Rais Tshisekedi siku zake zinahesabika

Rais Tshisekedi siku zake zinahesabika

Nilivyoona Zimbabwe, Chad na Sudan zipo ndan ya list afu Tanzania haimo basi nimeona hii list imetengenezwa na wa congo wenyewe 😂😂😂
Halafu huyo Mzairwaa anasema Jeshi la Kongo linaiwezo kuliko Jeshi letu la JWTZ 😆😆😆😆
 
Wakuu inakuaje? sasa twende kazi.

Siku mbili tatu hizi kumekuwa na hali ya sintofahamu kati ya serikali ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo na ile ya Rwanda, kila mmoja akimtupia lawama mwenzake na kutishia kuvunjilia mbali uhusiano wao wa kidiplomasia nk.

Kwa upande wa Congo ndio wanaonekana kuwa wamechukia zaidi hadi kupelekea serikali yao kumfukuza nchini kwao balozi wa Rwanda, na pia kumwata balozi wao aliekuwa nchini Rwanda.

Kwa upande wa Rwanda yenyew haioneshi kupanic wala kuchukizwa kivile, inaonekana ime relax ikisubiria kuona kingine kitachojiri kutoka katika serikali ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.

Sasa basi... Rwanda ina uwezo wa kuichakaza na kuisambaratisha Congo kijeshi kwa njia zote, iwe kwa angani, majini au ardhini tena kwa muda mfupi sana.

Congo inaweza kuishinda Rwanda kwa maneno tu, maana wakongomani ni waimba miziki na wachezaji wakubwa, ila linapokuja swala la mapambano ya kijeshi na weupe sana wanashindwa hata na Burundi.

Kwanza toka Congo ilipopata uhuru jeshi lake halikuwahi kushinda vita yoyote ile. Wakati wa Mobutu jeshi la Congo lilichakazwa vibaya na waasi waliokuwa wanaongozwa na hayati Desire Kabila (father) na baadae jeshi hilo limeendelea kuchakazwa na makundi mbali mbali ya waasi wengi wao ni kutoka nchi jirani.

Sasa jiulize ikiwa nchi yenye raia zaidi ya milioni 1 inachakazwa na waasi wasiozidi elfu 5, huku waasi hao wakiwa na silaha za kuunga unga na mazoezi ya msituni yasiokuwa rasmi. Je watakapoingia kwenye vita na nchi yenyewe si ndo yatakuja kutokea yale ya Mobutu na Idi Amini!!

Hivi kweli Tshisekedi anaamini kuwa nchi yake inaweza kuipiga Rwanda au ndo kifo kinamwita, au wazee wa kazi (Kabila's team) wanamshauri ujinga ili akipigwa akikimbia Kabila arudi kuongoza Congo?

Maana katika hali ya kawaida haiwezekani nchi inayoshindwa vita na waasi elfu 3, ijidanganye kuwa inaweza kupambana na nchi yenye wanajeshi zaidi ya laki, wenye ueledi mkubwa wa kivita, silaha za kisasa na wanajeshi wa kutosha.

Katika EAC nzima, nchi ambazo Rwanda inaweza kuhofia kwa namna fulani kupambana nazo ni Tanzania na Kenya tu ambazo majeshi yao yameshafanya mambo makubwa ndani na nje ya mipaka yao Tanzania ikiwa inaongoza kwa kufanikiwa oparation mbali mbali katika nchi za Msumbiji, Zimbabwe, Angola, Namibia, Comoros nk. Ila hizo zingine Rwanda inaziona kama vile ni nchi zinazolindwa na makundi ya sungu sungu tu na sio wanajeshi kamili.

So chonde chonde Tshisekedi watu bado wanakuhitaji uendelee kuwa raisi wao. Usije kuingia kwenye mtego ambao utashindwa kujinasua. Kagame alimhofia Kikwete tu mjeshi mwenzake na anajua watu wa kicheka cheka kama JK maamuzi yao yanakuwaga na athari kubwa kwa wengine. Lakini nyinyi wengine anawaona vikaragosi wake.

Tena kwa Congo ndo kabisa hawezi kutuma jeshi lake kupoteza muda wao. Sana sana ataajiri vijana kutoka katika makampuni mbali mbali ya ulinzi waje kumaliza kazi.

Pichani juu ni jeshi la Rwanda na picha ya chini ni jeshi la Congo.

Siku njema kwa wasomaji na wachangiaji wote. Asanteni.
Wewe unaandika ugolo hapa,unajua vita vyq ndani vilivyo vigumu?,Boko haram wako wapi?,si wako Nigeria,Jeshi la Nigeria lilishawahi wanaliza Boko haram?,so unataka kusema Jeshi la Nigeria ni dhaifu?
 
Kwahiyo unataka kusema Serikali ya Kihutu imewaua Wahutu ili kuwamaliza Wahutu kwenye Mauaji ya Kimbari ya Wahutu?🤪
Rpf walidungua ndege ya rais,means walikuwepo Kigali,baada ya hapo kilichofuata baada ya hapo ni vurugu,na wenye silaha hawakuwa raia wahutu Bali waasi watusi,namba zinaongea ukweli
 
Halafu huyo Mzairwaa anasema Jeshi la Kongo linaiwezo kuliko Jeshi letu la JWTZ 😆😆😆😆
Afu eti jeshi lenye uwezo (Congo) likitaka kupigana na M23 linakuja kwanza kuomba msaada wa kijeshi kwa jeshi lisilokuwa na uwezo M23.

Vijana wa dalii kimoko wanachekesha sana 😂😂😂😂
 
Wewe unaandika ugolo hapa,unajua vita vyq ndani vilivyo vigumu?,Boko haram wako wapi?,si wako Nigeria,Jeshi la Nigeria lilishawahi wanaliza Boko haram?,so unataka kusema Jeshi la Nigeria ni dhaifu?
Sasa hao hao M23 wanaosababisha vita ya ndani iwe ngumu, ndio watakaotumiwa kuwaangamiza wacheza chamukware mama pesa mbongo.
We fikiria mwanajeshi anaenda vitani huku amebeba mafuta yake ya mkorogo na memory card yenye nyimbo za fally pupa.
 
Wende uka Google alafu ulete liste apa tuone
Google siku hizi huwa haina fact za kweli. Hata wewe unaweza kujiandikia lolote huko google, afu watu ambao hawaelewi ulichoandika watachukulia taarifa uliyoandika kuwa ni ya kweli.
 
Waende tu, na pia M23 wakikimbilia Rwanda inabidi Majeshi ya Kenya na Uganda yawafuate huko huko kwa baba yao anaewatuma..., vinginevyo ni kusukuma ukuta hewa
Majeshi ya Kenya na Uganda hayawezi kuvuka mpaka wa Rwanda kwa sababu hayakwenda kule kupigana na nchi ya Rwanda. Bali kuyakimbiza makundi ya waasi yaliopo Congo.

Ndo maana mwaka 2012 Tanzania na nchi nyingine zilipokwenda kupambana na makundi hayo, M23 na makundi mengine yalipokimbilia Rwanda na Uganda hawakuyafata.

Mkuu kwa uzoefu wako hapa JF sikutegemea kama ungeweza kuandika namna hii. Eti nchi hizo ziingine kwenye ardhi ya nchi nyingine kwa ajili ya kuwafuata waasi, hata sheria za kimataifa haziruhusu hili.

Rwanda kila siku inadai kuwa warundi wanawahifadhi waasi wa Rwanda katika ardhi yao, lkn haikuwahi hata siku 1 kutuma jeshi lake kuingia Burundi kuwasaka waasi hao. Halikadhalika na Burundi nayo inadai kuwa wanyarwanda wanawahifadhi watu waliotaka kupindua serikali yao mwaka 2015 lkn hata siku 1 Burundi haujawai kupelekea jeshi lake Rwanda kuwasaka waasi hao.

Sasa kama nchi husika ambazo zinapeana mpaka zinashindwa kuingiliana iweje nchi inayotoka huko mbali kama vile Kenya nk ziingize jeshi katika ardhi ya nchi nyingine bila ruhusa ya nchi husika?
 
Afu eti jeshi lenye uwezo (Congo) likitaka kupigana na M23 linakuja kwanza kuomba msaada wa kijeshi kwa jeshi lisilokuwa na uwezo M23.

Vijana wa dalii kimoko wanachekesha sana 😂😂😂😂
Tena napenda Jeshi letu lisitangazwe tangazwe kwenye Internate ili Maadui watuUnderastimate ili tuweze kutoa dozi kwa ufasaha.
 
Na Tz tegemeo letu kubwa ni SA, hapo sasa
Watanzania tunaamini msemo usemao 'mtegemea cha ndugu hufa masikini'.
Wa SA walitutegemea kwenye ukombozi na tulipambana kuwakomboa. Ila sisi hatuwategei wao kwa lolote. Japo tunashirikiana katika maswala mengi ya kikanda kwa vile sisi wote ni SADC.
 
Mlimpa ulinzi na kuwa royal kwa yule dictator na mwizi aliyewaibia, kuwatia umaskini na kuwaua kwa miaka zaidi ya 30, hata kama hampendi Kagame lakini mumshukuru maana ndio aliwaondolea yule dictator, na akili zenu zilivyo fupi badala ya kujenga nchi yenu mkaenda kujiunga na wale wapumbavu wa FDLR na kuanza kuua banyamulenge ambao ni wacongo wenzenu, jengeni nchi yenu na kaeni chini na M23 na factions zote muelewane, kusingizia Kagame matatizo yenu kila siku haiwasaidii na mnajua kabisa Rwanda interest yao ni wale wauaji waliokimbilia Congo mnaowapa hifadhi, ndege za wazungu zinabeba mamilioni ya madini kila siku kutoka Congo lakini wanasiasa wenu wamewadanganya kuimba Kagame na nyie mnakubali, amkeni wapuuzi nyie
Tatizo la ndugu zetu wakongo ukiwaambia ukweli wanaona unawatukana.
Wao washazoea kudanganywa na kina papa mobimba.
 
Back
Top Bottom