inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Fdlr wapo DRCWakati wa Mobutu, alipeleka Majeshi yake Rwanda kwenda kupambana na RPF. wakachapwa, baada ya Serikali ya Rwanda kuondolewa na Waasi, Jeshi la zamani likakimbilia DRC, na mimi naamini mpaka leo linalindwa na elements kwenye Regime ya Kinshasa.
Waende tu, na pia M23 wakikimbilia Rwanda inabidi Majeshi ya Kenya na Uganda yawafuate huko huko kwa baba yao anaewatuma..., vinginevyo ni kusukuma ukuta hewaHakuna hio Vita kwasababu nimesikia hata Majeshi ya Uganda pia yanaenda.
Na Tz tegemeo letu kubwa ni SA, hapo sasaDEMOKRASIA KONGO TEGEMEZI LAKE KUBWA NI TZA..
urusi anapambana na nchi zaidi ya 30 (NATO)[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa mkuu. Mambo ya Kijeshi ni ya kukalia kimya tu. Yangekuwa marahisi basi urusi angeshaichakaza Ukraine ndani ya wiki mbili tu. Ila tizama vita inamaliza mwaka sasa.
Ndio maana sipendi kabisa kuongelea haya mambo
Uchambuzi wa kisomi huu[emoji106]Ukiniuliza mimi kwenye vita kamili isiyo ya kujificha kati ya Rwanda na DRC nani anashinda nasema ni DRC endapo hakuna external influence baina ya pande zote mbili.
Congo ukitaka kuipima kwa kuangalia eneo lake la Mashariki utapotea, itazame nchi nzima hadi kule Magharibi. Mashariki ni kama imepotezewa na ina waasi wengi wanaojificha na kusumbua kila wakijisikia. Wakipigwa wanavaa kiraia wanalima, wakipata support wanaanza mapigano. Ukija kwenye vita ya nchi na nchi hapo hujifichi, madaraja tunajua yalipo, kambi zilipo, airbase ilipo, HQ, defensive lines na mambo mengine.
Congo sio wazembe kuliko nchi nyingi za Kiafrika, tatizo lao wana rasilimali nyingi na bahati mbaya ya kunyonywa na mataifa ya nje, ila nchi nyingi za Afrika hazina unafuu kijeshi kuwazidi. Hakuna nchi ina makundi ya waasi hadi 10 kama Congo ilivyo, logistics za kuipiga Congo kuanzia mpakani kwa Rwanda mpaka katikati ya nchi kule ni gharama kwa Rwanda. Rwanda kuipiga Congo sio rahisi hata kidogo
Sahii kabisaMaswala ya vita yaache tu yaani unaweza dharau Ila ukatembezewa kichapo Cha karne na underdog wa dunia kwenye vita na usiamini.
Hakuna vita nyepesi. Kama wamejiandaa kulea yatima na wajane wa kutosha basi wapigane.
Ni rahisi sana kuingia vitani sekunde tu ila vita haviishi ndani ya sekunde itachukua muda mrefu mambo kurudi kawaida
nan alimtuma apambane nazo ?urusi anapambana na nchi zaidi ya 30 (NATO)
Kofii akikoroma kwenye zile nyimbo zake unaweza ukahisi jamaa ana weledi mkubwa wa kumsambaratisha adui yake muda wowote.Kwa nini mnaanzisha threads kwa stori za vijiweni?
Wazee wa chivunduuuu, ila wakisikia mlio wa risasi wanajificha ndan ya sifuria.Ndombolooooo ndombolo ya solo![emoji849][emoji1787][emoji1787] Na niwachawi kweli ila nadhani wana experience kubwa ya mapigano maana kule kumekua na machafuko mara kwa mara
Haina ubavu kivipi na wakati mapandikizi yake yanaihenyesha Congo mpaka leo? Je ikiingia mzigoni yenyewe Rwanda si ndo Tshisekedi atakamatwa kiulaini kama njiwa yatima.Hivi ww jamaa unajua ni gharama kiasi gani zina itajika kuendesha vita na nchi yenye eneo kubwa kama kongo?
Hata Tz hana uwezo wa kuhimili gharama za vita dhidi ya nchi kubwa kama kongo sembuse Rwanda?
Kiufupi Rwanda haina ubavu wa kuivamia Congo.
Mlimpa ulinzi na kuwa royal kwa yule dictator na mwizi aliyewaibia, kuwatia umaskini na kuwaua kwa miaka zaidi ya 30, hata kama hampendi Kagame lakini mumshukuru maana ndio aliwaondolea yule dictator, na akili zenu zilivyo fupi badala ya kujenga nchi yenu mkaenda kujiunga na wale wapumbavu wa FDLR na kuanza kuua banyamulenge ambao ni wacongo wenzenu, jengeni nchi yenu na kaeni chini na M23 na factions zote muelewane, kusingizia Kagame matatizo yenu kila siku haiwasaidii na mnajua kabisa Rwanda interest yao ni wale wauaji waliokimbilia Congo mnaowapa hifadhi, ndege za wazungu zinabeba mamilioni ya madini kila siku kutoka Congo lakini wanasiasa wenu wamewadanganya kuimba Kagame na nyie mnakubali, amkeni wapuuzi nyieNi ngumu sana, congo ina walinzi royal sana mfano bodyguards wa Rais Mobutu ukitazama mahojiano yao utaelewa,wale jamaa walipewa kiapo cha kufa kwa ajili ya Rais na walikuwa hawaogopi kifo
Kabila mkubwa alijichanganya akaweka vilinzi vitoto visivyo na mafunzo yoyote ndicho kilimuangusha
Ok, sawaKofii akikoroma kwenye zile nyimbo zake unaweza ukahisi jamaa ana weledi mkubwa wa kumsambaratisha adui yake muda wowote.
Kumbe jamaa ni mtalaam wa kukata tu mauno kwenye shoo mbali mbali duniani. Wakongo wanasikitisha sana.
Ww jamaa huna unalo lijua wala hauna uwelewa wowote kwenye medani ya kivita ndio maana unachukulia vitu kirahisi tu.Haina ubavu kivipi na wakati mapandikizi yake yanaihenyesha Congo mpaka leo? Je ikiingia mzigoni yenyewe Rwanda si ndo Tshisekedi atakamatwa kiulaini kama njiwa yatima.
Last time walikimbilia Uganda wakapewa mapokezi makubwa.M23 wakikimbilia Rwanda
Rwandan Genocide - Facts, Response & Trials - HISTORY Rwandan Genocide | HISTORYGenocide alianzisha nani!?..waluawa wangapi wa kabila gani!?
Uchawi kwenye Risasi haufanyi kazi Mzee...sisi tulishafunzwa na Kinjekitile Ngwale Wakongo wao mpaka wana Vikundi vinaitwa "Mai Mai" yaani Maji maji😆😂.niwachawi