Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimwamini mwanasiasa,
Kwahiyo Makala alitumwa akafunike funike mambo yaishe?
Ila huyu maza namuonea huruma yani watu wanaomzunguka kheeeeTena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.
Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.
Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.
Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Na kila msimu wa mvua maji yanatiririka kwenda bahari ya hindi; hayo wangeyavuna na kuyatumia kwa mashamba na kuyahifadhi kwenye mabwawa.Mchina wa mboga mboga alikuwa anasingiziwa tuu..
Mwisho kama maji ya mtu huo hayaruhusiwi kufanyia shughuli za kilimo ielwzwe tuu watu wajue ila vinginevyo sioni kosa lao maana hayi maji yanaishia baharini..
Serikali inafanya uzembe tuu kwa nini wao wasichimbe mabwawa yao makubwa ya kuhifadhi maji ya matumizi badala yake watafute kisingizio kwa wawekezaji?
Mzee kwanini usimwage ugali tu hapa kwa kuwataja wahusika ili wa wakati wa dar wajue shida na matatizo wanayoyapata ni kundi furani ebu watajeUkiona GENTAMYCINE The Great nakuja na Taarifa au Angalizo kama hivi nakushauri au nakuomba niamini au niamini tena kwa 100%.
Na kwa Kukusaidia tu Mkuu usidhani kuwa hata huyu Waziri husika Uliyemtaja hapa hajui hili ila ukweli ni kwamba nae pia ameshakuwa "fixed ' na hana la Kufanya au Kuwafanya kwani Mmoja wa Wachepushaji hayo Maji ni Mtu fulani Mstaafu mwenye Ushawishi mkubwa wa Kimaamuzi kwa aliyemteua Yeye kuwa hapo na katika 'Docket' yake hiyo.
Mleta mada tumia hata code kuwataja wahusika tutawajua tuAweso ni bogus kabisaaaa
Sawa ze gritiMimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Ni huko mbwawa?Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.
Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.
Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.
Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
hii comment ni ya ki ji nga sana. kwa hiyo anakubali kuhujumiwa. ukiwa weak haya mambo lazima yatokeeMama anahujumiwa sana
Wanyonge tunateseka wenye vyao wanajilia na kujichukulia tu...kweli tupo dunia mbili tofautiTena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.
Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.
Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.
Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Nachoka kila Siku kuwafafanulieni kuwa Siitwi huyu Tapeli GENTAMYCIME aliyeiiga hii ID yangu Ili Kusafiria Nyota yangu Kali ya Kiumaarufu na Kiuwasilishaji wa Kipekee hapa JamiiForums.Lisemwalo lipo GENTAMYCIME asipuuzwe apewe chopa akaonyeshe, Awesu apite na huku, ya mwanafunzi darasa la 7 yalikua km hivi hivi fichua fichua, naomba GENTAMYCIME aongezewe ulinzi na chopa apewe akaonyeshe huo mchepuko wa maji ulipo
Mkuu kwa hili Dini ulilompa hapa utashangaa hilo Juha ( Fool ) litakuja tena Kukubishia au kuendelea Kuuliza Swali lake la Kipuuzi.Unaongea pumba.. hata kama yanaishia baharini kazi yake kubwa nikusambazwa kwa matumizi ya binadamu.. ndo maana Egypt wapo tayari kuingia vitani na yeyote atakaye chepusha maji ya mto Nile..
Sasa jiulize maji ya mto Nile yanaishia wapi..??
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Huna Akili na acha kunipotezea muda.kama unachokisema ni kweli. umefanya jambo la maana kulitaarifu. lakini umekosea kitu kimoja tu. hoja yako umeiwasilisha kitoto toto zyd.