Rais Uhuru Kenyatta: Wakenya hawapaswi kujilinganisha na mataifa yanayoficha taarifa za COVID-19

Rais Uhuru Kenyatta: Wakenya hawapaswi kujilinganisha na mataifa yanayoficha taarifa za COVID-19

Ukipata mtu akutafsirie maana yake nahisi utatia akili, ila kwa sasa nyote sijui mumeingiwa na pepo gani hata wale huwa mnajinadi wataalam, hakuna anayeonekana kushirikisha ubongo, mnatumia nguvu nyingi kuandika insha zenye zero points.

Wee bwana haya mambo mazito yaache yapite tu. Siyo lazima utie neno. Hivi unajua kwamba there is a huge debate whether the phrase "asymptomatic carrier" should be used for covid 19!!!?

They are in this trilema as the disease has the peculiar features such as percentage of disease carriers, incubation period and time the pathogens live in the host before they disappear. The report will be out soon katika lugha rahisi inayoeleweka kwa watu wengi.
 
Hicho ndicho kinachoendelea. Tumeshadanganywa kwamba COVID19 haipo Tanzania lakini ukweli ni kwamba bado vifo vinatokea na kudaiwa wamekufa kwa ugonjwa wa kubana mbavu kumbe ni COVID19.
Ukweli toka kwa nani? Mbona hao waliokuwa wakisema Corona inaua watu na kukataa kuingia bungeni ndio waliofanya maandamano ya kumpokea Lisu bila kujali sheria za kujikinga?
 
Hicho ndicho kinachoendelea. Tumeshadanganywa kwamba COVID19 haipo Tanzania lakini ukweli ni kwamba bado vifo vinatokea na kudaiwa wamekufa kwa ugonjwa wa kubana mbavu kumbe ni COVID19.

Hicho unachosema cha kuwa korona haipo ni wewe ndiye unayesema. Mimi naangalia kila siku TV za nyumbani, elimu na tahadhari inatolewa kila siku. Ugonjwa usingekuwepo hayo yasingefanywa.

Ukweli ni kuwa madhara ya ugonjwa huu Tanzania na Afrika kwa ujumla siyo makubwa kama maeneo mengine. Tumependelewa. Mwisho namaliza kwa kusema ugonjwa bado upo tuchukue tahadhari kama wajuvi wa afya wanavyosema.
 
Hebu soma kwa kituo Mkuu ili uelewe nilichoandika.

Hicho unachosema cha kuwa korona haipo ni wewe ndiye unayesema. Mimi naangalia kila siku TV za nyumbani, elimu na tahadhari inatolewa kila siku. Ugonjwa usingekuwepo hayo yasingefanywa. Ukweli ni kuwa madhara ya ugonjwa huu Tanzania na Afrika kwa ujumla siyo makubwa kama maeneo mengine. Tumependelewa. Mwisho namaliza kwa kusema ugonjwa bado upo tuchukue tahadhari kama wajuvi wa afya wanavyosema.
 
Hebu soma kwa kituo Mkuu ili uelewe nilichoandika.

Naelewa, lakini nilichoona kwa kipindi chote ambacho ugonjwa huu unashughulikiwa, naona kuna watu wana mtazamo wa kutafuta mtu wa kumtisha lawama. Kana kwamba kuna kitu amacho alistahili kufanya hajafanya ama kuna kitu ambacho hakustahili kufanya amekifanya.

Tuache hizo ndugu zangu, huu ugonjwa umewaacha wengi wajuvi kwa wasio wajuvi wa afya midomo wazi. Mfano nani alitegemea kuona madhara kidogo ya ugonjwa huu barani Afrika. Wengi walitegemea watu watalala mabarabarani wakiliwa na ndege. Lakini ona matokeo, ni mbingu na nchi.

Sasa tusikae kuwa na hisia za kutaka kuona madhara makubwa na kuanza kuogopa. Hiyo ni shida itapelekea hata kinga kushuka. Acha watu waendelee na shughuli kama kawaida huku wakichukua tahadhali kwa kutumia tia zetu za asili na mimea lishe.

Kutumia tangawizi, limao, mchai chai kwa ukawaida, pia na mazoezi, yanafanya mtu uwe na afya njema kabisa. Nimalizie na kurudia kusema, tuchukue tahadhari ugonjwa upo. Pia naongeza tuendelee na kuchukua tahadhari kwa magonjwa ambayo tulikuwa nayo tangu awali kama malaria, ukimwi, kifua kikuu n.k.
 
Masuala ya corona hayahusiani na Tundu Lissu. Nyie jeuri IMEWAPONZA. Wakati sisi tunapiga magoti kwa MUNGU na kula malimao na tangawizi na kupiga NYUNGU. MLITUONA HATUNA AKILI. Ila nyie ndo mna akili mnataka mlimalize tatizo kisayansi haya KIPO WAPI?

NA MTAKUFA SANA MPAKA MRUDI KWA MUNGU.
Najaribu kuwaza hapa, serikali yetu ingefanya mnachokifanya huko yaani hakungekalika, Wakenya huwa tuna muamko tofauti sana, ila naona Wabongo wameanza kuamka amka, kwa namna walivyojitokeza kumlaki Tundu Lissu licha ya mikwara mliyokua mumewatolea inadhihirisha kiaina wana kamuamko fulani.

Screenshot_20200729-050233.jpg

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Wakenya wana penda kujilinganisha na SISI.
Kenyatta anapaswa kudili na corona kwa njia anazojua yeye mwenyewe. Aache kulalamika. Wananchi wake wanamacho, wanaakili, wanaona na wanasikia kila kitu kilichopo Tanzania. Huku tz hakuna corona hata chembe, huo ndio ukweli na wakenya msijaribu kutuletea corona yenu hapa.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Una uthibitisho wowote hao uliowataja wamekufa na corona?.
Umepewa UBONGO JARIBU KUUTUMIA.
sio urembo huo.
Hongera sana mzee kenyatta, mficha maradhi kifoo humuuumbuaa,[emoji23] waswahili wanaendelea kuzika wabunge, mawaziri hata na maraisi wastaaafu!! huku wakijidanganyaaa no koronaaaaa![emoji23]

Endelea pia kuwabana kabisa kuleee mipakanii na nyanya zaooo hukoo!!

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Safi sana rais, endelea kutupea takwimu zote hamna haja kuogopa au kujichokea, isemwe kama ilivyo, mwanzo mwanzoni tulikua na uwoga ila kwa sasa watu wamekua na ujasiri wa kupambana maana hamna kinachofichwa, tunaambiwa kama ilivyo bila kumumunya.

Hili suala la Corona hunikumbusha ilivyokua mara yangu ya kwanza kupima UKIMWI, yaani kabla kupata ujasiri wa kwenda kupima nilihangaika sana kwa uwoga, siku nyingi niliishi kwa kujiaminisha sina UKIMWI, ni gonjwa la mabeberu na haliniathiri, lipo kwa ajili ya wengine, mimi mzima, mimi kidume, nikawa najiaminisha pumba ila kila nikikohoa kidogo tu baasi naamini ndio hapo limenikuta, ila hatimaye nilipiga moyo konde na kupima na tangu kipindi hicho baada ya kupima sijawahi kusita kupima tena na tena, ukweli uliniweka huru John 8:32

Bila kuujua ukweli, mtateseka sana kimawazo maana kila kifo cha mtu yeyote mnajikuta mkishuku na kueneza uvumi na tetesi kwmba kafa kwa Corona.

YOU CAN'T HANDLE THE TRUTH


Kwenye nchi "ile" ya Bwana "yule" hata alipoambiwa gonjwa la ZIKA limeingia nchini mwake akamfukuza kazi mkurugenzi, sembuse Covid-19!!!!
 
Uhuru Kenyata ni failure. Pia naskia amezidisha ulevi. Nadhani yuko kwenye msongo mkubwa wa mawazo.

YESU NI BWANA.
 
Karungikana,

Hivi hata akili zako mwenyewe huna?

Ingekuwa corona system ingeruhusu viongozi wakuu wachangamane na mke wa Mkapa vile?

Kwanini hamtaki kutumia akili zenu?
 
Hicho ndicho kinachoendelea. Tumeshadanganywa kwamba COVID19 haipo Tanzania lakini ukweli ni kwamba bado vifo vinatokea na kudaiwa wamekufa kwa ugonjwa wa kubana mbavu kumbe ni COVID19.
Una ndugu yako hata 1 kafa kwa corona? Au hata jirani? Au hata rafiki wa jirani yako? Au hata rafiki wa rafiki yako?
 
Back
Top Bottom