Binafsi kwa utashi wangu Rwanda [emoji1206] ni choko sana, anatafuta nini Congo..? Si atulize matako nchini nwake yeye deilee kumsakama Congo ili amwibie madini yake na magogo, aitajirishe Rwanda muda ho Congo hali tete hata hayo makundi ya M23 nina imani ni ya Rwanda [emoji1206] yana leta choko choko ili waendelee kupiga mali za Congo cha msingi hapo ni Congo kujilipua tu kuhakikisha wana wafyekelea mbali hao wasenge wabaki kwao kila mtu awe na maisha yake ili Congo iweze kupiga hatua nayo sio mambo ya kuwa mtumwa wa Ufaransa na mbelgiji bado na Rwanda akutawale khaaa
Rwanda hana huo ubavu wa kumchokoza DRC! bila nguvu za wazungu matajiri! ......kinacho fanyika hapo Paul Kagame anachochewana kutumiwa km mke Malaya tu,
yaani anapewa pesa na siraha kutoka kwa Matajiri na Mabeberu wa Dunia. mfano; La Medis, Standard charter oil! Merovengian Families! nk.... ili asumbue, na kuleta shida kule DRC!
wkt hayo ya vita yakiendelea wao hao Matajiri wa Dunia wana chota Malighafi za DRC Usiku na Mchana, bila kupiga bismilah wala kunawa, wanatumia midege mikubwa, mikubwa mikubwa inatua Goma,
kila iitwapo leo na kushusha siraha wkt huo huo ina kubeba malighafi za bure za DRC!! chini ya ulinzi wa kagame na Museveni!....Viongozi wooote Africa wanajua hilo!...ila ni waoga.
hakuna mwenye ubavu wakulikemea hilo jambo! km yupo ajaribu aone moto!
Hao hao! wabeba madini ndo walimweka Kagame Madarakani, kwa kutumia hela zao ili baadaye Kagame arudishe fadhira za kutoa Mwanya wao MABEBERU wakaibe Madini DRC!
wooote mnajua kagame hakuwa na ubavu/pesa hata ya kugharamia sungusungu!! au uwezo wa kupata madaraka kirahisi hivo! ka nchi kenyewe kale??
Rwanda/ burundi hakuna Malighafi Mama! za kumtajirisha kagame ivo, zaidi ya ndizi chache na kahawa kiduchu!...Rais wa DRC ngoja nikufungue Macho mbaya wako yuko nje ya Africa ! mfuate huko!
Mpigie kelele huyo, huyu ndugu yako wa damu Kagame Msaliti ndugu yako muache asemwe tuuu na AU mpaka achakae kwa kusemwa!!.....Msaliti = Yuda wa DRC, ni paul Kagame na wasaliti hawanaga aibu!
huwa najiuliza sana hivi kagame sijui ataweka wapi mjisura ule??......mie nawashauri tu viongozi wana siasa hawa vibaraka mkiwaua mnawasaidia sanaaa!! waacheni waishi, wajutie ubaya wao! ni adhabu kubwa sana!
Lkn hao wazungu wana kawaida moja watamtumia weee!....aaaa lkn wakimaliza yao au kukuchokaaa heee!!.....utaomba Dunia ipasuke! mifano ya walio tumiwa Africa hii ya weusi
wooote humu mnaijua ni mingi ila kamata hii michache km vile
1.Savimbi, alisumbua sana Angola kwa miaka miingi huyu walimuua wao kwa kutumia MOSAD AL ABELT! mchana kweupee,
2.Mobutu- alimuua Patrick Lumumba kwa mateso sana tena katumiwa tu! Mawee huyu aibu bana kwanza alifukuzwa nyumbani kwa bwana kuba km mbwa tu, wkt akiumwa, alipunguziwa misaada maksudi, akazurumiwa hela waliyo mdanganya aitunzie huko kwao!
3.Samwel Doe!!! hakuna asiye jua alichofanywa huyu jamaa yaani Raisi aliuawa km kibaka kabisaaa,
4. Idd Amini! huyu hata ahkuwahi kufikiria kuwa atawakimbilia wamuelewe! alijikata kivyake
5.Bokasaank!....sisemi sana makanisema mmbeya nia chuki!