Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

ngoja tusubiri tangazo la waziri kuwakanya wanaochepusha majii mto ruvu
Sasa hivi Waziri, Wizara na Mamlaka husika inajiandaa kuja kufanya 'Counter' juu ya hii Taarifa yangu ( Uzi wangu ) ila nashukuru kupitia Uzi wangu huu huu kuna Mtu Mmoja kati ya hao Watano ninaowajua ameshatajwa na Mchangiaji Mmoja.

Silaha yangu Kubwa ni Kujiamini 100%
 
Genta, nakubaliana na wewe 100%. Mbaya zaidi wametupumbaza na vijikamera kuonesha maji yalivyopungua. Inauma sana.

Najiuliza kwanini Mh wetu wa hili jiji alienda na camera kiasi kile? na kwanini achukue hatua za kutangaza mgao haraka kiasi hichi, na bado hakuna njia/jitihada zozote zilizotangazwa kukabiliana na mgao.

Tutaendelea na hali hii mpaka lini?

Genta, nakusapoti, kuna kitu hakiko sawa! waziri mwenye dhamana afanye kama anatuma kikosi kazi kutoka pale wizaran kwake, huku White house ikimulika kwa jicho kupambana na hii hujuma.
Naendelea Kusisitiza Kwako Mkuu kuwa amini nilichokiandika kwa 100% kisha niamini nami pia GENTAMYCINE kwa 100%.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Shida ni mahusiano wata kemeana vipi!!?
JamiiForums-1502650973.jpg
 
Mkuu
Mchina wa mboga mboga alikuwa anasingiziwa tuu..

Mwisho kama maji ya mtu huo hayaruhusiwi kufanyia shughuli za kilimo ielwzwe tuu watu wajue ila vinginevyo sioni kosa lao maana hayi maji yanaishia baharini..

Serikali inafanya uzembe tuu kwa nini wao wasichimbe mabwawa yao makubwa ya kuhifadhi maji ya matumizi badala yake watafute kisingizio kwa wawekezaji?
Mto Ruvu ni mrefu, wewe unazungumzia sehemu ya mto huo iliyo karibu na bahari maeneo ya Bagamoyo ambako huko maji huingia baharini hivyo hakuna shida yakitumika kwa umwagiliaji..
Maeneo ya Mlandizi kurudi nyuma kwenda Morogoro kwenye chanzo cha mto huko hakufai kilimo cha umwagiliaji kwa water pump kubwa au hata za 3" kwa sasa.

Usiweke siasa kwa kila jambo usilolijua kwa undani. Mengine inabidi usome au kusikiliza tu toka kwa wanao jua zaidi.
 
Sasa hivi Waziri, Wizara na Mamlaka husika inajiandaa kuja kufanya 'Counter' juu ya hii Taarifa yangu ( Uzi wangu ) ila nashukuru kupitia Uzi wangu huu huu kuna Mtu Mmoja kati ya hao Watano ninaowajua ameshatajwa na Mchangiaji Mmoja.

Silaha yangu Kubwa ni Kujiamini 100%
mara nyingi jamaii inawafahamu lakini hamna pa kuongeleaaa, mfano madereva wa magari wapelekao materials (vyakula vya mifugo) au wabebao mazao (samaki/maziwa/nyama etc) kupeleka sokoni
 
Mkuu

Mto Ruvu ni mrefu, wewe unazungumzia sehemu ya mto huo iliyo karibu na bahari maeneo ya Bagamoyo ambako huko maji huingia baharini hivyo hakuna shida yakitumika kwa umwagiliaji..
Maeneo ya Mlandizi kurudi nyuma kwenda Morogoro kwenye chanzo cha mto huko hakufai kilimo cha umwagiliaji kwa water pump kubwa au hata za 3" kwa sasa.

Usiweke siasa kwa kila jambo usilolijua kwa undani. Mengine inabidi usome au kusikiliza tu toka kwa wanao jua zaidi.
Soma hapo juu FRANCIS DA DON
 
Si mlifanya Siri mkijua wenye Akili Kubwa na Wabobezi wa Udadisi na Ufuatiliaji wa Masuala ( Mambo ) akina GENTAMYCINE hatutajua mnachokifanya huko Ruvu Mtoni na leo mnatusababishia Mgawo wa Maji Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro...!!!!

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Mgao kivipi wakati hayo maji kwa asilimia kubwa yanishia baharini? Kama hayatoshi kwanini mengine yanaachwa yaende baharini? Sasa ipo bora, kuyatumia au kuyaacha yamwagikie baharini?
 
Mkuu

Mto Ruvu ni mrefu, wewe unazungumzia sehemu ya mto huo iliyo karibu na bahari maeneo ya Bagamoyo ambako huko maji huingia baharini hivyo hakuna shida yakitumika kwa umwagiliaji..
Maeneo ya Mlandizi kurudi nyuma kwenda Morogoro kwenye chanzo cha mto huko hakufai kilimo cha umwagiliaji kwa water pump kubwa au hata za 3" kwa sasa.

Usiweke siasa kwa kila jambo usilolijua kwa undani. Mengine inabidi usome au kusikiliza tu toka kwa wanao jua zaidi.
Kwa nini walitoa Kibali cha kuanzisha kilimo maeneo ambayo haifai?
 
Sema mkuu hapo kwenye mwendo wa kubeba ndoo kutoka Tegeta mpaka Mbagala nimekuelewa sana.

Hata "wana wa Israeli" walinyooshwa karibia na mwendo huo 😀
 
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Kong'ota rungu za kwenye mapanki yao,Hadi huduma irejee Kama kawaida🏃🏃
 
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Malengo ya sasa ya serkali ya awamu ya sita ni kuja na kilimo Cha umwagiliaji sasa kosa nini iwapo wao wametaka kuanzisha kilimo Cha umwagiliaji?
 
Back
Top Bottom