Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yupo Masaki DSM jirani na kwa WariobaYote Kwa yote, Unguja hakuna mgao wa Umeme. Mstaafu SheIn anaishi bara sehem Gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo Masaki DSM jirani na kwa WariobaYote Kwa yote, Unguja hakuna mgao wa Umeme. Mstaafu SheIn anaishi bara sehem Gani?
Yupo Masaki DSM jirani na kwa Warioba
Ipo siku tutawafukuza warudi kwaoBado wazanzibari wanafaidi matunda ya umeme wa bure
Ipo siku tutawafukuza warudi kwao
Hata 2040 lazima tuwatoe, Ikulu sahivi imejaa wazanzibar tupuKwa katiba ipi?
Hata 2040 lazima tuwatoe, Ikulu sahivi imejaa wazanzibar tupu
[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ndio maana hashtuki bei za bidhaa zinavyopanda kila siku, kwa hii mentality tujifunge mikanda.
Sana wanatuona sisi mazuzu tupuTusubirie mkuu. Wakati huo huo usisahau huku kwao wanajipanga na kuisuka nchi Yao kuliko kawaida.
Tulichokizoea bure kitu gani hicho Mkuu wetu Mh Rais?.
Kuusu suala la bili ya maji Rais Samia Suluhu amesema serikali inamkakati wa kuondoa tatizo hilo “Tunakuja na suluhu ya kutatua tatizo [maji] tunachotaka ni kwamba mita za maji za kununua, unafungiwa mita yako unanunua maji kwa mita, unacholipa ndiyo huduma utakayopata, pesa yako ikikatika na maji yanakatika. Hiyo itakuwa haina malalamiko.” -Rais Samia SuluhuRais Samia: Watanzania tumezoea bure, kila kitu bure, kila kitu beiwauree, hakuna hiyo sasa. Tulipeni ili miradi tuweze kuitunza. Sawa ndugu zangu!
Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.
Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.
Arusha
Ipi hiyo ya Bure ndugu yangu?Labda elimu
Hatari.Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, kila kitu bure, kila kitu beiwauree, hakuna hiyo sasa. Tulipeni ili miradi tuweze kuitunza. Sawa ndugu zangu!
Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.
Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.
Arusha
Ni muda muafaka sasa zenji walipe madeni ya bili ya tanesco kuliko kusubiri msamaha wa raisi.Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, kila kitu bure, kila kitu beiwauree, hakuna hiyo sasa. Tulipeni ili miradi tuweze kuitunza. Sawa ndugu zangu!
Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.
Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.
Arusha