Aliyasema hayo baada ya Wakenya kumtaka alegeze masharti ya Covid-19 wakitolea mfano wa Tanzania ambayo imelegeza masharti ya Covid-19 kwa kiasi kikubwa kama siyo kuyaondoa kabisa.
Kenyatta aliwaambia Wakenya kuwa Kenya ni nchi ya kidemokrasia ambapo uhuru wa habari ni mkubwa na hivyo wasijilinganishe na nchi ambazo hazina uhuru wa habari na ambazo zimekuwa zikificha taarifa za mwenendo wa Covid-19.
Chanzo cha habari hii kimeongeza kuwa kwa mara ya mwisho Tanzania ilitoa taarifa za covid-19 tarehe 29 April, 2020; na waandishi wamepata msukosuko mkubwa walipojaribu kuandika ukweli wa maambukiziya Covid-19 nchini
Kenya imerekodi visa 17,975 vya maambukizi ya covid-19, vifo 285 huku wagonjwa 7,833 wakipona.
Kenyatta aliwaambia Wakenya kuwa Kenya ni nchi ya kidemokrasia ambapo uhuru wa habari ni mkubwa na hivyo wasijilinganishe na nchi ambazo hazina uhuru wa habari na ambazo zimekuwa zikificha taarifa za mwenendo wa Covid-19.
Chanzo cha habari hii kimeongeza kuwa kwa mara ya mwisho Tanzania ilitoa taarifa za covid-19 tarehe 29 April, 2020; na waandishi wamepata msukosuko mkubwa walipojaribu kuandika ukweli wa maambukiziya Covid-19 nchini
Kenya imerekodi visa 17,975 vya maambukizi ya covid-19, vifo 285 huku wagonjwa 7,833 wakipona.