Rais Uhuru Kenyatta: Wakenya hawapaswi kujilinganisha na mataifa yanayoficha taarifa za COVID-19

Rais Uhuru Kenyatta: Wakenya hawapaswi kujilinganisha na mataifa yanayoficha taarifa za COVID-19

Aliyasema hayo baada ya Wakenya kumtaka alegeze masharti ya Covid-19 wakitolea mfano wa Tanzania ambayo imelegeza masharti ya Covid-19 kwa kiasi kikubwa kama siyo kuyaondoa kabisa.

Kenyatta aliwaambia Wakenya kuwa Kenya ni nchi ya kidemokrasia ambapo uhuru wa habari ni mkubwa na hivyo wasijilinganishe na nchi ambazo hazina uhuru wa habari na ambazo zimekuwa zikificha taarifa za mwenendo wa Covid-19.

Chanzo cha habari hii kimeongeza kuwa kwa mara ya mwisho Tanzania ilitoa taarifa za covid-19 tarehe 29 April, 2020; na waandishi wamepata msukosuko mkubwa walipojaribu kuandika ukweli wa maambukiziya Covid-19 nchini

Kenya imerekodi visa 17,975 vya maambukizi ya covid-19, vifo 285 huku wagonjwa 7,833 wakipona.
 
Wanaotangaza na wasiotangaza, tofauti yao ikoje?

Huwezi kusema NEW CASES kwa siku ni 15,000+ halafu FATALITIES tangu ugonjwa uingie ni 500+, kisha ukaogopa kwamba eti ni tishio duniani.

Records zinaonesha NJAA inaua zaidi ya ugonjwa wowote duniani, tena kila baada ya sekunde wanadondoka watu.

Wao na SA waendelee tu kupimana tu, watangaziane, sisi huku uswahili hali ni shwari haswaa. Mpaka sasa hatujafunga shule hata moja na hakuna hivyo vifo, kama ni kuumwa na kupona, ndio zetu.
 
Ila Tanzania Uhuru wa vyombo vya habari ni mkubwa sana, ndo maana habari za msiba wa rais Mstaafu BM Mkapa, zimeandikwa pasi kikwazo chochote.
 
Kenyatta anapaswa kudili na corona kwa njia anazojua yeye mwenyewe. Aache kulalamika. Wananchi wake wanamacho, wanaakili, wanaona na wanasikia kila kitu kilichopo Tanzania. Huku tz hakuna corona hata chembe, huo ndio ukweli na wakenya msijaribu kutuletea corona yenu hapa.
Wacha kudanganya ulimwengu wewe! Watu wanakufa kila kuchao; eti hamna korona!
 
Tatizo unapochukua pesa za watu ni lazima huwaonyeshe kua unafanya kazi, hapo Uhuru anajaribu kuwafurahisha EU na USA amabao wamefadhili hizo COVID funds.
Na Magufuli anawafurahisha wanani kwa kuficha korona?
 
My brother, haya mapokezi ya Lisu unaweza kuyalinganisha na mafuriko ya 2015? Kama ni kuamka waTZ waliamka kipindi kile sio leo, na mikwara haijaanza leo ilikuwepo siku nyingi tu. In short yalikuwa ya kawaida sana, yani hata foleni hayakuleta, enzi zile za Lowasa haikuwa hivi.

Kama mchangiaji mmoja alivyosema, wTZ hatukurupuki tu na kuanza kuandamana, tuna ustaarabu wetu na tuna njia zetu za kufikia tunalotaka, mfano mrahisi tu, wajumbe wa CCM ambao wamepiga kura za kuchagua wagombea ubunge na udiwani wanawakilisha waTZ wengi sana, na umeona mwenyewe walichofanya, haikuhitajika maandamano bali ilikuwa ni sanduku la kura limeamua.

Sitataka kuongelea kuhusu kufeli kwa Demokrasia ya Kenya, bali kwa leo naona niseme tu, kwenye hili suala la Korona, majirani sijui hata kama mnajua mnachofanya, kinachouma zaidi kuna mikopo inabidi mlipe.. lakini haidhuru, nyie ni mido inkamu kantri so mnaweza kukopa zaidi.
Si afadhali Kenya wanajitahidi, sisi tumekaa tu tukijidai hakuna korona kumbe watu wanakufa kila leo, tunaficha ukweli!
 
Ila takwimu anazotoa zinaongeza hofu, atafute namna ya kuzitoa. Ajue korona tutaishi nayo kama ukimwi.
 
Aendelee tu na curfews, restrictions na borders' shutdown mpaka apate dawa au chanjo. That might happen in 2023.
 
#truth.
Isiwe kama Tanzania wanaodai coronavirus imeisha kumbe inaua mitaani.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
On the same page UK, very well said.

Rais Uhuru Kenyatta amesema Wakenya hawatakiwi kujilinganisha na mataifa yasiyo uhuru wa habari na ambayo yamekuwa hayatangazi taarifa za CoronaVirus

Amesema wananchi wanatakiwa kufurahia kuwa Serikali haifichi kitu chochote na imekuwa ikiwaambia wananchi ukweli kuhusu hali ya mlipuko huo

Kauli yake inakuja kufuatia baadhi ya Wakenya mitandaoni kusema nchi hiyo inapaswa kulegeza masharti ya kudhibiti maambukizi kama Tanzania

Ameeleza kuwa, Kenya ni nchi ya kidemokrasia na vyombo vya habari vipo huru hivyo haiwezi kuficha taarifa. Nchi hiyo imerekodi visa 17,975 na vifo 285 huku wagonjwa 7,833 wakipona hadi sasa

===

- President Uhuru said Kenyans should be proud that the government was not sweeping anything under the carpet but was telling its citizens the truth about the pandemic

- Uhuru said Kenyans should not compare themselves to countries which had limited media freedom and had kept COVID-19 information under wraps

- This came after some Kenyans opined on social media that Uhuru should ease measures like Tanzania

- The John Magufuli-led nation last updated its COVID-19 statistics on April 29 and journalists have faced harassments and arrests for reporting on coronavirus

President Uhuru Kenyatta has asked Kenyans not to compare themselves with countries which are keeping COVID-19 information under wraps.

Uhuru said Kenya was a democratic country and media freedom was paramount and thus could not hide any pertinent information about the pandemic which has infected 17,975 patients in the country as of Monday, July 27.

Source: Uhuru says Kenya cannot hide COVID-19 information like other countries
 
Hicho ndicho kinachoendelea. Tumeshadanganywa kwamba COVID19 haipo Tanzania lakini ukweli ni kwamba bado vifo vinatokea na kudaiwa wamekufa kwa ugonjwa wa kubana mbavu kumbe ni COVID19.

#truth.
Isiwe kama Tanzania wanaodai coronavirus imeisha kumbe inaua mitaani.
 
Rais Uhuru Kenyatta amesema Wakenya hawatakiwi kujilinganisha na mataifa yasiyo uhuru wa habari na ambayo yamekuwa hayatangazi taarifa za CoronaVirus

Amesema wananchi wanatakiwa kufurahia kuwa Serikali haifichi kitu chochote na imekuwa ikiwaambia wananchi ukweli kuhusu hali ya mlipuko huo

Kauli yake inakuja kufuatia baadhi ya Wakenya mitandaoni kusema nchi hiyo inapaswa kulegeza masharti ya kudhibiti maambukizi kama Tanzania

Ameeleza kuwa, Kenya ni nchi ya kidemokrasia na vyombo vya habari vipo huru hivyo haiwezi kuficha taarifa. Nchi hiyo imerekodi visa 17,975 na vifo 285 huku wagonjwa 7,833 wakipona hadi sasa

===

- President Uhuru said Kenyans should be proud that the government was not sweeping anything under the carpet but was telling its citizens the truth about the pandemic

- Uhuru said Kenyans should not compare themselves to countries which had limited media freedom and had kept COVID-19 information under wraps

- This came after some Kenyans opined on social media that Uhuru should ease measures like Tanzania

- The John Magufuli-led nation last updated its COVID-19 statistics on April 29 and journalists have faced harassments and arrests for reporting on coronavirus

President Uhuru Kenyatta has asked Kenyans not to compare themselves with countries which are keeping COVID-19 information under wraps.

Uhuru said Kenya was a democratic country and media freedom was paramount and thus could not hide any pertinent information about the pandemic which has infected 17,975 patients in the country as of Monday, July 27.

Source: Uhuru says Kenya cannot hide COVID-19 information like other countries
Kama kungekuwa na EAC federal government, top brass ingekuwa hivi:

President: Uhuru Kenyatta

VP: Bob Wine au Tundu Lissu au Zitto Kabwe

PM: Paul Kagame au Freedom Mbowe au John P Magufuli
 
Back
Top Bottom