na kushindwa kusiamia wizara... PM mnamtafuta ili mlambe asali vizuri AU SIO?
 
Umeandika maandishi mareeeefu lakn hayana mashiko, haya msingi wa hoja zaidi vioja tu

Mapungufu ya PM ni yapi hayo kiasi ipelekee hadi kuondolewa na Baraza kuvunjwa????

Mamá yupo busy nje ya nchi kutafuta pesa za kuendesha miradi nchini na kuvuta wawekezaji wakubwa,
Ila ndani ya nchi kamuamini PM Majaliwa kuendesha na kusimamia shughuli zote kwa umakini mkubwa, na anajitahidi Kubana mianya ya upigaji japo kuna baadhi ya watendaji wake 'waliomzidi kimamlaka' wanamuangusha na anashindwa kuwaadhibu kwasbb wapo kwa mkono wa JK na JK ndie mástermind wa Mama
Shida ndo ipo hapa , mfano uhujumu wa wazi wazi uliopo sekta ya maji , ukiwa umeshikwa na sekta ya nishati , je majaliwa ana uwezo wa kuwatunishia msuli Msoga gang? Huku mwigulu naye ana madudu kibao na yeye anamtunishia majaliwa , Leo hii ngojera kubwa ni kuhusu majaliwa how comes ????
Uzuri mama Samia anajua what is real going on , hata yeye anajua Hana maamuz dhidi ya magenge haya hatar , ajimalizie tuu miaka yake ya urithi ajikalie mpak mwenyezi Mungu atakapoamua mwenyewe ku_rescue hii nchi ya walala hoi na wajinga
 
Ww utakuwa na chuki zako binafsi moja kati ya viongozi makini ni waziri mkuu, hayupo katika upigaji naona anawaminya mnakosa raha he!! Na bado
 
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda[emoji1787][emoji1787]
Hapa naona tatizo lako siyo waziri mkuu,bali tatizo lake ni uwaziri mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu wasiompenda Rais Samia wanapenda kumdanganya kuwa anadharaulika kwasababu ya jinsia yake. Hawamwambii ule ukweli kwamba ikiwa anadharaulika sababu halisi ni nini? Mwinyi kwa maamuzi yake aliitwa Mzee Ruksa na kuna mtu tena bungeni aliwahi kumuita Rais wa nchi dhaifu. Ila kwa Mama ni jinsia! Acheni kutudharau wanawake. Mama afanye tu reflection ya maamuzi yake na atathmini waliomzunguka bila kujiwazia kuwa anadharauliwa kwa kuwa ni mwanamke. Na achukue hatua kwa facts sio hisia.
 

Attachments

  • Screenshot_20220607-105948.png
    Screenshot_20220607-105948.png
    333.6 KB · Views: 10
Watu wasiompenda Rais Samia wanapenda kumdanganya kuwa anadharaulika kwasababu ya jinsia yake. Hawamwambii ule ukweli kwamba ikiwa anadharaulika sababu halisi ni nini? Mwinyi kwa maamuzi yake aliitwa Mzee Ruksa na kuna mtu tena bungeni aliwahi kumuita Rais wa nchi dhaifu. Ila kwa Mama ni jinsia! Acheni kutudharau wanawake. Mama afanye tu reflection ya maamuzi yake na atathmini waliomzunguka bila kujiwazia kuwa anadharauliwa kwa kuwa ni mwanamke. Na achukue hatua kwa facts sio hisia.
Kama anadharaulika jaribuni kufanya tukio tuone hapo ndio tutapata majibu.
 
Magufuli alisema kuna watu walishaagiza suti wakijiandaa na Uwaziri mkuu lakini akamchagua Majaliwa ambaye hata hakujua kama atakuwa.

Kundi la walioshona suti ndio linamkaanga majaliwa sasa, na watamkaanga sawa sawa.
Wacha waumane tu hawa mafisiem
 

Attachments

  • FB_IMG_1644236040854.jpg
    FB_IMG_1644236040854.jpg
    15.8 KB · Views: 8
  • FB_IMG_1616545580714.jpg
    FB_IMG_1616545580714.jpg
    90.9 KB · Views: 8
Salaam Wakuu,

View attachment 2411464
Nchi ilipofikia, Viongozi wetu hasa Mawaziri wanatakiwa wajitafakari na kujisahihisha waone wanajipa Marks ngapi.

Kama inafika wakati Wasaidizi wa rais wanamdharau kisa ni Jinsia ya Kike, kuna nini tena?

Anawaagizi hivi wanafanya ambavyo hawajatumwa. Wamekalia Majungu na Upigaji. Yote ni kufanya Rais Samia 2025 apate upinzani mkubwa kwa wananchi kwamba hajafanya kitu.

Kuna siku Hayati Magufuli alimwambia hivi Waziri Majaliwa;

"Watu wanataka popularity, wengine nilisikia wanasema watachomewa nyumba, nilimwambia Waziri Mkuu nataka nione wakifanya fujo. Ningewapa kipigo. Tena ningeanza kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake ningeanza kupiga hao. Nasema ukweli wala sifichi".

Leo ndo nimeelewa kwanini Magufuli angeanza na Shangazi zake Majaliwa, Je, Waliotaka kufanya fujo walitumwa na Majaliwa?

Ni aibu sana rais anamteua Waziri halafu huyo Waziri anashiriki kumuhujumu Rais aonekane hafai aunekane hakupaswa kuwa rais.

Kosa lilianza siku ya kwanza Rais Samia anaingia Madarakani, alitakiwa avunje baraza la Mawaziri.

Kassim Majaliwa aambiwe achague moja. Kuwa Waziri Mkuu, Mfanyabiashara au Mgombea Urais.

Kwa Wasiojua, Waziri Mkuu ndo Rais wa Tanganyika ndo maana hutasikia Majaliwa kaenda Zanzibar.

Majaliwa Katusaliti Watanzania. Kafanya maisha yawe Magumu. Mawaziri wanamdharau Rais lakini yeye anakunywa nao Juice. Majaliwa hana Utu wala Huruma.

Natamani kuona kikosi kazi kikiundwa kuchunguza ni nani mwenye Makampuni yanayonunua Korosho Tanzania na Wamiliki wawekwe wazi. Sio mtu anamtumia shangazi kuanzisha kampuni kwa mgongo wa nyuma. Tuambiwe Mmiliki wa Alfa Namata company ltd, Sibatanza company ltd na Eljai Commodities Company ltd. Halafu tuambiwe wanatoa wapi kiburi cha kuwanyonya wakulima.

Waziri Mkuu ndo Msimamizi Mkuu wa Maafa sababu Idara ya Menejimenti ya maafa ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini hutoona anasaidia. Sitazungumzia Msaada ya Korona na Tetemeko Kagera kwamba zililiwa.

Waziri Mkuu yapo mengi mazuri amefanya lakini ili kujenga utaifa na kujisafisha kama nchi mbele ya Dunia, apangiwe kazi nyingine.

Baraza la Mawaziri Livunjwe ili Lisukwe upya kwa maandalizi ya Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Samia akicheka na nyani atavuna Mabua.

Rais Mwinyi alijiuzulu mwenyewe ili kutompa lawama rais Nyerere. Hawa wengine sababu wana nia zao, kwanza ndo wanafurahia matatizo ya Watanzania mfano Ukosefu wa maji na Umeme. Sema wamejitahidi kumumudu Rais Samia, Wanampanga anapangika sijui bwawa la Kidunda🤣🤣
Wanakutuma kuja kuandika andika huku

Mtanyooka
 
Back
Top Bottom