Mpaka makonda fake cheti.rubbish mwenyewe...magufuri kawapachika wasukuma wangapi kwenye sector mbalimbali mbona hilo hamlisemi au unataka ushahidi hapa?......ndugu zake wangapi wamepewa ajira au unataka niwataje hapa?........tupunguze chuki za kipumbavu
Umbwa imekomenti hapa!Mambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Aliwahi kusikika akisema nendeni kila mtu akale kwa urefu wa kamba yake.1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Chanzo cha umasikini ni uongozi mbovu. Kwa scenerio alioelezea jamaa chain haiishii hapo kwenye ziara ya Rais tu. Viongozi na watumishi wengine wakiona hayo wanajifunza nini? Pesa ya umma haiogopwi nao wakipata nafasi wanapiga, wafanyabiashara kama walipa kodi wakiona hayo wanajifunza nini? Kodi inaenda kutumuka kwa mambo ya kipuuzi kwaiyo watapiga chenga kulipa kodi. Chain haiishii hapo kwenye ziara ya Rais tu impact yake lazima iwe kubwa. Uongozi mbovu ndio chanzo cha matatizo yote kusema bado hatujapata uongozi mzuri sio sababu ya kuwasafisha hawa wabovu tulionao. Point yako ni sawa na kusema masikini aridhike na umasikini wake bila kufanya jitihada za kujinasua ili awe na hali nzuriScratch your head how to eradicate povert usilaumu tu watu, wewe umewajibika jwa kiwango gani kuundoa huo umasikini
Nimekuuliza tu hso viongozi wakitolewa wote umasikini TZ utakuwa historia?
Kama shida ni viongozi , kwa nini nchi zilizoondoa viongozi wa chama tawala bado masikini? Mfano ni Nigeria kiongozi wa upinzani Buhari katawala miaka 8 sasa .
Mna jadili zaidi kwa mihemko hasa ya wanasiasa na wanaharakati.
Jadili scientifically, je ni kweli sababu ya umasikini wetu ni hao viongozi au chama tawala?
Hapo Kenya hawajakiondoa chama tawala na kuvadili katiba na kuwaondoa wale walidhani ni mafisadi ! Je Kenya ni nchi tajiri?
Kwa mtazamo wenu huo mtaendelea kujidanganya sana kuamini eti viongozi ndio chanzo cha umasikini wenu.
UMASIKINI NICOMPLEX TERM NA KUUNDOA SIO KWA MAJIBU RAHISI TU ETI MAFISADI NDIO WANAO SABABISHA.
Unataka kuniambia hizo pesa wanazoiba na kutumia ndio chanzo cha umasikini TZ.
Shida kubwa sana ninayoiona kwa sisi waafrika ni kutojipa homework ya kufikiri na kubeba majibu rahisi ya watu wengine, Hasa wanasiasa.
Uongozi bora unaweza changia tu asilimia fulani lakini sio chanzo kikuuu cha utajiri au umasikini hasa kwa mtu mmoja mmoja.
Kwa nini usiulaumu UJINGA KUWA NDIO CHANZO KIKUU CHA UMASIKINI.
BRo! Hata tuwe na Magufuri mia hakuna maendelro yataletwa na kiongozi bila urashi wa wananchi wa kawaida.
Ubapolaumu biobgozi tupia jicho na kwenye mtaa, kwenye grass root Je watu wana dhamira ya kuondokana na umasikini.
Niba uhakika hata ukiwekwa wewe mzalendo kywa kiongozi huwexi uonfoa yasikini uliopo kwa sisi wa watanzania. Watabzania wameanya unasikini uwe sehemu ya mrisga yao kwa vitenfo ba jwa fikra.
Zamani nilikuwa nalaumu kama wewe, siku hizi nayapima mambo kayika uhslisia wake.
Siungi mkono ufisadi ila siamini kuwa ufisadi ndio chanzo kikuu cha umasikini wetu, ufisadi huenda usifike hata 10% ya sababu ya umasikini wetu.
Magufuli kaacha viwango vya utendaji vya juu sana na sisi watanzania kwa ujumla katuachia uelewa mkubwa wa haki zetu.1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Na hapo tunalalamika hatuna dola.Rais Samia kwa sasa anatafuta kuvunja rekodi duniani ya kuzurura na kundi kubwa la watu kwenye mataifa mengine. Safari yake ya India, aliteua watu wa kuzurura nao wapatao 100...
Nilijua utanitajia List ya Watu aliosafiri nao.Rais Samia kwa sasa anatafuta kuvunja rekodi duniani ya kuzurura na kundi kubwa la watu kwenye mataifa mengine. Safari yake ya India, aliteua watu wa kuzurura nao wapatao 100, wote wakitumia kodi za Watanzania, walio wengi wakiishi kwenye umaskini kiasi hata cha kushindwa kuhudhuria hata baadhi ya misiba ya ndugu zao kwa kukosa nauli. Lakini kodi yao, kiongozi wao hana machungu nayo, anaamua kuitumbua kwa starehe pamoja na wale aliowateua kwa wakati husika. Miongoni mwa wazurulaji ni watoto wake, wasanii, n.k watu ambao haiingii akilini kutumia kodi za masikini kuambatana nao!
Sijui kiongozi kwa kuzurura huko nje na kundi kubwa la watu, anataka kutatua nini. Labda kwa sababu watu wamekuwa wakimlaumu kwa safari zake zisizo na tija, sasa ameamua kwenda na watu wengi, kuzurura nao, kutumbua pesa ya umma, kula vinono na starehe mbalimbali, ili hawa watu baada ya kuonjeshwa starehe zote huko nje, aone kama baada ya kurudi wataendelea kusema kuwa kuzurura nje ni kubaya. Au watasifia kuzurura kwenye mataifa mengine ili waendelee kukumbukwa kwenye starehe hizo za kuzurura kwa gharama ya wananchi.
Wewe ni mtu mweusi ni kosa kumlaumu mweusi mwenzio sababu hata wewe ukipewa urais utafanya Madudu zaidi ya haya mtu mweusi hana tofaoti na punda aendi bila viboko1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!