Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, kila kitu bure, kila kitu beiwauree, hakuna hiyo sasa. Tulipeni ili miradi tuweze kuitunza. Sawa ndugu zangu!
Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.
Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.
Arusha
Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.
Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.
Arusha