Rais Samia: Waziri Mchengerwa amefanya kazi nzuri sana, sasa nimempeleka TAMISEMI mwakani kuna Kivumbi

hii nchi kuna wakati tunaishi kiswahili swahili sana. kama tunafanya masihara vile.
 
Anaye mfahamu Neva Joel na Gabriel mwaipu

Tamisemi ni nani maana Dah kwenye harakati za kupambana imekutana nao facebook neva Joel kanipa namba ya Gabriel mwaipu ...na wame jiandika wako TAMISEMI ...sasa Gabriel anataka nitume pesa je nikwel wapo wanaweza nisaidia au napigwa
 
Watumie tu

Utajuwa badaye

Ova
 
Uchaguzi wa serikali za mitaa ulizikwa rasmi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…