Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Hahah eti Tanzania siyo Marekani, mbona alisema Mafuta Marekani ni aghali klk Tanzania hapo alikuwa analinganisha nini na nini? Kweli uongo mgumu sana kuutetea, hakuna kitu kizuri na kinachorahisisha maisha kama ukweli, kwani haujitaji nguvu nyingi kuutetetea, na wala huwezi kujichanganya hata siku moja kama ukiwa mkweli, …