Rais Samia wewe ni Amiri Jeshi mkuu, usibadili maamuzi kwasababu ya upepo wa kisiasa. Wamasai watimuliwe Ngorongoro

Rais Samia wewe ni Amiri Jeshi mkuu, usibadili maamuzi kwasababu ya upepo wa kisiasa. Wamasai watimuliwe Ngorongoro

Kama uliidhinisha watimuliwe kwasababu ambazo mlijiridhisha kuwa ni njema kwanini unabadili maamuzi?

Jeshi halitakiwi kurudi nyuma. Usisikilize kelele za watu. Kuna watu ulaji wao uko katika vinywa vyao hivyo hawana uchungu na taifa hili kama wanavyojinadi. Wakiona tukio watalitumia hilo tukio kujitangaza.

Wamasai sio special katika taifa hili. Jamii ya Wawanji waliokuwa wakiishi kwenye hifadhi ya Kitulo kabla ya kuwa National Park waliondolewa kwenye hifadhi mara tu baada ya Kitulo kuwa hifadhi ya Taifa.
Miaka 100 mbele kwa kasi ya Wamasai kuzaliana kutakuwa na uhifafhi tena Ngorongoro?
Kila miaka 10 wanajidabo. Miaka 100 mbele watajidabo mara ngapi?
Rais una mamlaka kubadili matumizi ya ardhi kadri utakavyo kwa maslahi ya umma. Mtu ana kijumba cha udongo au mavi ya mbuzi unamjengea nyumba ya kisasa unamwamisha kwa gharama za serikali lakini wapuuzi wanasiasa uchwara wanakutilia kelele.

Ukibadili maamuzi kwasababu ya kelele za kisiasa ndipo sisi wananchi tunajua kuwa serikali ilikuwa haina nia njema na ule mpango au serikali ilikurupuka au wewe ulikuwa na maslahi binafsi na huo mpango.

Simamia unachokiamini, usitishwe na kauli za kwamba utapoteza kura. Kura ni nini mbele ya maslahi ya taifa? Vijiji vingapi wananchi wamesogezwa (kuhamishwa) mbali na hifadhi bila fidia?

Nitakachokipinga ni uuzwaji wa rasilimali tu lakini kama wanahamishwa kwa lengo la uhifafhi sawa. Wahamishwe, walipwe wakaazi wa zamani tu, kaya walizohamia hivi karibuni watimuliwe, wasipewe hata Senti.

Mbona kipindi cha Magufuli watu walikuwa wanatii amri haraka? Kama hutaki kutumia uamiri jeshi mkuu ulionao ni vyema upumzike. Watanzania bila kuwanyoosha hawanyooki. Hata ukigawa sembe kg 25 kila nyumba lazima Wapinzani tutakuparua. Usifanye jambo na baadaye kubadili kwasababu ya kelele.
Kouwma kama wewe huwa wana mchango hasi sana kwa hili taifa.
 
Naunga mkonyoo,aah Mkono hoja hiyo hapo juu...wamasai siyo special hata sisi wamakonde tulihamishwa kwenye makazi yetu kupisha Mradi wa Gesi Kwa maslahi ya Taifa,kwahiyo President Samia simama kidete Katia hilo usirudi nyuma.
Bora nyie mlihamishwa kwa sababu ilio realistic. Kuhamishwa nyumbani kwako kibabe kisha apewe mwarabu unaona ni kitu kimenyooka kweli?!
 
Hapo ndiyo tatizo ,unawafukuzwa wamaasai kisha unampa Habibii mwarabu awinde na kuchukua wanyama na kuwapeleka Dubai kwa muda wa miaka 100.
Utashangaa sasa akili ni ipi? Kumwacha mzawa ambaye haangaiki na wanyama hao au kumpa mgeni ambaye anafanya animal hunting & trafficking?
 
Utashangaa sasa akili ni ipi? Kumwacha mzawa ambaye haangaiki na wanyama hao au kumpa mgeni ambaye anafanya animal hunting & trafficking?

Sure ,ingekuwa wamaasai ni tatizo basi tangia wawepo hapo ngorongoro kusingekuwa na swala wala simba kwa muda waliokaa ,nina uhakika wakimkabidhi mwarabu hapo ndani ya miaka 10 hakutakuwa na hata sungura pori wote watapelekwa dubai kufungua More Zoo.
 
..angeweza kufuata ila ameogopa.

..Wamaasai walikuwa wengi na walikuwa tayari kwa lolote.

..Na mahali walipoweka kambi ndio lango la utalii kwa upande wa Tanganyika.

..tukio lolote dhidi ya Wamaasai lingeleta maafa na mtikisiko mkubwa ktk biashara ya utalii Tanganyika.
Acheni ujinga serikali na jeshi lake hawezi kushindwa na wamasai tu, sema tu!
 
..angeweza kufuata ila ameogopa.

..Wamaasai walikuwa wengi na walikuwa tayari kwa lolote.

..Na mahali walipoweka kambi ndio lango la utalii kwa upande wa Tanganyika.

..tukio lolote dhidi ya Wamaasai lingeleta maafa na mtikisiko mkubwa ktk biashara ya utalii Tanganyika.
Acheni ujinga serikali na jeshi lake hawezi kushindwa na wamasai tu, sema tu!
 
..angeweza kufuata ila ameogopa.

..Wamaasai walikuwa wengi na walikuwa tayari kwa lolote.

..Na mahali walipoweka kambi ndio lango la utalii kwa upande wa Tanganyika.

..tukio lolote dhidi ya Wamaasai lingeleta maafa na mtikisiko mkubwa ktk biashara ya utalii Tanganyika.
Acheni ujinga serikali na jeshi lake hawezi kushindwa na wamasai tu, sema tu!
 
Back
Top Bottom