Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Viongozi,huzaliwa na Huandaliwa
 
Good news
Ukweli gani?
Eti Kenya wanna uwazi wa habari duh. Watu mmekaririshwa na mkakubali.
 
Tatizo la hapa kwetu tulimpa uongozi wa kisiasa MTU asiye mwanasiasa.
Msimamizi wa mafundi ujenzi site, aliyebobea kuswaga mbuzi na sii kuongoza kondoi.
dogo jiangalie muda wa kampeni umeshapita na rais kapatikana,hivyo usilete lugha za hovyo.
 
Woi, ww Kwanza napoteza muda. Nakujua ni bavicha kindakindaki, hamtaki kuamini hamna support kubwa.
 
K
Awapokee tu na kazi awape kabisa.
Kwake kunafuka moto alafu yeye ana angalia jirani.
Kama angekuwa msitaarabu watu wangepoteza maisha kwenye nchi yake wengine wa tume ya uchaguzi?
 
dogo jiangalie muda wa kampeni umeshapita na rais kapatikana,hivyo usilete lugha za hovyo.
Mwisho wa kampeni ndio mwanzo wa kamoeni pia.
Are you not a great thinker?
achana na tangazo, simama kwenye uhalisia.
 
Ndo maana baada ya kuona yaliyotokea kwenye Uchaguzi wetu, hata kwenye sarakasi za kuapishwa hakuhudhuria kule Dodoma ingawa ni jirani mwema hata zawadi ya Tausi wetu alipewa kama Museveni aliyehudhuria akiwa amevaa Barakoa ya nguvu kujikinga na Covid-19. Wageni wote waalikwa walivaa Barakoa wala hakuna mwenyeji aliyewatoa hofu ya hilo gonjwa maana lipo sana hata baada ya kujifukiza. Kenyatta hatafuni maneno!
 
Ungekua na akiri ungefatilia siasa za kenya hata kwa mwezi mmoja usingeleta ujinga hapa
Ungemshanagaa uhuru kwa yale anayoyasema.
Kamuulize yeye na Ruto wako sawa?
U
 
Lumumbaaaa!!
 
Mwisho wa kampeni ndio mwanzo wa kamoeni pia.
Are you not a great thinker?
achana na tangazo, simama kwenye uhalisia.
dogo achana na hizo maneno za hovyo hovyo, heshimu matokeo ya uchaguzi na heshimu walioshinda.
 
Ungekua na akiri ungefatilia siasa za kenya hata kwa mwezi mmoja usingeleta ujinga hapa
Ungemshanagaa uhuru kwa yale anayoyasema.
Kamuulize yeye na Ruto wako sawa?

U

Kaagiza Ruto apigwe risasi ngapi?
 
Kenya mmekomaa kisiasa. Sisi pia inabidi tuingie mtaani ndo viongozi watapata akili. Ila siku itafika tu ambayo wananchi wengi watasema sasa yatosha kuvumilia. Wenyewe wataingia mtaani.
Watakufa kama wakenya kisha viongozi wanapatana wanakunywa mvinyo, bali marehemu wanaenda jehanamu kwa ujinga wao.

Sasa hivi wao wenyewe wana misuguano na kila siku inazidi kuwaka taa nyekundu na muda wa uchaguzi haujafika.
Kama unawashabikia basi subili kuwatunza kama wakimbizi wakati wa uchguzi.
Muulize miguna alisharudi kenya?
 
dogo achana na hizo maneno za hovyo hovyo, heshimu matokeo ya uchaguzi na heshimu walioshinda.
Kkkk...
At matokeo ya uchaguzi?
Tanzania kulikua na uchafuzi na sii uchaguzi. Full stop!!
 
Woi, ww Kwanza napoteza muda. Nakujua ni bavicha kindakindaki, hamtaki kuamini hamna support kubwa.

Ni kweli, tungekuwa na support kubwa tungekwenda kwenye box la kura na kura kwenye mabeg.
 
Yani magufuli kiukweli ni moja wa maraisi atakaekbukwa kwa kuharibu siasa za Tz, siasa Sasa imekua uadui na wale wa chama tawala wanaona hii nchi ni yao pekee wapinzani sio yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…