Huyu wa sasa hapandi helikopitaJiwe Mlisema Hivi Hivi Mwisho Ikawa Kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu wa sasa hapandi helikopitaJiwe Mlisema Hivi Hivi Mwisho Ikawa Kweli
Ila Mkuu Makojo Wewe Ni Kojo SanaHuyu wa sasa hapandi helikopita
Chawa umeshapanick😂Acheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
simply ni kwamba hakuna neno 'folozani' - hiyo ilikuwa ni rhetoric tuSoma vizuri
Unaifahamu kazi ya Zuhura Yunus??Unafikiri naye hana kazi za kufanya kama wewe na kukalia umbeya kama wewe? Unaacha kufanya kazi unakalia umbeya wako hapa halafu baaadaye unaanza kusema maisha magumu,.sijuwi unataka uletewe chakula na kulishwa kama kinda la ndege?
Si tunamsiba jamaniSijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Yupo Kimbiji.Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Vp siku hizi watanzania wameacha kububujikwa na machozi ya furaha!?.Wewe huwa hujitambui .unaandikaga chochote kinachokujia bila hata kuwaza.
Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
ACT watavunja muungano tuwanyime kura!Maza yamemzidi mwacheni apumzike Kizimkazi. Yaani inaelekea akienda huko Majuu anapata walau raha. Hili la Muungano litampa shida sana.
Nimemsikia Osman akinongea jana, anadai kuwa Watanganyika kila kukiwa na Rais wa kutoka Zanzibar huwa tunakuja na hoja ya muungano lakini kipindi Rais akiwa Mtanganyika tunakaa kimya. Hayo mayowe ndiyo yatakuwa yanampa shida Maza.
Oya!🤣🤣🤣🤣🤣Anajiandaa kwenda msibani Iran
Umepiga pentagonAkikuteua Wewe Utasema umechoka kuapishwa?🐼
Kwa kina ayatola homenei kuhani msibaSijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Bange za kayenze hiziACT watavunja muungano tuwanyime kura!