Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
 
Maji hayatoki Leo siku ya tatu alafu Kuna wapuuzi wanachepusha maji.

Yan nimejaribu hata kwenda kuchukua maji ya kuoga msikitini ila wamekataa Leo wanajaza matank Yao. Hata maji ya kuoga hamna, jirani kanishauri nikanunue tissue. Kama kwamba tissue unaweza ogea.
 
Hapo anadanganywa Samia ?!!! Kwani yeye hana Maji au Ikulu kuna Mgao ?; Wanaodanganywa ni wanaomlipa na kuminywa na Tozo wakati hakuna Value for Money....

Yaani tuna maziwa makubwa Matatu ya Afrika lakini maji utafikiri tupo Baghdad
 
Back
Top Bottom