sisi kama taifa tunajua tumefiwa na baba tuliyemkabidhi nchi yetu, hawa wapokeaji wa mizigo njiani hawajui umuhimu hali zetu tuwasamehe bure. Magari yote ya serikali yangenunuliwa "used" ingependeza sana. kila kitu tutumie used sasa maana imekuwa ni sifa. Alafu waliohoji walisema "used " sio shida tatizo lipo pale kwenye bei tuliyonunuliwa...hapo tumeibiwa. Tunatafuta mwizi wetu, je ni wale waliotuuzia? je ni wahuni walioko serikalini wametupiga changa la macho?..hapa ndio tuna hoja napo sisi kizazi cha 90 😕