Rais Samia, watanzania wameudhika sana na Idadi/aina ya watu katika msafara wako India

rubbish mwenyewe...magufuri kawapachika wasukuma wangapi kwenye sector mbalimbali mbona hilo hamlisemi au unataka ushahidi hapa?......ndugu zake wangapi wamepewa ajira au unataka niwataje hapa?........tupunguze chuki za kipumbavu
Mpaka makonda fake cheti.
 
Mambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.

Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Umbwa imekomenti hapa!
 
Aliwahi kusikika akisema nendeni kila mtu akale kwa urefu wa kamba yake.
 
Chanzo cha umasikini ni uongozi mbovu. Kwa scenerio alioelezea jamaa chain haiishii hapo kwenye ziara ya Rais tu. Viongozi na watumishi wengine wakiona hayo wanajifunza nini? Pesa ya umma haiogopwi nao wakipata nafasi wanapiga, wafanyabiashara kama walipa kodi wakiona hayo wanajifunza nini? Kodi inaenda kutumuka kwa mambo ya kipuuzi kwaiyo watapiga chenga kulipa kodi. Chain haiishii hapo kwenye ziara ya Rais tu impact yake lazima iwe kubwa. Uongozi mbovu ndio chanzo cha matatizo yote kusema bado hatujapata uongozi mzuri sio sababu ya kuwasafisha hawa wabovu tulionao. Point yako ni sawa na kusema masikini aridhike na umasikini wake bila kufanya jitihada za kujinasua ili awe na hali nzuri
 
Magufuli kaacha viwango vya utendaji vya juu sana na sisi watanzania kwa ujumla katuachia uelewa mkubwa wa haki zetu.
 
Rais Samia kwa sasa anatafuta kuvunja rekodi duniani ya kuzurura na kundi kubwa la watu kwenye mataifa mengine. Safari yake ya India, aliteua watu wa kuzurura nao wapatao 100, wote wakitumia kodi za Watanzania, walio wengi wakiishi kwenye umaskini kiasi hata cha kushindwa kuhudhuria hata baadhi ya misiba ya ndugu zao kwa kukosa nauli. Lakini kodi yao, kiongozi wao hana machungu nayo, anaamua kuitumbua kwa starehe pamoja na wale aliowateua kwa wakati husika. Miongoni mwa wazurulaji ni watoto wake, wasanii, n.k watu ambao haiingii akilini kutumia kodi za masikini kuambatana nao!

Sijui kiongozi kwa kuzurura huko nje na kundi kubwa la watu, anataka kutatua nini. Labda kwa sababu watu wamekuwa wakimlaumu kwa safari zake zisizo na tija, sasa ameamua kwenda na watu wengi, kuzurura nao, kutumbua pesa ya umma, kula vinono na starehe mbalimbali, ili hawa watu baada ya kuonjeshwa starehe zote huko nje, aone kama baada ya kurudi wataendelea kusema kuwa kuzurura nje ni kubaya. Au watasifia kuzurura kwenye mataifa mengine ili waendelee kukumbukwa kwenye starehe hizo za kuzurura kwa gharama ya wananchi.
 
Itakuwa alienda kufanya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa (birthday party) ndo maana alienda na watu hao.

Ngoja mama atumie nafasi yake, kuna siku ataondoka tu.
 
Nilijua utanitajia List ya Watu aliosafiri nao.
 
Wewe ni mtu mweusi ni kosa kumlaumu mweusi mwenzio sababu hata wewe ukipewa urais utafanya Madudu zaidi ya haya mtu mweusi hana tofaoti na punda aendi bila viboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…