Jpm ndo alie azisha madeni kwa kutuongopea eti tunatumia pesa za ndani, mama anaendeleza legacy yakekweli mkuu ndani ya muda mfupi deni limepaa hadi bili 90+, amejitahidi kwenye nini ama kutuletea vichwa vya mtumba kwenye tren mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jpm ndo alie azisha madeni kwa kutuongopea eti tunatumia pesa za ndani, mama anaendeleza legacy yakekweli mkuu ndani ya muda mfupi deni limepaa hadi bili 90+, amejitahidi kwenye nini ama kutuletea vichwa vya mtumba kwenye tren mpya
Am flabbergasted with your opinion 🙌🙌Nani ajiudhuri hapa Tz you are living in utopian world, unalinganisha kiangozi wa uingereza na Bongo kijana utapata stress bure na pressure mwishowe utakufa depressed person.
Basi mwenyewe unaona kaongea bonge la pointi!! 🤔"Wale wanaopenda tu kufujafuja kila kitu, wafuje lakini warudi nyuma, ukute mfujaji mwenyewe kazaliwa miaka ya 90 hajui tulikotoka, anafananisha na Marekani anakokuona na anataka Tanzania ifike kule bila kujua anaojifananisha nao wana miaka 200 ya maendeleo”
Rais Samia.
View attachment 2453377
Ni kweli Boris Johnson alijiudhuru Uwaziri Mkuu wa Uingereza, lakini si kwa kushindwa kutatua shida za wananchi.Ndio maana viongozi kama Former PM Boris wa UK he carried his responsibility kwa kujiudhuru baada ya kushindwa kutatua shida za wananchi wa UK
You are just another ass licker!! Huna jipyaNyerere alituachia umasikini Mkapa katuletea mafisadi kikwete kaendeleza yale yale nyie mnataka awamu ya Mama ndo ibadili hi nchi sugu Tayari
Continue kua flabbergasted you will end up catastrophicallyAm flabbergasted with your opinion [emoji119][emoji119]
Sure yupo hapo kujaza nafasi na siyo kutumikia nafaSIHata asipo safiri hawezi na hawezi tena.
Mswahili swahili sana
jpm deni halikuwa kama sasaJpm ndo alie azisha madeni kwa kutuongopea eti tunatumia pesa za ndani, mama anaendeleza legacy yake
Mswahili hafai...angefaa mrundi pale au sio?Hivi na sisi kweli tupo serious tunaamini huyu mswahili anaweza kutuvusha?
Ndio tunapoelekea suala la muda tu.Ghana ina madini mafuta nk ila imefilisika kwasbb ya madeni sie Tz tumshukuru Raisi wetu hatujafikia hiyo ahatua
Leta hoja mkuu tushindane kwa hoja, hu umasikini watanzania umeletwa na sera mbovu za ujamaa za Nyerere kuhamisha watu kwenye vijiji kama wanyama, kulikua na haja gani kuingia kwenye vita ya 1978 ya Kagera mpaka sasa hivi tuko kwenye madeni ya hiyo vita.You are just another ass licker!! Huna jipya
Utajua mwenyeweMswahili hafai...angefaa mrundi pale au sio?
Nimetapika"Wale wanaopenda tu kufujafuja kila kitu, wafuje lakini warudi nyuma, ukute mfujaji mwenyewe kazaliwa miaka ya 90 hajui tulikotoka, anafananisha na Marekani anakokuona na anataka Tanzania ifike kule bila kujua anaojifananisha nao wana miaka 200 ya maendeleo”
Rais Samia.
View attachment 2453377
😂Jpm ndo alie azisha madeni kwa kutuongopea eti tunatumia pesa za ndani, mama anaendeleza legacy yake
Vijana wa 90s hamfai hata kidogo[emoji1787]Tanzania itaendelea akipatikana Rais wa kuanzia 90'S
Marekani hakukuwa mafisadi wa kujilimbikizia Mali,
Viongozi waliongia madarakani waliongia kwa lengo la kutatua shida za wananchi and not otherwise.
Ndio maana viongozi kama Former PM Boris wa UK he carried his responsibility kwa kujiudhuru baada ya kushindwa kutatua shida za wananchi wa UK
Huku kwetu bonde la Ihefu limepungua kutoka square meter 83,000 mpaka 10,000 na hakuna mtu atakaewajibika.
It's complete shame, seemingly that things Will change.
My fellow 90'S tuendelee kupinga tu[emoji2955]
WaTanzania hamko serious; kama wewe unaamini huyu mama ni Rais atakayekufikisha; basi you are another Mr. ZEROLeta hoja mkuu tushindane kwa hoja, hu umasikini watanzania umeletwa na sera mbovu za ujamaa za Nyerere kuhamisha watu kwenye vijiji kama wanyama, kulikua na haja gani kuingia kwenye vita ya 1978 ya Kagera mpaka sasa hivi tuko kwenye madeni ya hiyo vita.
Kwani kwenye safu yake ya mawaziri kuna kijama chochote cha miaka ya 90s.Kumbe vijamaa vya 1990+ ndo vinapiga sana kipenga, vikae kwa kutulia hii nchi tumeitoa shimoni.....