Tanzania itaendelea akipatikana Rais wa kuanzia 90'S
Marekani hakukuwa mafisadi wa kujilimbikizia Mali,
Viongozi waliongia madarakani waliongia kwa lengo la kutatua shida za wananchi and not otherwise.
Ndio maana viongozi kama Former PM Boris wa UK he carried his responsibility kwa kujiudhuru baada ya kushindwa kutatua shida za wananchi wa UK
Huku kwetu bonde la Ihefu limepungua kutoka square meter 83,000 mpaka 10,000 na hakuna mtu atakaewajibika.
It's complete shame, seemingly that things Will change.
My fellow 90'S tuendelee kupinga tu[emoji2955]