Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

Serikali iwekeze kwenye ujenzi wa mabwawa ya kutunza maji ya mvua, angalua hata lita bilioni 50 haya yanatosha kwa miezi 3 kwa Jiji la Dar na Pwani.
Mradi wa kisarawe upelekwe haraka ili tupate maji yakutosha
 
Tanzania ni nchi ya mabogus vilaza watu wasio jielewa viongozi hakuna wapo kwa ajili ya maslahi yao wenyewe kazi yao ni kuwaza kuiba hela za umma kwenda kuhonga dada zetu akuna wanachofikiria
Awawezi kutatua changamoto ndogondogo kama maji na umeme wapo wapo tuu kama mazombi bora hii nchi tumpe mkoloni atuongoze maaana atujitambui
Imagine kiongozi mkubwa msomi wa PHd anakaa jukwaani anasema tukae tumwombe mungu ndo atuletee maji na vyanzo vya maji vinapita milangoni mwetu hata huyo wanayesema tumwombe huko aliko anatucheka kweli kweli.
 
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Ila huyu maza namuonea huruma yani watu wanaomzunguka kheeee
 
Mchina wa mboga mboga alikuwa anasingiziwa tuu..

Mwisho kama maji ya mtu huo hayaruhusiwi kufanyia shughuli za kilimo ielwzwe tuu watu wajue ila vinginevyo sioni kosa lao maana hayi maji yanaishia baharini..

Serikali inafanya uzembe tuu kwa nini wao wasichimbe mabwawa yao makubwa ya kuhifadhi maji ya matumizi badala yake watafute kisingizio kwa wawekezaji?
Na kila msimu wa mvua maji yanatiririka kwenda bahari ya hindi; hayo wangeyavuna na kuyatumia kwa mashamba na kuyahifadhi kwenye mabwawa.
 
Ukiona GENTAMYCINE The Great nakuja na Taarifa au Angalizo kama hivi nakushauri au nakuomba niamini au niamini tena kwa 100%.

Na kwa Kukusaidia tu Mkuu usidhani kuwa hata huyu Waziri husika Uliyemtaja hapa hajui hili ila ukweli ni kwamba nae pia ameshakuwa "fixed ' na hana la Kufanya au Kuwafanya kwani Mmoja wa Wachepushaji hayo Maji ni Mtu fulani Mstaafu mwenye Ushawishi mkubwa wa Kimaamuzi kwa aliyemteua Yeye kuwa hapo na katika 'Docket' yake hiyo.
Mzee kwanini usimwage ugali tu hapa kwa kuwataja wahusika ili wa wakati wa dar wajue shida na matatizo wanayoyapata ni kundi furani ebu wataje
 
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Ni huko mbwawa?
 
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.

Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.

Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.

Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Wanyonge tunateseka wenye vyao wanajilia na kujichukulia tu...kweli tupo dunia mbili tofauti
 
Lisemwalo lipo GENTAMYCIME asipuuzwe apewe chopa akaonyeshe, Awesu apite na huku, ya mwanafunzi darasa la 7 yalikua km hivi hivi fichua fichua, naomba GENTAMYCIME aongezewe ulinzi na chopa apewe akaonyeshe huo mchepuko wa maji ulipo
Nachoka kila Siku kuwafafanulieni kuwa Siitwi huyu Tapeli GENTAMYCIME aliyeiiga hii ID yangu Ili Kusafiria Nyota yangu Kali ya Kiumaarufu na Kiuwasilishaji wa Kipekee hapa JamiiForums.

Naitwa GENTAMYCINE ambaye nimejiunga hapa Jamiiforums mwaka 2013 Mwezi July na huyu Tapeli wa Kuiiga ID yangu GENTAMYCIME amajiunga hapa miezi.ya Karibuni tu na mwaka huu.

Kwanini msiwe mnazihakiki Kwanza hizi ID's kabla ya Kuzichanganya? Hivi kuna Member mzoefu na mkongwe hapa JamiiForums hajui kuwa ID yangu GENTAMYCINE pia ina Avatar ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu ambaye namkubali ( nampenda ) mno?

Mnanichosha Kuwafafanulieni 24/7.
 
kama unachokisema ni kweli. umefanya jambo la maana kulitaarifu. lakini umekosea kitu kimoja tu. hoja yako umeiwasilisha kitoto toto zyd.
 
Unaongea pumba.. hata kama yanaishia baharini kazi yake kubwa nikusambazwa kwa matumizi ya binadamu.. ndo maana Egypt wapo tayari kuingia vitani na yeyote atakaye chepusha maji ya mto Nile..

Sasa jiulize maji ya mto Nile yanaishia wapi..??

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa hili Dini ulilompa hapa utashangaa hilo Juha ( Fool ) litakuja tena Kukubishia au kuendelea Kuuliza Swali lake la Kipuuzi.
 
Back
Top Bottom