Rais Samia: Wanaopinga mabahewa ni watoto waliozaliwa mwaka 1990

Rais Samia: Wanaopinga mabahewa ni watoto waliozaliwa mwaka 1990

Tuliza kitobo wewe! hao wanaoenda kujifunza usafi waambie wakajifunze na Mengine Mengi kuhusu uwajibikaji na kuwa na uchungu na Nchi

tumia akili kufikiri na si Tundu. si kila post ni saiz yako Chawa
Nasema tena, nenda kaishi Rwanda kama umepapenda. Usitubabaishe sisi kwani hatuna kitu cha kujifunza huko. Matusi tukana upendavyo, hayanidhuru kwa namna yoyote ile.
 
Tuliza kitobo wewe! hao wanaoenda kujifunza usafi waambie wakajifunze na Mengine Mengi kuhusu uwajibikaji na kuwa na uchungu na Nchi

tumia akili kufikiri na si Tundu. si kila post ni saiz yako Chawa
Eti Rwanda, what is Rwanda? Kwakuwa asili yako ni huko, hivyo unatulazimisha twende huko. Tukajifunze nini, ukatili na ubaguzi wa kikabila sio? Ukichoka kuishi Tanzania rudi ukaungane na ndugu zako. Usitupigie kelele sisi.
 
Umri ni muhimu.
Mtu hujawahi hata kupanda basi la kwenda Mwanza, njia ya reli unaisikia tu.
Experience yako ya kusafiri ni video za luninga.
Hapo tutaelewana vipi?
Umri sio muhimu. Muhimu ni hoja je inamantinki hata mtoto wa wa la kwanza akihoji yanapimwa maneno yaliyotoka na sio umri...

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Wanaofujafuja kama wengi walizaliwa miaka ya 90 ni haki yao kudai mabehewa na treni za kisasa Kama zile zinanozoonekana huko mbele.

Oh ngoja kwanza,... Kwani reli inayojengwa si ya kisasa? Iweje reli ya kisasa itumie mabehewa ya Mundo wa kizamani kwa bei ya sasa? Kuna ubaya gani watoto wa kisasa kuhoji?

Kuwapakazia Waha eti wao wameyapenda mabehewa ya kizamani, kama yupo aliyesifia basi ieleweke tu kuwa tangu ilipoundwa TRC baada ya kuvunjika kwa EAR, mabehewa yaliyokuwa na hali mbaya ndio yaliyopelekwa Kigoma na Mpanda.
Kwa maana hiyo juzi kupanda mabehewa yanayofanana na yale ya Deluxe, ambayo hata hivyo inaenda Kigoma kwa kubahatisha, ni wazi baadhi ya Waha wameiona tofauti..... Lakini siyo kwa kubezwa hivyo!.
 
Hayo Mabehewa mimi siyazungumzii kabisa naona majibu na kinachoongelewa ni viwili tofauti kabisa...
 
Wale waliozaliwa miaka ya 1990 below 32 years mmesikia dongo lenu hilo, mm sitaongelea tena hayo mabehewa sababu nimezawali kabla ya 1990..

Hii nchi ngumu sana
 
Back
Top Bottom