Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Viongozi,huzaliwa na Huandaliwa
Kumbe ndio maana hakuja kwenye lile igizo la kumuapisha akawaachia wasanii wengine kina Museveni.

Jamaa ana uelewa wa juu sana hasa linapokuja suala la mahusiano kati ya wanasiasa, amepevuka sana kidiplomasia, kagonga pale pale hajataka unafiki.

Haya yanayotokea hapa kwetu atakuwa anayaona mambo ya kishamba sana, kutofutiana itikadi ndio unamuona mwenzio adui, mpaka anakimbia nchi aliyozaliwa upo kimya husemi chochote?
 
Good news
Ukweli gani?
Chukua simu yako Google nchi gani ina uchumi mkubwa katika east Afrika. Last election wameuana zaidi ya Zanzibar, wao wana uwazi wa habari, hapa kwetu hilo lipo?

Kuwa na bandari nyingi haimaanishi ni bora na bussiest. Hiyo hela ya Tanzania inaweza kununua vitu vingi vya mashambani, toka kwa wakulima waliochoka kimaisha ila sio bidhaa za viwandani, achia mbali ubora wa bidhaa hizo.
Eti Kenya wanna uwazi wa habari duh. Watu mmekaririshwa na mkakubali.
 
Tatizo la hapa kwetu tulimpa uongozi wa kisiasa MTU asiye mwanasiasa.
Msimamizi wa mafundi ujenzi site, aliyebobea kuswaga mbuzi na sii kuongoza kondoi.
dogo jiangalie muda wa kampeni umeshapita na rais kapatikana,hivyo usilete lugha za hovyo.
 
Chukua simu yako Google nchi gani ina uchumi mkubwa katika east Afrika. Last election wameuana zaidi ya Zanzibar, wao wana uwazi wa habari, hapa kwetu hilo lipo?

Kuwa na bandari nyingi haimaanishi ni bora na bussiest. Hiyo hela ya Tanzania inaweza kununua vitu vingi vya mashambani, toka kwa wakulima waliochoka kimaisha ila sio bidhaa za viwandani, achia mbali ubora wa bidhaa hizo.
Woi, ww Kwanza napoteza muda. Nakujua ni bavicha kindakindaki, hamtaki kuamini hamna support kubwa.
 
K
Awapokee tu na kazi awape kabisa.
Kwake kunafuka moto alafu yeye ana angalia jirani.
Kama angekuwa msitaarabu watu wangepoteza maisha kwenye nchi yake wengine wa tume ya uchaguzi?
 
dogo jiangalie muda wa kampeni umeshapita na rais kapatikana,hivyo usilete lugha za hovyo.
Mwisho wa kampeni ndio mwanzo wa kamoeni pia.
Are you not a great thinker?
achana na tangazo, simama kwenye uhalisia.
 
Yaani Kenyatta aliposikia matokeo ya Tanzania nadhani alikuwa anacheka mpaka anachanganyikiwa, haamini kuwa bado kuna nchi zinaweza kuendesha chaguzi zao ili kukidhi utashi wa kiongozi aliyeko madarakani. Amejiridhisha pasi na shaka kuwa bado watanzania wengi ni maiti, ila hao wachache waliokimbia mortuary atawapokea.
Ndo maana baada ya kuona yaliyotokea kwenye Uchaguzi wetu, hata kwenye sarakasi za kuapishwa hakuhudhuria kule Dodoma ingawa ni jirani mwema hata zawadi ya Tausi wetu alipewa kama Museveni aliyehudhuria akiwa amevaa Barakoa ya nguvu kujikinga na Covid-19. Wageni wote waalikwa walivaa Barakoa wala hakuna mwenyeji aliyewatoa hofu ya hilo gonjwa maana lipo sana hata baada ya kujifukiza. Kenyatta hatafuni maneno!
 
Ungekua na akiri ungefatilia siasa za kenya hata kwa mwezi mmoja usingeleta ujinga hapa
Ungemshanagaa uhuru kwa yale anayoyasema.
Kamuulize yeye na Ruto wako sawa?
Kumbe ndio maana hakuja kwenye lile igizo la kumuapisha akawaachia wasanii wengine kina Museveni.

Jamaa ana uelewa wa juu sana hasa linapokuja suala la mahusiano kati ya wanasiasa, amepevuka sana kidiplomasia, kagonga pale pale hajataka unafiki.

Haya yanayotokea hapa kwetu atakuwa anayaona mambo ya kishamba sana, kutofutiana itikadi ndio unamuona mwenzio adui, mpaka anakimbia nchi aliyozaliwa upo kimya husemi chochote?!
U
 
MMEPEWA NAFASI KWENDA KENYA MSITUPIGIE KELELE..MAANA ALITIA FITNA NYINGI AWEKE MTU ANAYETAKA KASHIKWA PABAYA SASA ANATAPATAPA..WAKIFIKIA KUANZA KUCHINJANA TUTAENDA KUWASULUHISHA ..NA KAMA UNAHASIRA SANA KAMSEMEE MAGU KWA AMSTERDAM SAWA MAMA..UKISHINDWA KAA CHINI FANYA KAZI
Lumumbaaaa!!
 
Mwisho wa kampeni ndio mwanzo wa kamoeni pia.
Are you not a great thinker?
achana na tangazo, simama kwenye uhalisia.
dogo achana na hizo maneno za hovyo hovyo, heshimu matokeo ya uchaguzi na heshimu walioshinda.
 
Ungekua na akiri ungefatilia siasa za kenya hata kwa mwezi mmoja usingeleta ujinga hapa
Ungemshanagaa uhuru kwa yale anayoyasema.
Kamuulize yeye na Ruto wako sawa?

U

Kaagiza Ruto apigwe risasi ngapi?
 
Kenya mmekomaa kisiasa. Sisi pia inabidi tuingie mtaani ndo viongozi watapata akili. Ila siku itafika tu ambayo wananchi wengi watasema sasa yatosha kuvumilia. Wenyewe wataingia mtaani.
Watakufa kama wakenya kisha viongozi wanapatana wanakunywa mvinyo, bali marehemu wanaenda jehanamu kwa ujinga wao.

Sasa hivi wao wenyewe wana misuguano na kila siku inazidi kuwaka taa nyekundu na muda wa uchaguzi haujafika.
Kama unawashabikia basi subili kuwatunza kama wakimbizi wakati wa uchguzi.
Muulize miguna alisharudi kenya?
 
dogo achana na hizo maneno za hovyo hovyo, heshimu matokeo ya uchaguzi na heshimu walioshinda.
Kkkk...
At matokeo ya uchaguzi?
Tanzania kulikua na uchafuzi na sii uchaguzi. Full stop!!
 
Woi, ww Kwanza napoteza muda. Nakujua ni bavicha kindakindaki, hamtaki kuamini hamna support kubwa.

Ni kweli, tungekuwa na support kubwa tungekwenda kwenye box la kura na kura kwenye mabeg.
 
Yani magufuli kiukweli ni moja wa maraisi atakaekbukwa kwa kuharibu siasa za Tz, siasa Sasa imekua uadui na wale wa chama tawala wanaona hii nchi ni yao pekee wapinzani sio yao
 
Back
Top Bottom