Rais Samia: Wanaopinga mabahewa ni watoto waliozaliwa mwaka 1990

Rais Samia: Wanaopinga mabahewa ni watoto waliozaliwa mwaka 1990

Hahah eti Tanzania siyo Marekani, mbona alisema Mafuta Marekani ni aghali klk Tanzania hapo alikuwa analinganisha nini na nini? Kweli uongo mgumu sana kuutetea, hakuna kitu kizuri na kinachorahisisha maisha kama ukweli, kwani haujitaji nguvu nyingi kuutetetea, na wala huwezi kujichanganya hata siku moja kama ukiwa mkweli, …
 
Akiongea leo Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania amesema wanaopiga mabehewa yaliyonunuliwa wote ni watoto waliozaliwa mwaka 1990.

Kwanza wanaishi Dar hawajawai kutoka kwenda vijijini kuona watanzania wanavyoishi kwa shida.

"Unapinga mabehewa na kusema yametumika wakati Kuna waha kutoka kigoma wanayatamani yawapelekee kigoma"

Tanzania sio Marekani ambayo ina miaka ya uhuru zaidi ya 200 sisi tuna miaka ya uhuru ndio kwanza 60." Halafu anatokea mtoto wa mwaka 1990 kusema mabehewa hayafai lazima ushangae!!

My take : Kumbe tuna miaka mingine 140 Ili kuanza kuwa Dona county 😅😅🙏.
Tena huto tu vijana tunajikojolea bado kitandani. Vikome kabisa kuongea ovyo ovyo
 
Akiongea leo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amesema wanaopiga mabehewa yaliyonunuliwa wote ni watoto waliozaliwa mwaka 1990.

Kwanza wanaishi Dar hawajawai kutoka kwenda vijijini kuona watanzania wanavyoishi kwa shida.

"Unapinga mabehewa na kusema yametumika wakati Kuna Waha kutoka Kigoma wanayatamani yawapelekee Kigoma"

Tanzania sio Marekani ambayo ina miaka ya uhuru zaidi ya 200 sisi tuna miaka ya uhuru ndio kwanza 60." Halafu anatokea mtoto wa mwaka 1990 kusema mabehewa hayafai lazima ushangae!!

My take : Kumbe tuna miaka mingine 140 Ili kuanza kuwa Dona county 😅😅🙏.

Tulio soma cuba tumeelewa.
Hahaaaa.
 

Attachments

  • editoon-dec-14-22.jpg
    editoon-dec-14-22.jpg
    35.7 KB · Views: 3
Alexander the great aliingia kwenye uongozi akiwa na miaka 20, alifariki akiwa na miaka 32 tu, lakini mambo aliyoyafanya ni makubwa, jamaa aliweza kupigana vita akashinda akiwa outnumbered, alipigana aka conquer nchi nyingi Africa, Asia na Ulaya.

Hawa wazee wamezeeka kuanzia mionekano mpaka akili, vijana wana uwezo mkubwa tu wa kufanya mambo makubwa na ya kushangaza. Sio katika science na teknolojia, uongozi n.k,

USA wana raisi mzee lakini wanaamini ktk michango ya vijana na kuwathamini, wanawapa nafasi katika mambo mengi, Tanzania mtu ana miaka 80 anakaribia kukata roho anajifanya anajua kila kitu, afanye kila kitu yeye.

Ajuza alichozungumza ni dharau.


1671545974375.jpeg
 
Akiongea leo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amesema wanaopiga mabehewa yaliyonunuliwa wote ni watoto waliozaliwa mwaka 1990.

Kwanza wanaishi Dar hawajawai kutoka kwenda vijijini kuona watanzania wanavyoishi kwa shida.

"Unapinga mabehewa na kusema yametumika wakati Kuna Waha kutoka Kigoma wanayatamani yawapelekee Kigoma"

Tanzania sio Marekani ambayo ina miaka ya uhuru zaidi ya 200 sisi tuna miaka ya uhuru ndio kwanza 60." Halafu anatokea mtoto wa mwaka 1990 kusema mabehewa hayafai lazima ushangae!!

My take : Kumbe tuna miaka mingine 140 Ili kuanza kuwa Dona
Alexander the great aliingia kwenye uongozi akiwa na miaka 20, alifariki akiwa na miaka 32 tu, lakini mambo aliyoyafanya ni makubwa, jamaa aliweza kupigana vita akashinda akiwa outnumbered, alipigana aka conquer nchi nyingi Africa, Asia na Ulaya.

Hawa wazee wamezeeka kuanzia mionekano mpaka akili, vijana wana uwezo mkubwa tu wa kufanya mambo makubwa na ya kushangaza. Sio katika science na teknolojia, uongozi n.k,

USA wana raisi mzee lakini wanaamini ktk michango ya vijana na kuwathamini, wanawapa nafasi katika mambo mengi, Tanzania mtu ana miaka 80 anakaribia kukata roho anajifanya anajua kila kitu, afanye kila kitu yeye.

Ajuza alichozungumza ni dharau.


View attachment 2452827
Uwe na adabu
 
Akiongea leo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amesema wanaopiga mabehewa yaliyonunuliwa wote ni watoto waliozaliwa mwaka 1990.

Kwanza wanaishi Dar hawajawai kutoka kwenda vijijini kuona watanzania wanavyoishi kwa shida.

"Unapinga mabehewa na kusema yametumika wakati Kuna Waha kutoka Kigoma wanayatamani yawapelekee Kigoma"

Tanzania sio Marekani ambayo ina miaka ya uhuru zaidi ya 200 sisi tuna miaka ya uhuru ndio kwanza 60." Halafu anatokea mtoto wa mwaka 1990 kusema mabehewa hayafai lazima ushangae!!

My take : Kumbe tuna miaka mingine 140 Ili kuanza kuwa Dona county 😅😅🙏.
CCM kwisha kabisa
 
Alexander the great aliingia kwenye uongozi akiwa na miaka 20, alifariki akiwa na miaka 32 tu, lakini mambo aliyoyafanya ni makubwa, jamaa aliweza kupigana vita akashinda akiwa outnumbered, alipigana aka conquer nchi nyingi Africa, Asia na Ulaya.

Hawa wazee wamezeeka kuanzia mionekano mpaka akili, vijana wana uwezo mkubwa tu wa kufanya mambo makubwa na ya kushangaza. Sio katika science na teknolojia, uongozi n.k,

USA wana raisi mzee lakini wanaamini ktk michango ya vijana na kuwathamini, wanawapa nafasi katika mambo mengi, Tanzania mtu ana miaka 80 anakaribia kukata roho anajifanya anajua kila kitu, afanye kila kitu yeye.

Ajuza alichozungumza ni dharau.


View attachment 2452827
Loh kwenye hii picha Msanii sijahusika
 
Akiongea leo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amesema wanaopiga mabehewa yaliyonunuliwa wote ni watoto waliozaliwa mwaka 1990.

Kwanza wanaishi Dar hawajawai kutoka kwenda vijijini kuona watanzania wanavyoishi kwa shida.

"Unapinga mabehewa na kusema yametumika wakati Kuna Waha kutoka Kigoma wanayatamani yawapelekee Kigoma"

Tanzania sio Marekani ambayo ina miaka ya uhuru zaidi ya 200 sisi tuna miaka ya uhuru ndio kwanza 60." Halafu anatokea mtoto wa mwaka 1990 kusema mabehewa hayafai lazima ushangae!!

My take : Kumbe tuna miaka mingine 140 Ili kuanza kuwa Dona county 😅😅🙏.
Kasema kweli kabisa.
Mimi nimezaliwa 1990 sijawahi kupanda treni wala kuiona. Nimezaliwa huku mtwara na nimeishi muda wote huku huku mtwara. Lakini nafahamu kitu kizuri na kibaya.
Shida yetu ni dhamani ya hayo mabehewa. Ni kweli ni 2.5bn kila behewa? Na kati ya hizo 2.5bn kamba ilikuwa kiasi gani?
 
Mama ameamua kuwa Khadija Kopa.
Mama wa mipasho.. Hapa ndio umuhimu wa katiba mpya unapo onekana.
Anadhani hizo pesa ni zake ana toa mfukoni. Kumbe ni mali ya Watanzania na yeye ni msimamamizi tuu
 
Back
Top Bottom