Rais Uhuru Kenyatta: Wakenya hawapaswi kujilinganisha na mataifa yanayoficha taarifa za COVID-19

Rais Uhuru Kenyatta: Wakenya hawapaswi kujilinganisha na mataifa yanayoficha taarifa za COVID-19

.
Kwenye nchi "ile" ya Bwana "yule" hata alipoambiwa gonjwa la ZIKA limeingia nchini mwake akamfukuza kazi mkurugenzi, sembuse Covid-19!!!!
Kwa hiyo hapo ulipo una zika?
 
Kwan Kenya toka nianze kusikiaga Kenyatta toka nipo mdogo like 5 years.. Bas ndo jina hilo hilo tu kila siku Kenyatta, kwan katiba na demokrasia yenu inasemaje kwamba ukiwa na jina Kenyatta ndo unakuwa rais wa Kenya au?

Na bado mnasema Kenya ipo demokrasia, ni ya ma Kenyatta au?
 
Wee bwana haya mambo mazito yaache yapite tu. Siyo lazima utie neno. Hivi unajua kwamba there is a huge debate whether the phrase "asymptomatic carrier" should be used for covid 19!!!?

They are in this trilema as the disease has the peculiar features such as percentage of disease carriers, incubation period and time the pathogens live in the host before they disappear. The report will be out soon katika lugha rahisi inayoeleweka kwa watu wengi.

Hehehe Sio kila kitu cha kung'ang'ania, unatumia nguvu nyingi ila haitobadilisha ukweli kwamba nyote mumepagawa, hamna common sense au tathmini za kisayansi, kuandika andika humu hakutobadilisha ukweli wa hilo neno.
 
Hongera sana mzee kenyatta, mficha maradhi kifoo humuuumbuaa,[emoji23] waswahili wanaendelea kuzika wabunge, mawaziri hata na maraisi wastaaafu!! huku wakijidanganyaaa no koronaaaaa![emoji23]

Endelea pia kuwabana kabisa kuleee mipakanii na nyanya zaooo hukoo!!
Hapo hongera umempa kwa lipi sasa. Kushindwa kuidhibiti korona au kutangaza kila siku idadi mpya ya wagonjwa?
 
Hehehe Sio kila kitu cha kung'ang'ania, unatumia nguvu nyingi ila haitobadilisha ukweli kwamba nyote mumepagawa, hamna common sense au tathmini za kisayansi, kuandika andika humu hakutobadilisha ukweli wa hilo neno.

Katika suala la korona huna haja ya kutumia nguvu kama unavyoamini na unavyojaribu kuwaambisha wengine. Ukweli ni kwamba kila taifa linatumia njia ambayo linaona inafaa, kwa kuzingatia afya ya wananchi wake. Kama wananchi wako wana afya nzuri, nchi haiwezi ikawa na taharuki na kuanza kuchukua hatua kali ambazo siyo muafaka. Tanzania ni mfano wa nchi ambayo afya ya jamii inazidi ubora wa kiwango cha wastani, ndiyo maana maafa siyo makubwa sana. Kwa hiyo kupanda ni kuchagua lipi linakufaa katika mapambano haya.
 
Katika suala la korona huna haja ya kutumia nguvu kama unavyoamini na unavyojaribu kuwaambisha wengine. Ukweli ni kwamba kila taifa linatumia njia ambayo linaona inafaa, kwa kuzingatia afya ya wananchi wake. Kama wananchi wako wana afya nzuri, nchi haiwezi ikawa na taharuki na kuanza kuchukua hatua kali ambazo siyo muafaka. Tanzania ni mfano wa nchi ambayo afya ya jamii inazidi ubora wa kiwango cha wastani, ndiyo maana maafa siyo makubwa sana. Kwa hiyo kupanda ni kuchagua lipi linakufaa katika mapambano haya.

Hili ni tatizo la kisayansi, tumieni ubongo na kushirikisha "wataalam" wenu kama mnao.
 
Kenyatta anapaswa kudili na corona kwa njia anazojua yeye mwenyewe. Aache kulalamika. Wananchi wake wanamacho, wanaakili, wanaona na wanasikia kila kitu kilichopo Tanzania. Huku tz hakuna corona hata chembe, huo ndio ukweli na wakenya msijaribu kutuletea corona yenu hapa.
Nakuhurumia ndugu yangu
 
1. Ni kweli kwamba ugonjwa bado upo.
2. Kwa muda tuliokaa nao haujaleta hatari za kuchukua hatua zilizochukuliwa na wengine.
3. Kila mtu aendelee kuchukua tahadhari.
MUNGU wetu anaendelea kuwa mkuu siku zote. Sisi kama binadamu wajibu wetu ni kuchukua tahadhari na kuwaombea walioathirika na kadhia hii kwa namna yoyote ile. Malumbano kuhusu suala hili hayana tija kwa yoyote.
 
Nyie wenye hamuwezi kupata corona endeleeni kujivinjari.
Kwa hiyo video ya jana wameanza kuamka, walikua wanafahamika kwa uwoga sana yaani "keyboard warriors", nimeshangaa sana kuona wamejitokeza kihivyo licha ya mikwara, halafu nimesoma sehemu kwamba huyo huyo Tundu Lissu atahudhuria sherehe ya kutoa heshima kwa jeneza la Mkapa na maelfu ya Watanzania wako tayari kumiminika huko, aisei hayo matukio yenu yananikumbusha mbali sana wakati Wakenya walikua wanaanza kuamka, zaidi ya miaka 20 iliyopita.

Naona wana Lumumba mtakua na kazi ngumu sana, sijui hata kwanini mpo huku kwenye jukwaa la Wakenya, mngeenda kupambana kwenye majukwaa yenu ya siasa mjaribu kupooza moto wa Lissu.
Subjectivity haitowasaidia ktk kila jambo.
 
Kama kungekuwa na EAC federal government, top brass ingekuwa hivi:

President: Uhuru Kenyatta

VP: Bob Wine au Tundu Lissu au Zitto Kabwe

PM: Paul Kagame au Freedom Mbowe au John P Magufuli
Peleka hii mada kenya af jibu utalipata [emoji3][emoji3]
 
Mungu awasaidie kama alvyotusadia Tanzania. Hakuna kinachofichwa, ni utukufu wa Bwana umetufunika!
 
Kasema kweli. Tanzania sio kwamba hakuna Coronavirus,bali hakuna taarifa zinazohusu Coronavirus. Hawapimi wala hawatoi taarifa. Ignorance is bliss.

Sometimes not knowing all the facts about Coronavirus is better. Maana Panic inaua kuliko Coronavirus yenyewe.
Alafu hawajui hayo mapokezi ya Lisu bado walimobilise Tanzania nzima network ya ofisi na viongozi, bado turn up ilikuwa kama vile.
 
Hili ni janga la kisayansi linapaswa kushughulkiw kisayansi sio hayo matamko yasiyokua na mantiki na mifano sijui ya nyoka wala nini.

Tatizo ni Wazungu wakishawachanganya bongo zenu mnaami everything. Kwani hii mitishamba tunayotumia sio sayansi? Hivi hujui hii mitishamba ndio wazungu unaowaabudu wanayoitumia ktk sayansi yao in otherways? Badilisha mtazamo ninyi wakenya la sivyo mtapata tabu sana
 
Back
Top Bottom