Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mi nimechoka na teuzi zake za kila siku huku hazina tija zaidi ya gharama kwa walipa kodiPengine amegundua watu wamemchoka na hotuba zake zisizo na maamuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nimechoka na teuzi zake za kila siku huku hazina tija zaidi ya gharama kwa walipa kodiPengine amegundua watu wamemchoka na hotuba zake zisizo na maamuzi
Ukiona Helikopter zetu zote ziko salama juwa kuwa yuko salama...Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Nimekushauri upunguze kiherehere. Wewe siyo mseamaji wa Rais Samia au Paul Makonda. Ndiyo maana nimekupa ushauri mzuri wa kukusaidia katika maisha yako.uache kabisa ukurupukaji na mihemuko na kushabikia ujinga .
Picha na namba mkuuAcheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Sawa!Anajiandaa kwenda msibani Iran
Heh! Mbona mimi najua wewe ndio hujitambui!Wewe huwa hujitambui .unaandikaga chochote kinachokujia bila hata kuwaza.
Yawezekana mkuu, Kiongozi wa nchi kuzulula kila dakika haifai kabisa..Sio sahihi hivi mkuu...change
Tulia bwanamdogo.... Mwambie mamaako apunguze uzululaji usio na tija... Hivi Hata miguu yake haijavimba kweli 🥴🥴🥴...Huna adabu kabisa wewe.inaonyesha umekosa malezi mazuri ya wazazi wako. Acha kuandika vitu utafikiri umelewa Pombe.
Sawaa, ila punguza kiherehere...yaani umemzidi hadi mwanae Samia mwenyewe wa kumzaa, Abdul!!.uache kabisa ukurupukaji na mihemuko na kushabikia ujinga .
Naomba uache mazoea na mimi tafadhali, hatulingani kwa chochote kileUsipende kuropoka ropoka tu utafikiri umetoka usingizini.
Muzney Biti Makame kampikie mmeo urojo ati.Huna adabu kabisa wewe.inaonyesha umekosa malezi mazuri ya wazazi wako. Acha kuandika vitu utafikiri umelewa Pombe.
Anakula bata hadi kuku wanaona wivu.Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Mwache aishi kwenye ndoto yake. Alisema mwenyewe kuwa alipokuwa anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa aje kuwa air hostess.Huyu mama anazulula sana.. Miguu na kichwa lazima aumwe..
Mkuu huu uchawa usikufanye kama wewe ni kiranja wa fikra za watu humu. Mleta hoja kauliza kwa nia njema hajamuona au kumsikia Rais wake wewe unamuita mjinga. Haki hiyo unaipata wapi au wewe unajiona so special humu jukwaani. Ungejua tu kuwa huyo Rais mwenyewe anakuonea kinyaa kwa huu ushambenga wako utafikiri wewe ndiye msemaji wake. Punguza ujuaji dogo.Acheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
ikiwa hakuna delivery pia munamlaumu binadamu musiokuwa na wemaBora abaki kimya hivyo hivyo maana tumechoka na teuzi zake zisizo na tija kwa wananchi
Wanadhani ccm ni chadema,wao bila Sultan mbowe hawafanyi kikao wanakaa kama makondooAcheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Jiwe Mlisema Hivi Hivi Mwisho Ikawa KweliSijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize