Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, hakuna hiyo sasa

Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, hakuna hiyo sasa

Umgetuweke segment ya hotuba yake ilituijadili.
 
Kafikia stage kusema watanzania wanapenda vya bure

Anikumbushe toka Hayati Nyerere ameachia madaraka ni lini Tanzania kuna kitu chochote cha bure?

Elimu yenyewe hiyo mnayosema ya bure kuna ndugu yangu mwaka huu katoa michango ya zaidi ya laki 2 mtoto wake aliyekuwa anaanza shule ya kata tena vijijini huko!!

Rais anatukosea heshima watanzania hakuna Mtanzania anayepata huduma yoyote bure isipokuwa yeye mwenyewe na Mawaziri wake na wengine Serikalini.

Maji, Umeme,kodi, na kila kitu watanzania tunalipia ndio maana mnapata pesa za bure kununua ma v8

Hakuna Mtanzania wa kawaida anayepewa chochote bure leteni umeme na maji ya uhakika acheni porojo. Tuna serikali ya kipumbavu Sana itoshe kusema!!.View attachment 2425417
Nakubaliana na wewe 100 %. Rais, Mawaziri na Wabunge ndiyo wanapata vya bure na wamezoea. Sasa wamenogewa wanajisahau. Yule Mbunge Slaa alipokuwa wazi kuwa hawalipwi kodi Ndugai akaamua kumnyamazisha.

Maza atuambie ni nini anacholipia ambacho Watanzania hawalipwi.
 
Kafikia stage kusema watanzania wanapenda vya bure

Anikumbushe toka Hayati Nyerere ameachia madaraka ni lini Tanzania kuna kitu chochote cha bure?

Elimu yenyewe hiyo mnayosema ya bure kuna ndugu yangu mwaka huu katoa michango ya zaidi ya laki 2 mtoto wake aliyekuwa anaanza shule ya kata tena vijijini huko!!

Rais anatukosea heshima watanzania hakuna Mtanzania anayepata huduma yoyote bure isipokuwa yeye mwenyewe na Mawaziri wake na wengine Serikalini.

Maji, Umeme,kodi, na kila kitu watanzania tunalipia ndio maana mnapata pesa za bure kununua ma v8

Hakuna Mtanzania wa kawaida anayepewa chochote bure leteni umeme na maji ya uhakika acheni porojo. Tuna serikali ya kipumbavu Sana itoshe kusema!!.View attachment 2425417
Dharau dhidi ya Raia huletwa na viongozi ambao hawakuchaguliwa
 
Hivi ni hekima ipi iliyotumika kufanya hawa viongozi wa kiserikali waishi maisha ya kifahari kwa gharama za kodi za wananchi? Maana pamoja na kugharamia maisha yao ya kifahari ila bado wanafanya ufisadi wanazidi kutunyonya sie.
 
Bure? Acha nifikiri kitu gani chatolewa bure na serikali...
 
Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, kila kitu bure, kila kitu beiwauree, hakuna hiyo sasa. Tulipeni ili miradi tuweze kuitunza. Sawa ndugu zangu!

Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.

Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.

Arusha

Sawa tumezoea vya bure.
Viongozi wao wamezoea vya kuiba(ufisadi).
 
Km kiongozi anasema maneno km hayo wakati tunakatwa kodi na tozo juu bado huduma za afya ni mbovu.Viongozi wengine wako busy kusifu na kuabudu.Nchi imekosa mwelekeo sababu nj ya viongozi walio shiba wanapigiana simu ohoo hawa pimbi tatizo lao wamezoea vya bure na kesho nawachana [emoji56][emoji56].acha tu niishie hapa
 
Rais Samia: Watanzania tumezoea bure, kila kitu bure, kila kitu beiwauree, hakuna hiyo sasa. Tulipeni ili miradi tuweze kuitunza. Sawa ndugu zangu!

Pia Rais Samia ameongelea miradi ambapo amesema katika miaka miwili aliyokabidhiwa madaraka hakuna mradi uliosimama ambapo mengine imezinduliwa na mingine inaendelea.

Awali mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo alitoa kilio cha wakazi wa Arusha kulalamikia bili kubwa za maji na kumuomba Rais Samia aiagize wizara ya maji iwapelekee mita kama za LUKU na mtu akitaka maji ya 10,000 anaweka anatumia mpaka iishe.

Arusha

Kauli ya Rais Samia ni ya ukweli kabisa. Serikali imetoa ruzuku kwa vitu vingi mno na watanzania wamechukulia kama haki yao. Nadhani ni wakati sasa wa kuondoa ruzuku ili kuwakomesha kabisa hawa wanaodharau viongozi
 
Ruzuku inatokana na kodi ya Watanzania
Kauli ya Rais Samia ni ya ukweli kabisa. Serikali imetoa ruzuku kwa vitu vingi mno na watanzania wamechukulia kama haki yao. Nadhani ni wakati sasa wa kuondoa ruzuku ili kuwakomesha kabisa hawa wanaodharau viongozi
 
Back
Top Bottom