Rais Samia, watanzania wameudhika sana na Idadi/aina ya watu katika msafara wako India

mbona hukuuliza kipindi kile cha magufuri kumpa udas mwanae Rucy magufuri, punguzeni wivu wakuu
 
Madaraka yanalevya, acha kabisa.
 
Sasa kama huungi ufisadi mbona tena unataka tusiukemee? Au unataka tusiuunge na tusiukemee?
 
...Wewe ni CHAWA? Usipende tulinganishe na Ulaya !
Tuko Sawa Kiuchumi ?
Unasema tusimuonee mama maana hajaleta umasikini Wetu ?
Serious ?
Kwa hiyo wewe unaona ni Sawa tuwe na Kundi la Watu 62.kwenda safari maana Hata tukiwafukuza Nchi haitakuwa Tajiri !

Haiwezi kuwa Tajiri Kawa tuna Wenzetu wengine hawaoni Kwamba we have to start somewhere.
Kusiwe na Safari za Watu 62 ! Balozi zetu Zina Kazi Gani Hadi tusafirishe Watu 62 ??

Fedha iliyotumika kwenye Safari hiyo.si ingwezeka ikatuwezesha kuanza kusolve japo kidogo Moja Matatizo rundo yanayotusibu ?

Tuache hizi mindset za UCHAWA na tukubali kwamba Wengi wacholalamikia hakipaswi kuwa hivyo !
Tusilete Maelezo mareefu ili kufifisha Hoja !
 
...Wewe Sio Mpinzani. Wewe ni CHAWA ! Ingekuwa Mpinzani kweli ulipaswa kujua kwamba katika hili hupaswi kuliunganisha wanavyofanya Viongozi Ulaya na wanavyofanya Bongo.
Kwani Tuko Sawa Kiuchumi??
 
Kila aliyepo kwenye msafara wa Rais yupo kwa kazi maalumu ya kuiwakilisha nchi, ulitaka matako yako yapelekwe ndio ufurahi..?

Wivu ni kitu kibaya sana
 
Mambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.

Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Mkuu utahoji nini kwenye ziara ya Rais au mgeni yeyote toka nje akija Tanzania? Wanao paswa kuhoji ni walipa kodi ya America, ila sisi Watanzania tulifurahi sababu alituletea pesa ya kigeni. Kama India inavyofurahia ujio wa Rais Samia, jiulize ni vyumba vingapi vya hotel achilia mbali chakula, shopping watakazofanya na wengine wataenda hospital kusafisha meno, kufanya check up nk nk.
 
Kama unafikiri kuwa corruption in all forms Ndiyo chanzo cha umaskini wetu, please think again.
 
Hii imenikunbusha msafara wa Mzee Mwinyi [Mzee Ruksa] na ujumbe mkubwa kwenye mkutano wa mazingira Rio de Jeneiro, Brazil miaka ya 1999. Ujumbe ule ilikuwa ni kashfa kwenye serikali yake.

Vv
 
Mumeo vipi hajaenda!?
 
Abdul anayesemwa hapo ni nani?
 
Mliingizwa mkenge, hiyo picha ya Steve na Monalisa sio kweli, Yeriko Nyerere alianzisha huo uvumi ameomba radhi, hiyo picha Steve na Monalissa walikuwa wakielekea Mwanza
Tuwekeeni hapa orodha ya walio kwenye msafara basi. Walipa kodi tunataka kujua, maana maneno yemekuwa mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…