Rais Samia yuko wapi?

Rais Samia yuko wapi?

Acheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Picha na namba mkuu
 
Acheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Mkuu huu uchawa usikufanye kama wewe ni kiranja wa fikra za watu humu. Mleta hoja kauliza kwa nia njema hajamuona au kumsikia Rais wake wewe unamuita mjinga. Haki hiyo unaipata wapi au wewe unajiona so special humu jukwaani. Ungejua tu kuwa huyo Rais mwenyewe anakuonea kinyaa kwa huu ushambenga wako utafikiri wewe ndiye msemaji wake. Punguza ujuaji dogo.
 
Acheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Wanadhani ccm ni chadema,wao bila Sultan mbowe hawafanyi kikao wanakaa kama makondoo
 
Back
Top Bottom