Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Mchina wa mboga mboga alikuwa anasingiziwa tuu..

Mwisho kama maji ya mtu huo hayaruhusiwi kufanyia shughuli za kilimo ielwzwe tuu watu wajue ila vinginevyo sioni kosa lao maana hayi maji yanaishia baharini..

Serikali inafanya uzembe tuu kwa nini wao wasichimbe mabwawa yao makubwa ya kuhifadhi maji ya matumizi badala yake watafute kisingizio kwa wawekezaji?
 
Aisee hili suala kubwa sana huu izi usipuuziwe ufaanyie kazi aweso njoo uku fuatilia huu ujumbe
Ukiona GENTAMYCINE The Great nakuja na Taarifa au Angalizo kama hivi nakushauri au nakuomba niamini au niamini tena kwa 100%.

Na kwa Kukusaidia tu Mkuu usidhani kuwa hata huyu Waziri husika Uliyemtaja hapa hajui hili ila ukweli ni kwamba nae pia ameshakuwa "fixed ' na hana la Kufanya au Kuwafanya kwani Mmoja wa Wachepushaji hayo Maji ni Mtu fulani Mstaafu mwenye Ushawishi mkubwa wa Kimaamuzi kwa aliyemteua Yeye kuwa hapo na katika 'Docket' yake hiyo.
 
Ukiona GENTAMYCINE The Great nakuja na Taarifa au Angalizo kama hivi nakushauri au nakuomba niamini au niamini tena kwa 100%.

Na kwa Kukusaidia tu Mkuu usidhani kuwa hata huyu Waziri husika Uliyemtaja hapa hajui hili ila ukweli ni kwamba nae pia ameshakuwa "fixed ' na hana la Kufanya au Kuwafanya kwani Mmoja wa Wachepushaji hayo Maji ni Mtu fulani Mstaafu mwenye Ushawishi mkubwa wa Kimaamuzi kwa aliyemteua Yeye kuwa hapo na katika 'Docket' yake hiyo.
Sasa mama samia atafanyaje wakati hao ni mentor wake??
 
Haya anayajua na file alishapewa kitambo. The problem of making a firm decission concerning the issue is eating her inside. Mama punguza yale majibu yako ya mkato na kukatisha tamaa pale unapopewa maelezo na kushauriwa na wanakamati wako.
Na hapa ndiyo maana GENTAMYCINE namkumbuka na nilimpenda sana Hayati Rais Dkt. Magufuli kwani aliheshimu mni Taarifa Nyeti za Wasaidizi wake na alikuwa hana Msalia Mtume kwa Wapumbavu na Wapuuzi wachache ambao wanaleta Usumbufu na Kero kwa 90% ya Watanzania.

Tafadhali Rais Samia hebu badilika Mama na anza kuwa Mkali kwani kuna Watu ( hasa Mafia ) wachache ila Matajiri wanatembelea Upole wako na Huruma yako ya Kizanzibari.

Watu wa TISS msaidieni sana Mama.
 
Back
Top Bottom