Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
mbona hukuuliza kipindi kile cha magufuri kumpa udas mwanae Rucy magufuri, punguzeni wivu wakuu1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
RUBBISH!mbona hukuuliza kipindi kile cha magufuri kumpa udas mwanae Rucy magufuri, punguzeni wivu wakuu
Madaraka yanalevya, acha kabisa.1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Nitafurahije aisee!!!!Ikimpendeza Mungu Boeing ya ATCL ipotelee baharini,, ituepushe na hili zongo,,
Sasa kama huungi ufisadi mbona tena unataka tusiukemee? Au unataka tusiuunge na tusiukemee?Scratch your head how to eradicate povert usilaumu tu watu, wewe umewajibika jwa kiwango gani kuundoa huo umasikini
Nimekuuliza tu hso viongozi wakitolewa wote umasikini TZ utakuwa historia?
Kama shida ni viongozi , kwa nini nchi zilizoondoa viongozi wa chama tawala bado masikini? Mfano ni Nigeria kiongozi wa upinzani Buhari katawala miaka 8 sasa .
Mna jadili zaidi kwa mihemko hasa ya wanasiasa na wanaharakati.
Jadili scientifically, je ni kweli sababu ya umasikini wetu ni hao viongozi au chama tawala?
Hapo Kenya hawajakiondoa chama tawala na kuvadili katiba na kuwaondoa wale walidhani ni mafisadi ! Je Kenya ni nchi tajiri?
Kwa mtazamo wenu huo mtaendelea kujidanganya sana kuamini eti viongozi ndio chanzo cha umasikini wenu.
UMASIKINI NICOMPLEX TERM NA KUUNDOA SIO KWA MAJIBU RAHISI TU ETI MAFISADI NDIO WANAO SABABISHA.
Unataka kuniambia hizo pesa wanazoiba na kutumia ndio chanzo cha umasikini TZ.
Shida kubwa sana ninayoiona kwa sisi waafrika ni kutojipa homework ya kufikiri na kubeba majibu rahisi ya watu wengine, Hasa wanasiasa.
Uongozi bora unaweza changia tu asilimia fulani lakini sio chanzo kikuuu cha utajiri au umasikini hasa kwa mtu mmoja mmoja.
Kwa nini usiulaumu UJINGA KUWA NDIO CHANZO KIKUU CHA UMASIKINI.
BRo! Hata tuwe na Magufuri mia hakuna maendelro yataletwa na kiongozi bila urashi wa wananchi wa kawaida.
Ubapolaumu biobgozi tupia jicho na kwenye mtaa, kwenye grass root Je watu wana dhamira ya kuondokana na umasikini.
Niba uhakika hata ukiwekwa wewe mzalendo kywa kiongozi huwexi uonfoa yasikini uliopo kwa sisi wa watanzania. Watabzania wameanya unasikini uwe sehemu ya mrisga yao kwa vitenfo ba jwa fikra.
Zamani nilikuwa nalaumu kama wewe, siku hizi nayapima mambo kayika uhslisia wake.
Siungi mkono ufisadi ila siamini kuwa ufisadi ndio chanzo kikuu cha umasikini wetu, ufisadi huenda usifike hata 10% ya sababu ya umasikini wetu.
...Wewe ni CHAWA? Usipende tulinganishe na Ulaya !Bro.
Katika hili mnauonea Samia.
1. Kuna dhambi gani mama na mwana kutembea mbona hata Ulaya wanatembea na familia?
Hii ni roho mbaya ....hata mimi ni mpinzani 100% lakini hii hoja ni upumbavu mtupu.
2. Wasanii...umemuona nani huko???
3. Mawaziri, hili halikwepeki kwani kila Waziri ameenda kuwakkilosha wizara yake
We ni mshenzi asee, we ni wakuzabwa makofi shenzi kabisaIkimpendeza Mungu Boeing ya ATCL ipotelee baharini,, ituepushe na hili zongo,,
...Wewe Sio Mpinzani. Wewe ni CHAWA ! Ingekuwa Mpinzani kweli ulipaswa kujua kwamba katika hili hupaswi kuliunganisha wanavyofanya Viongozi Ulaya na wanavyofanya Bongo.Bro.
Katika hili mnauonea Samia.
1. Kuna dhambi gani mama na mwana kutembea mbona hata Ulaya wanatembea na familia?
Hii ni roho mbaya ....hata mimi ni mpinzani 100% lakini hii hoja ni upumbavu mtupu.
2. Wasanii...umemuona nani huko???
3. Mawaziri, hili halikwepeki kwani kila Waziri ameenda kuwakkilosha wizara yake
...Wewe ni CHAWA? Usipende tulinganishe na Ulaya !
Tuko Sawa Kiuchumi ?
Unasema tusimuonee mama maana hajaleta umasikini Wetu ?
Serious ?
Kwa hiyo wewe unaona ni Sawa tuwe na Kundi la Watu 62.kwenda safari maana Hata tukiwafukuza Nchi haitakuwa Tajiri !
Haiwezi kuwa Tajiri Kawa tuna Wenzetu wengine hawaoni Kwamba we have to start somewhere.
Kusiwe na Safari za Watu 62 ! Balozi zetu Zina Kazi Gani Hadi tusafirishe Watu 62 ??
Fedha iliyotumika kwenye Safari hiyo.si ingwezeka ikatuwezesha kuanza kusolve japo kidogo Moja Matatizo rundo yanayotusibu ?
Tuache hizi mindset za UCHAWA na tukubali kwamba Wengi wacholalamikia hakipaswi kuwa hivyo !
Tusilete Maelezo mareefu ili kufifisha Hoja !
Mkuu utahoji nini kwenye ziara ya Rais au mgeni yeyote toka nje akija Tanzania? Wanao paswa kuhoji ni walipa kodi ya America, ila sisi Watanzania tulifurahi sababu alituletea pesa ya kigeni. Kama India inavyofurahia ujio wa Rais Samia, jiulize ni vyumba vingapi vya hotel achilia mbali chakula, shopping watakazofanya na wengine wataenda hospital kusafisha meno, kufanya check up nk nk.Mambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Kama unafikiri kuwa corruption in all forms Ndiyo chanzo cha umaskini wetu, please think again.Scratch your head how to eradicate povert usilaumu tu watu, wewe umewajibika jwa kiwango gani kuundoa huo umasikini
Nimekuuliza tu hso viongozi wakitolewa wote umasikini TZ utakuwa historia?
Kama shida ni viongozi , kwa nini nchi zilizoondoa viongozi wa chama tawala bado masikini? Mfano ni Nigeria kiongozi wa upinzani Buhari katawala miaka 8 sasa .
Mna jadili zaidi kwa mihemko hasa ya wanasiasa na wanaharakati.
Jadili scientifically, je ni kweli sababu ya umasikini wetu ni hao viongozi au chama tawala?
Hapo Kenya hawajakiondoa chama tawala na kuvadili katiba na kuwaondoa wale walidhani ni mafisadi ! Je Kenya ni nchi tajiri?
Kwa mtazamo wenu huo mtaendelea kujidanganya sana kuamini eti viongozi ndio chanzo cha umasikini wenu.
UMASIKINI NICOMPLEX TERM NA KUUNDOA SIO KWA MAJIBU RAHISI TU ETI MAFISADI NDIO WANAO SABABISHA.
Unataka kuniambia hizo pesa wanazoiba na kutumia ndio chanzo cha umasikini TZ.
Shida kubwa sana ninayoiona kwa sisi waafrika ni kutojipa homework ya kufikiri na kubeba majibu rahisi ya watu wengine, Hasa wanasiasa.
Uongozi bora unaweza changia tu asilimia fulani lakini sio chanzo kikuuu cha utajiri au umasikini hasa kwa mtu mmoja mmoja.
Kwa nini usiulaumu UJINGA KUWA NDIO CHANZO KIKUU CHA UMASIKINI.
BRo! Hata tuwe na Magufuri mia hakuna maendelro yataletwa na kiongozi bila urashi wa wananchi wa kawaida.
Ubapolaumu biobgozi tupia jicho na kwenye mtaa, kwenye grass root Je watu wana dhamira ya kuondokana na umasikini.
Niba uhakika hata ukiwekwa wewe mzalendo kywa kiongozi huwexi uonfoa yasikini uliopo kwa sisi wa watanzania. Watabzania wameanya unasikini uwe sehemu ya mrisga yao kwa vitenfo ba jwa fikra.
Zamani nilikuwa nalaumu kama wewe, siku hizi nayapima mambo kayika uhslisia wake.
Siungi mkono ufisadi ila siamini kuwa ufisadi ndio chanzo kikuu cha umasikini wetu, ufisadi huenda usifike hata 10% ya sababu ya umasikini wetu.
Acheni wivu! Mama yetu Dkt (Tanzania) na Dkt (India kwenye chuo maarufu duniani) tunampenda sana tena sana!...We CHAWA. Ndio maana unapinga aliyoandika mleta Mada.... !
Mumeo vipi hajaenda!?1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Abdul anayesemwa hapo ni nani?1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Kwani Obama alikuwa anatumia pesa za kuomba omba misaada kwenye nchi zingine kama Sa100 ?!Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Tuwekeeni hapa orodha ya walio kwenye msafara basi. Walipa kodi tunataka kujua, maana maneno yemekuwa mengiMliingizwa mkenge, hiyo picha ya Steve na Monalisa sio kweli, Yeriko Nyerere alianzisha huo uvumi ameomba radhi, hiyo picha Steve na Monalissa walikuwa wakielekea Mwanza