Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, hakuna hiyo sasa

Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, hakuna hiyo sasa

Yeye alipaswa aonyeshe mfano hai badala ya maigizo
Hawezi kuonyesha kwa sababu hana sababu ya kuonyesha. Ana hofu gani? Kama ni uchaguzi ana uhakika atatumia dola kufoji na wananchi watakaa kimya. Kama ni maisha mazuri basi anayo na ndugu zake wote wanaishi vizuri. Mpira uko kwa watanzania. Tungekuwa tunajitambua mara baada ya kutamka maneno ya kijinga kama hayo angezomewa kabisa na mkutano ungeishia hapo hapo. Tumezoea vya bure wakati wao ndiyo wamezoea vya bure tena wanaiba kama hawana akili? Kweli madaraka ni kilevi kibaya sana!
 
Yeye anakula ana lala bure bure..ukimuuliza hata bei ya kilo ya unga hajui...bure kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni huduma ipi Watanzania tunapewa "bure" na Serikali??
Ukisema elimu ya msingi mpaka form six bado siyo bure asilimia 100 maana kuna gharama ambazo wazazi wanalipia.

Hatutaki maji ya bure, tunataka bili za maji ziwe za haki na halali na sio bili za kubambikizwa.

Kwakweli bila kupepesa macho wala kumung'unya maneno, huyu Mama amedhihirisha wazi kabisa kuwa Mwanamke hawezi kuongoza taifa hili.

Kipindi kifupi tu cha miaka 2 leo hii gharama za maisha zimekuwa juu mfano wake haujawahi kutokea.

Huyu Mzanzibari ni Rais mbovu kabisa kuwahi kutokea katika taifa hili. Anyways, 2025 siyo mbali, tutafanya maamuzi sahihi.
 
Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, kila kitu bure, kila kitu beiwauree, hakuna hiyo sasa. Tulipeni ili miradi tuweze kuitunza. Sawa ndugu zangu!

Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.

Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.

Arusha


Bure kivipi wakati kila siku wanakatwa pesa ya tozo.
 
Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, kila kitu bure, kila kitu beiwauree, hakuna hiyo sasa. Tulipeni ili miradi tuweze kuitunza. Sawa ndugu zangu!

Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.

Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.

Arusha

Huyu mwanamke atarudisha elimu kulipia sasa hivi. Huyu ni rais wa wafanya biashara. Kwanza ni tamaa zao tu mbona tayari hakuna bure kuondoa elimu. Hospitali tunalipa, maji tunalipa umeme tunalipa tunalipa, chakula tunalipa, mavazi tunanunua sasa anatusimanga nini wakari serikali yake haitununulii chakula.. Kila kitu tunalipa.
Aseme tu kwa uroho wa matajiri na wafanya biashsra anaowatetea kuliko wavuja jasho anatuandaa kulipa huduma kama barabara madaraja, na ulinzi.
Huyu mama amesahau kabisa kama chama chake sera yake rasmi bado ni ujamaa na kujitegemea. Ccm sasa inatoka kwenye sera ya kulinda maslahi ya umma na kupendelea mabwanyenye. Ubepari wenyewe wizi mtupu wa umma kwa kupeana michongo kunyonya mali na fedha ya umma.
 
Mamlaka ya maji inapaswa kutoa elimu kwa jamii kuhusu Bei ya units za maji Kama ilivo kwenye Umeme,,sio ile tu unambiwa bill ila hujui umetumia units ngap na Kila unit ni shingapi
 
Mamlaka ya maji inapaswa kutoa elimu kwa jamii kuhusu Bei ya units za maji Kama ilivo kwenye Umeme,,sio ile tu unambiwa bill ila hujui umetumia units ngap na Kila unit ni shingapi
 
Kafikia stage kusema watanzania wanapenda vya bure

Anikumbushe toka Hayati Nyerere ameachia madaraka ni lini Tanzania kuna kitu chochote cha bure?

Elimu yenyewe hiyo mnayosema ya bure kuna ndugu yangu mwaka huu katoa michango ya zaidi ya laki 2 mtoto wake aliyekuwa anaanza shule ya kata tena vijijini huko!!

Rais anatukosea heshima watanzania hakuna Mtanzania anayepata huduma yoyote bure isipokuwa yeye mwenyewe na Mawaziri wake na wengine Serikalini.

Maji, Umeme,kodi, na kila kitu watanzania tunalipia ndio maana mnapata pesa za bure kununua ma v8

Hakuna Mtanzania wa kawaida anayepewa chochote bure leteni umeme na maji ya uhakika acheni porojo. Tuna serikali ya kipumbavu Sana itoshe kusema!!.
Screenshot_20221123-213920_1.jpg
 
Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, kila kitu bure, kila kitu beiwauree, hakuna hiyo sasa. Tulipeni ili miradi tuweze kuitunza. Sawa ndugu zangu!

Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.

Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.

Arusha

IMG-20221123-WA0185.jpg
 
Kafikia stage kusema watanzania wanapenda vya bure

Anikumbushe toka nyerere ameachia madaraka ni lini Tanzania Kuna kitu chochote Cha bure?

Elimu yenyewe hiyo mnayosema ya bure Kuna ndugu yangu mwaka huu katoa michango ya zaidi ya laki 2 mtoto wake aliyekuwa anaanza shule ya kata tena vijijini uko!!

Rais anatukosea heshima watanzania hakuna mtanzania anayepata Huduma yeyote bure isipokuwa yeye mwenyewe na mawaziri wake na takataka zingine serikalini.

Maji, Umeme,kodi, na kila kitu watanzania tunalipia ndio maana mnapata pesa za bure kununua ma v8

Hakuna mtanzania wa kawaida anayepewa chochote bure leteni umeme na maji ya uhakika acheni polojo. Tuna serikali ya kipumbavu Sana itoshe kusema!!.View attachment 2425417
Labda anaizungumzia Zanzibar maana kule vingi ni Bure[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom