Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais na mawaziri wake wapo kazini, hawalali, hawapumziki, usiku na mchana, ndani ya nchi, nnje ya nchi wanachapa kazi barabara kwa maslahi mapana ya Taifa.1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Umasikini unazaa mawazo ya Hovyo sana!1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Kwahiyo hapa ni USA vs Tanzagiza, hapa simu yangu muda wowote imazima, ulinganishe USA kweli ?Mambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Wivu tuu,yote hayo ya kuanzia namba 1-9 yangekuwa ndivyo ilivyo basi huko mtaani kusingekalika.1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Kwaiyo mama abduli na Obama hali zao za nchi now tunaweza ku comparedMambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Imalamawazo angalia walivyokujibu wengi. next time think twice , thrice before responding!Mambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Kwa akili yako miniature unaona hivyo! Wewe una umasikini wa akili ya kufikiri........ wasanii wamesaini miradi gani? Rubbish!Umasikini unazaa mawazo ya Hovyo sana!
Yaani ulichofuatilia kwenye ziara yote hiyo ni hicho ulichoandika hapo?
Wewe umesikia imesainiwa Mikataba ya Miradi 15-wewe ulidhani ni nani wangesaini iyo Mikataba?
Siyo mawaziri husika?
Tujadili namna Rupia inaweza kufanya Biashara na Shilingi!
Hizo hoja ni nyepesi mno!!!
Rubbish!Rais na mawaziri wake wapo kazini, hawalali, hawapumziki, usiku na mchana, ndani ya nchi, nnje ya nchi wanachapa kazi barabara kwa maslahi mapana ya Taifa.
hao wengine ni waTanzania kama wewe tu, next time itakua wewe mkuu, ntakupendekeza
Okay wasteRubbish!
rubbish mwenyewe...magufuri kawapachika wasukuma wangapi kwenye sector mbalimbali mbona hilo hamlisemi au unataka ushahidi hapa?......ndugu zake wangapi wamepewa ajira au unataka niwataje hapa?........tupunguze chuki za kipumbavuRUBBISH!
sisi wanadamu hatuwezi kukosa madhaifu, madhaifu ya mama samia ni madogo sana kuliko aliyokuwa nayo magufuri,Kwangu samia niraisi borazaidi tanzania
Point sana kila mtu ashinde mechi zake..Mtakufa kwa pressure kwa kujadili kila mnaloliona. Unajua maana ya state visit lakini???
You are stupid and miniature-minded.rubbish mwenyewe...magufuri kawapachika wasukuma wangapi kwenye sector mbalimbali mbona hilo hamlisemi au unataka ushahidi hapa?......ndugu zake wangapi wamepewa ajira au unataka niwataje hapa?........tupunguze chuki za kipumbavu
Mfumo CCM jamani tuondokane nao!1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
sasa wewe unatakaje?, hama nenda burundiYou are stupid and miniature-minded.
Why are you stupid and a miniature creature? The saying goes thus: Two wrongs don't make a right ...........the fact that someone has done something unjust or dishonest is no justification for acting in a similar way.
Have a nice day and enjoy your work!