Sukuma gang alambi wapi asali?[emoji23]
Lamba Asali ila usijasahau sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang alambi wapi asali?[emoji23]
Lamba Asali ila usijasahau sana.
Kama JPm aliweza kututawala miaka 6, kwanini huyu mama mstarabu mwenye huruma na hofu ya Mungu asitupeleke?WaTanzania hamko serious; kama wewe unaamini huyu mama ni Rais atakayekufikisha; basi you are another Mr. ZERO
Tumepigwa tenaSure yupo hapo kujaza nafasi na siyo kutumikia nafaSI
Aibu tupuTumepigwa tena
Yuko hapo kwa maslahi ya watu.Aibu tupu
Tunafaa ngoja wakati ufike🤣Vijana wa 90s hamfai hata kidogo[emoji1787]
Vitakuwa vile vikina mavunde...Kwani kwenye safu yake ya mawaziri kuna kijama chochote cha miaka ya 90s.
Lakini c alikua makamu wa JPM na alichaguliwa na watanzani wote, mbona hamkuliona kipindi nachaguliwa mara ya pili muache unafiki wenu mama mpe na fasi afanye majukumu yakeYuko hapo kwa maslahi ya watu.
Wajanja wa mjini wanahesabu kali sana.
Wanamweka dhaifu wao ili mambo yao yafanikiwe.
Sahivi wakiimba wanamuandalia tuzoYuko hapo kwa maslahi ya watu.
Wajanja wa mjini wanahesabu kali sana.
Wanamweka dhaifu wao ili mambo yao yafanikiwe.
Naye anaviimba akiamini anasifiwa kweli.Sahivi wakiimba wanamuandalia tuzo
Aidha ninyi hamna shukrani au ni chuki zenu tu kwake. Ulitaka kwa mwaka wake mmoja wa bajeti afanye miujiza gani? Nionavyo mimi ameweza kutimiza mambo mengi sana ndani ya muda mfupi wa utawala kuliko marais wote waliomtangulia.hatutaki kulingana na marekani, tunataka kulingana na indonesia tulio kuwa nao sawa kimaendeleo miaka ya 60
uongozi wa mfano wake hata wapewe miaka 200 hawawezi fikia maendeleo ya marekani achana na china, india huko
Si huyu tu , CCM yeyote ni sifuri , hawawezi kufanya chochote hata wapewe miaka 1000Huyu hata apewe miaka 40 hakuna cha maana atafanya zaidi ya kusafiri
Kama kibabu Mugabe aliendelea kuwepo madarakani na zaidi ya miaka 90 haishangazi kwa chifu mkuu kuendelea kukaa hapo, hata Nyerere aliwashtukia kipindi kile wakimshawishi aendelee kubaki kwamba hakuna mtu wa kuziba nafasi yake, kumbe wao ndo walikuwa wanalinda maslahi yao kwa yeye kuendelea kuwa rais.......ngozi nyeusi ni wabinafsi sana.Yuko hapo kwa maslahi ya watu.
Wajanja wa mjini wanahesabu kali sana.
Wanamweka dhaifu wao ili mambo yao yafanikiwe.
Umejijibu mwenyewe. Kwahiyo ulitarajia ndani ya mwaka wake mmoja wa bajeti awe amekamilisha yote? Acheni chuki, mama anajitahidi sana tena sana.Anapotoa mfano wa USA wa miaka 200 asisahau na mfano wa Korea ya Kusini, Singapore, Malaysia, Indonesia hawa tulikuwa nao sawa kimaendeleo na tulipata nao uhuru pamoja miaka 60 iliyopita.
Kama kibabu Mugabe aliendelea kuwepo madarakani na zaidi ya miaka 90 haishangazi kwa chifu mkuu kuendelea kukaa hapo, hata Nyerere aliwashtukia kipindi kile wakimshawishi aendelee kubaki kwamba hakuna mtu wa kuziba nafasi yake, kumbe wao ndo walikuwa wanalinda maslahi yao kwa yeye kuendelea kuwa rais.......ngozi nyeusi ni wabinafsi sana.
Aidha ninyi hamna shukrani au ni chuki zenu tu kwake. Ulitaka kwa mwaka wake mmoja wa bajeti afanye miujiza gani? Nionavyo mimi ameweza kutimiza mambo mengi sana ndani ya muda mfupi wa utawala kuliko marais wote waliomtangulia.Sure yupo hapo kujaza nafasi na siyo kutumikia nafaSI
Aidha ninyi hamna shukrani au ni chuki zenu tu kwake. Ulitaka kwa mwaka wake mmoja wa bajeti afanye miujiza gani? Nionavyo mimi ameweza kutimiza mambo mengi sana ndani ya muda mfupi wa utawala kuliko marais wote waliomtangulia.WaTanzania hamko serious; kama wewe unaamini huyu mama ni Rais atakayekufikisha; basi you are another Mr. ZERO
You are really sick!! Unalinganisha JPM na Samia? JPM alikuwa Rais (President); Samia ni De facto! JPM alikuwa ana Vision; achia mbali ukatili wake, are you guys serious in your lives; you are going to waste 10 more years the way you wasted with Mr. Da GamaKama JPm aliweza kututawala miaka 6, kwanini huyu mama mstarabu mwenye huruma na hofu ya Mungu asitupeleke?
Hata hiyo USA ya miaka 200 iliyopita sidhani kama tumeifikiaAnapotoa mfano wa USA wa miaka 200 asisahau na mfano wa Korea ya Kusini, Singapore, Malaysia, Indonesia hawa tulikuwa nao sawa kimaendeleo na tulipata nao uhuru pamoja miaka 60 iliyopita.