Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

Hii nchi ya ajabu sana mpaka leo tunasingizia mvua Mungu katupa maarifa na vyanzo lakini bado tunakaa na kumuachia atufanyie kila kitu kweli nchi yenye kupata mvua kila mwaka lakini tunashida zilezile hivi ukija mwaka tukapata ukame tu si tutakuwa tunakutana maofisini tunazidiana kunuka tu. Kuna nchi nyingi duniani hawapati mvua lakini hawana shida ya maji sababu wametumia maarifa kuweza kujikimu sisi tumebweteka sana na Rehma za Mungu hatutaki kufikiri nje ya box.
Na wewe umefanya kipi cha maana? Yule mliyemuita chuma alifanya nini cha maana kwenye maji?
 
Inashangaza mikoa inayozunguka maziwa makuu kama ule wakusambaza maji toka ziwa Victoria Shinyanga mpaka Tabora maji yanasua sua. Mwanza, baadhi ya vitongoji vinapata vingine havipati wiki ya tatu sasa, wananchi wa Magu poleni sana.
Ishu ni pesa sio maji.
 
Kwa nini walitoa Kibali cha kuanzisha kilimo maeneo ambayo haifai?
Ni sawa na unauliza kwanini watu wanapewa vibali kujenga maeneo ya wazi ya michezo na kupumzika?
Au kwanini karakana ya mwendokasi ilijengwa Jangwani eneo linalofurika maji ya mto?

Jibu: Wahusika kwenye taasisi mbali mbali za serikali hawana sifa za kukalia nafasi zao sababu ya elimu, ujuzi au rushwa.
 
Ni sawa na unauliza kwanini watu wanapewa vibali kujenga maeneo ya wazi ya michezo na kupumzika?
Au kwanini karakana ya mwendokasi ilijengwa Jangwani eneo linalofurika maji ya mto?

Jibu: Wahusika kwenye taasisi mbali mbali za serikali hawana sifa za kukalia nafasi zao sababu ya elimu, ujuzi au rushwa.
Wewe unaweza ku make difference kwenye jamii iliyokuwa corrupt ?
 
Kwa andiko hili kama ni kweli sidhani kama watabaki salama,maana wanataka sasa mama naye akachote maji ya kuoga pale baharini...
 
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Kuna watu wakija kufa wataenda motoni moja kwa moja bila kusimamishwa njiani wala reception ya jehanamu. Wanawatesa watanzania sana.
 
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
GENTAMYCINE vumilia sindano ikuingie.
Mtanikumbuka
 

Attachments

  • E2E093ED-3D39-406A-AD04-C65A1AF0A333.jpeg
    E2E093ED-3D39-406A-AD04-C65A1AF0A333.jpeg
    87.7 KB · Views: 4
Lisemwalo lipo GENTAMYCIME asipuuzwe apewe chopa akaonyeshe, Awesu apite na huku, ya mwanafunzi darasa la 7 yalikua km hivi hivi fichua fichua, naomba GENTAMYCIME aongezewe ulinzi na chopa apewe akaonyeshe huo mchepuko wa maji ulipo
 
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Mama Tanzania analiwa kila kona. Mungu tunusuru na balaa hili la viongozi mchwa.
 
Jibu: Wahusika kwenye taasisi mbali mbali za serikali hawana sifa za kukalia nafasi zao sababu ya elimu, ujuzi au rushwa.


Siongei tena
 
Mchina wa mboga mboga alikuwa anasingiziwa tuu..

Mwisho kama maji ya mtu huo hayaruhusiwi kufanyia shughuli za kilimo ielwzwe tuu watu wajue ila vinginevyo sioni kosa lao maana hayi maji yanaishia baharini..

Serikali inafanya uzembe tuu kwa nini wao wasichimbe mabwawa yao makubwa ya kuhifadhi maji ya matumizi badala yake watafute kisingizio kwa wawekezaji?
Kumbe unakuwa na akili mkuu, nisisikie unasema sjui 'kina kimeshuka' 'ooh ukame'....kuna mpaka vimipira flani vya rubber vidogo vidogo vinatupiwa kwenye bwawa vinaelea juu, halafu vinazuia evaporation. Serikali inashindwa kuinvest kwenye technology bei cheee kama hiyo?
 
Mkuu Genta unataka kupanda chopa hahaaaaa, maza anajua kila kitu ni vile tu anaogopa kivuli chake mwenyewe na sasa anahali mbaya sana maana anapigwa spana asigombee mitano tena, kimsingi maza hayuko firm eneogh katika mambo mengi ya msingi labla aje amsakizie diblo huo msala ajifanye yeye hajui .
 
Tunaimani na mama.kuna watu mnatumika vibaya na lile kundi lenu.mama anaupiga mwingi
 
Back
Top Bottom