The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Acha upuuzi,maji ya yalishakuwepo Shinyanga na Kahama so yalifikisha Tabora tuu ,sio kazi ya kujivunia miaka 5..Kama unamuongelea Magufuli, alifikisha maji kutoka Ziwa Victoria mpaka Mkoa wa Tabora na kazi ilikuwa inaendelea ilioanzishwa na Mkapa ya kusambaza maji ya Ziwa Viktoria kwenye Mikoa ya karibu, wakazi wa Tabora (baadhi atleast) wana maji kutoka Ziwa Victoria!
Kwa hiyo huko Tabora maji sio shida si ndio?