Rais Tshisekedi siku zake zinahesabika

Wakati wa Mobutu, alipeleka Majeshi yake Rwanda kwenda kupambana na RPF. wakachapwa, baada ya Serikali ya Rwanda kuondolewa na Waasi, Jeshi la zamani likakimbilia DRC, na mimi naamini mpaka leo linalindwa na elements kwenye Regime ya Kinshasa.
Fdlr wapo DRC
 
urusi anapambana na nchi zaidi ya 30 (NATO)
 
Uchambuzi wa kisomi huu[emoji106]
japo Kule Ukraine vs Russia tunapingana sana[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahii kabisa
Vita haitabiriki mkuu[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ww jamaa unajua ni gharama kiasi gani zina itajika kuendesha vita na nchi yenye eneo kubwa kama kongo?

Hata Tz hana uwezo wa kuhimili gharama za vita dhidi ya nchi kubwa kama kongo sembuse Rwanda?

Kiufupi Rwanda haina ubavu wa kuivamia Congo.
 
Kwa nini mnaanzisha threads kwa stori za vijiweni?
Kofii akikoroma kwenye zile nyimbo zake unaweza ukahisi jamaa ana weledi mkubwa wa kumsambaratisha adui yake muda wowote.

Kumbe jamaa ni mtalaam wa kukata tu mauno kwenye shoo mbali mbali duniani. Wakongo wanasikitisha sana.
 
Ndombolooooo ndombolo ya solo![emoji849][emoji1787][emoji1787] Na niwachawi kweli ila nadhani wana experience kubwa ya mapigano maana kule kumekua na machafuko mara kwa mara
Wazee wa chivunduuuu, ila wakisikia mlio wa risasi wanajificha ndan ya sifuria.
 
Hivi ww jamaa unajua ni gharama kiasi gani zina itajika kuendesha vita na nchi yenye eneo kubwa kama kongo?

Hata Tz hana uwezo wa kuhimili gharama za vita dhidi ya nchi kubwa kama kongo sembuse Rwanda?

Kiufupi Rwanda haina ubavu wa kuivamia Congo.
Haina ubavu kivipi na wakati mapandikizi yake yanaihenyesha Congo mpaka leo? Je ikiingia mzigoni yenyewe Rwanda si ndo Tshisekedi atakamatwa kiulaini kama njiwa yatima.
 
Mlimpa ulinzi na kuwa royal kwa yule dictator na mwizi aliyewaibia, kuwatia umaskini na kuwaua kwa miaka zaidi ya 30, hata kama hampendi Kagame lakini mumshukuru maana ndio aliwaondolea yule dictator, na akili zenu zilivyo fupi badala ya kujenga nchi yenu mkaenda kujiunga na wale wapumbavu wa FDLR na kuanza kuua banyamulenge ambao ni wacongo wenzenu, jengeni nchi yenu na kaeni chini na M23 na factions zote muelewane, kusingizia Kagame matatizo yenu kila siku haiwasaidii na mnajua kabisa Rwanda interest yao ni wale wauaji waliokimbilia Congo mnaowapa hifadhi, ndege za wazungu zinabeba mamilioni ya madini kila siku kutoka Congo lakini wanasiasa wenu wamewadanganya kuimba Kagame na nyie mnakubali, amkeni wapuuzi nyie
 
Kofii akikoroma kwenye zile nyimbo zake unaweza ukahisi jamaa ana weledi mkubwa wa kumsambaratisha adui yake muda wowote.

Kumbe jamaa ni mtalaam wa kukata tu mauno kwenye shoo mbali mbali duniani. Wakongo wanasikitisha sana.
Ok, sawa
 
Haina ubavu kivipi na wakati mapandikizi yake yanaihenyesha Congo mpaka leo? Je ikiingia mzigoni yenyewe Rwanda si ndo Tshisekedi atakamatwa kiulaini kama njiwa yatima.
Ww jamaa huna unalo lijua wala hauna uwelewa wowote kwenye medani ya kivita ndio maana unachukulia vitu kirahisi tu.

Rwanda kwa sasa anacho kifanya ni anapigana vita na kongo kwa kutumia mawakala ambao ni hao waasi kwa hiyo anatumia gharama ndogo sana, lakini mambo yatabadirika pale itakapo amuwa kuingia kwenye vita kamili kwa kulihusisha na jeshi lake moja kwa moja.

Alafu kingine unacho takiwa kujua ni kwamba ni sehemu ndogo tu ya jeshi la kongo ndo ipo mashariki mwa kongo kupambana na waasi na sio jeshi zima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…