Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Nimeosha mikono!Happy new Year!
Nahisi uko nyuma kwa fikra! Unategemea m-TZ akatafute ardhi Kenya! For what? Kenya ndo wanahangaika kutafuta ardhi TZ. Mbona hamtafuti ardhi Uganda? firstly, Solve your internal problems. Badala ya kutatua matatizo ya Kenya, unatafuta njia ya kupeleka matatizo yako nje, kwa jirani! Rubbish!