Hakuna kinachopiganiwa hapo zaidi ya maslahi ya wanasiasa
Walisifia nchi jirani wakati wa uchaguzi eti katiba mpya sasa kinachotokea huko siyo katiba mpya bali kitabu kipya
Walisifia nchi jirani wakati wa uchaguzi eti katiba mpya sasa kinachotokea huko siyo katiba mpya bali kitabu kipya
Ni ujinga pamoja na ubinafsiKuna Majitu MAJINGA MNOOO.
Na kuhakikishia Nia ya akina heche sio nzuri
Mnachopigania hapo mkate lakini nawaambieni nitaweka zuio mahakamani
Mnatuingiza kwenye vurugu ili mgawane keki tafuteni keki kwa njia sio vurugu
Kuna wakati mwingine manamba walimshangilia mkoloni ..wanasiasa wasikufanye manamba nchi Iko salama
Nchi Iko sehemu salama kabisa chini ya katiba hii iliyopo
Katiba mpya ni madai ya CDM vyama vingine wanafuata mkumbo ili siku mtu akitaka kwenda CDM apokelewa sababu katiba iliyopo haina ubaya kama unaosemwa kikubwa vyama pinzani wanaona kupata nafasi zingine ubunge ushakuwa kazi sana kutokana na kuwa na ushawishi mdogo kwa wananchi fikiria kama Mwenyekiti wa CDM amekosa jimbo sasa wanachofanya ni kutanua wigo wa kupata nafasi zingine kama u DC u kuu wa mkoa, ukurugenzi na nafasi ya katibu tawala pia wanataka nafasi ya u waziri kwamba Mh. Asiteue hao watu wapigiwe kura sasa wananchi tutakuwa tunafanya shughuli gani kila siku ni uchaguzi. Madai ya katiba mpya ni tamaa za madaraka za wapinzani wanaona CCM kama wanafaidi kumbe hata wakipigiwa kura kwenye hizo nafasi bado watakosa tu mfano mdogo tu kama udiwani ndani ya kata tu mnashindwa kushawishi wananchi ndio mtaweza wilaya au mkoa mnacheza nyie. Wananchi hawana shida na katiba iliyopo kama marekebisho ni madogo madogo sana tusisemee watu maneno ambayo hawajasema kama mnataka ukuu wa mkoa na wilaya nendeni mkaombe sio kushinikiza Serikali iliyopo madarakani mambo yenu binafsi.
Katiba mpya ni madai ya CDM vyama vingine wanafuata mkumbo ili siku mtu akitaka kwenda CDM apokelewa sababu katiba iliyopo haina ubaya kama unaosemwa kikubwa vyama pinzani wanaona kupata nafasi zingine ubunge ushakuwa kazi sana kutokana na kuwa na ushawishi mdogo kwa wananchi fikiria kama Mwenyekiti wa CDM amekosa jimbo sasa wanachofanya ni kutanua wigo wa kupata nafasi zingine kama u DC u kuu wa mkoa, ukurugenzi na nafasi ya katibu tawala pia wanataka nafasi ya u waziri kwamba Mh. Asiteue hao watu wapigiwe kura sasa wananchi tutakuwa tunafanya shughuli gani kila siku ni uchaguzi. Madai ya katiba mpya ni tamaa za madaraka za wapinzani wanaona CCM kama wanafaidi kumbe hata wakipigiwa kura kwenye hizo nafasi bado watakosa tu mfano mdogo tu kama udiwani ndani ya kata tu mnashindwa kushawishi wananchi ndio mtaweza wilaya au mkoa mnacheza nyie. Wananchi hawana shida na katiba iliyopo kama marekebisho ni madogo madogo sana tusisemee watu maneno ambayo hawajasema kama mnataka ukuu wa mkoa na wilaya nendeni mkaombe sio kushinikiza Serikali iliyopo madarakani mambo yenu binafsi.
Mama ni wale kama jk wanasema ukitaka kula lazima uliwe. Ukweli hatuna haja ya katiba mpya ila marekebisho ya hapa na pale. Mama anaunda tume kama uyoga kuwapa watu kula tu. Hadi natamani na kuona wivu huu ulaji anatoa mama. Ukweli hakuna tija yoyote ila kutuliza watu kwa kuwahonga.
Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..
Wengi wapeAsalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..