Rais umewasikiliza wanaotaka katiba mpya! Je, sisi tusiotaka katiba mpya utatusikiliza lini? Tuna hoja!

Rais umewasikiliza wanaotaka katiba mpya! Je, sisi tusiotaka katiba mpya utatusikiliza lini? Tuna hoja!

Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..
..........pole mkuu naona unapopolewa mawe na wadau Kwa kuwa na mtazamo tofauti na wao.......hii ndo jf inayodaiwa kuwa ni free to talk openly lakini kumbe nyuma ya pazia watu wanataka uzungumze wanachokipenda wao, ubaguzi na kutotendeana haki kunaanzia humu hata kabla ya wenye mamlaka tunaowalalamikia kila siku........ ........humu ukitaka uonekane una akili unatakiwa uikosoe serikali kila siku, uipende chadema tu, udai katiba au umkashifu hayati Magu......
 
Katiba sio dini yetu kama Taifa, uliwahi kuona wapi dini inafanyiwa marekebisho??
Hii katiba ya 1977 ni ya nne tangu Tanganyika na Tanzania kuwepo. Tunahitaji mpya ya tano sasa.
Katiba ndio Dini yetu Kama Taifa.Unaposema wewe ni Mtanzania rejea ya utanzania inakuwa inaanzia kwenye Katiba na si penginepo popote.
 
Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya.

Wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii.... nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii...

Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya!! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini? Hatutaki kabisa katiba mpya!! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake!

Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu!! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu...

Asanteni

Pia soma: Serikali: Mchakato wa Katiba Mpya na maboresho ya Sheria ya vyama vya Siasa na Uchaguzi, sasa kuanza
NI MJINGA TU NDIO HATAKI KATIBA MPYA
 
Tofautisha maandamano na ubora wa katiba. Kenya kesi ya u haguzi wa Rais ilichukua siku tano, ila bongo kesi ya ubunge wa akina Halima Mdee itachukua miaka mitano.
Kwa hiyo mnataka kwa ajili ya akina mdee
 
Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya.

Wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii.... nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii...

Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya!! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini? Hatutaki kabisa katiba mpya!! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake!

Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu!! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu...

Asanteni

Pia soma: Serikali: Mchakato wa Katiba Mpya na maboresho ya Sheria ya vyama vya Siasa na Uchaguzi, sasa kuanza
Duuh hivi ni amani au utulivu??
Unaogopa migogoro au unapenda kukandamizwaa??
 
Kwamba Rais naye apoteze muda kusikiliza maoni ya vichaa wakati maoni yenu nyinyi Wapumbavu yatachukuliwa kutoka kwa Madaktari wenu wao ndio wanaweza kutafsiri ujinga wenu.
Mnajaribu kumuweka mfukoni lakini hamtaweza
 
Wanaotaka katiba mpya wamejitokeza hadharani na kuidai, na wanafahamika waziwazi. Je nyie msiotaka katiba mpya kwanini hamjitokezi muipinge hadharani?
Ndio tumeanza Sasa tunaratibu Mikutano tutatembea nchi kuwaambia wananchi katiba mpya haifai
 
Mkuu Mganguzi kwanza nikupongeze kwa kuwa na maoni tofauti na lazima tuheshimu kwa kuwa Kila mtanzania anauhuru wa kutoa maoni yake.

Ila napata mashaka kwamba hata hii katiba ya Sasa Bado hauijui na ndio maana huwezi kuona mapungufu yake, kwa upana wa katiba hii lakini wewe umeona jambo moja tu AMANI. Ni kweli AMANI ni jambo muhimu lakini hii katiba ya Sasa inamengi sana yanayokandamiza hiyo AMANI unayoizungumzia.

Ushauri; Kabla hatujaanza kujibizana kwa hoja tumia muda kwanza kupitia katiba ya Sasa ya nchi halafu Rudi ulete neno.

Alamsik.
Wewe umeongea pointi na kiutu uzima, bila Shaka utakuwa Mzee mwenzangu Asante kwa maoni mazuri sana
 
Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya.

Wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii.... nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii...

Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya!! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini? Hatutaki kabisa katiba mpya!! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake!

Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu!! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu...

Asanteni

Pia soma: Serikali: Mchakato wa Katiba Mpya na maboresho ya Sheria ya vyama vya Siasa na Uchaguzi, sasa kuanza
Mmmh ! Waendelee kupongezana tu wa upande ule ? Au iwepo serikali ya mseto ??!
 
Unajipinga mwenyewe. Unataka Katiba ifanyiwe marekebisho ila hutaki katiba mpya kisa wanatume watalipwa pesa?. Huo ni wivu tu. Mbona miaka michache iliyopita watu waliunga juhudi na Uchaguzi ulikuwa unafanyika kila siku?. Mbona hukuhoji Hilo?

Mbona katiba iliandikwa mwaka 1977 hamkulalamika? Ikaja kufanyiwa marekebisho makubwa 1984 hamkulalamika? Imefanyika marekebisho mpaka 2005. Sasa kwanini tufanye marekebisho baadla ya kuandika mpya. Mnataka nchi iende kibabe kwa maslahi ya Nani?.
Katiba iliyopo mpaka hatujaona madhara yake Bali amani yetu imekuwa tunu katiba hii Ingekuwa mbaya tusingefika hapa
 
Acha upotoshaji, katiba mpya sio ya wanasiasa pekee, wanasiasa au CHADEMA, wanaonekana mbele kwasababu Katiba inaanza na political process. Ila katiba inajumuisha makundi yafuatayo.

1. Wakulima
2. Wafanyakzi
3. Wafanyabiashara
4. Walemavu.
5. Wanafunzi.
6. Wanasiasa.
7. Wazee.
8. Wanawawake
9. Watoto.
10. Wasiojiweza.
11. Wanamichezo.
12. Wasanii.
13. Wanataaluma.

Pia, katiba mpya sio kwaajili ya udc au ubunge Bali inajumuisha mambo mengi. Kama.

1. Muuondo wa muungano.
2. Haki za binadamu.
3. Maadili ya taifa.
4. Uchumi.
5. Ushirikiano wa kimataifa.
6. Kodi na mapato ya taifa.
7. Rasilimali za nchi.
8. Wajibu wa kila Raia.
9. Wajibu wa serikali.
10. Mahakama
11. Bunge.
12. Mamlaka ya nchi.
13. Vyombo vya ulinzi na usalama.
14. Tume ya uchaguzi. Nk.

Kwa hivyo chadema Kama wanasiasa wait Wana haki ya kujadili mambo yanayo wahusu kwenye katiba na wengine wataingilia Kati.
Watu wanataka wapate vyeo kwa sababu ajira Yao ni siasa
 
Katiba hii ambayo DPP mficha pesa china anateuliwa kuwa jaji au katiba ipi hiyo? Ambayo spika akitoa mawazo yake anatumbuliwa? Katiba ambayo inaruhusu serikali kukopa bila kikomo? Be serious.
Hakuna nchi isiyokopa
 
Hakuna kinachopiganiwa hapo zaidi ya maslahi ya wanasiasa
Lakini wote wa pande tofauti ni watanzania na wanahaki ya kutawala !! Lakini wanaona hii katiba ndio kikwazo inawapendelea walioko madarakani! Je hiyo ni sawa kwako ??!
 
Mjinga mwingine huyu hapa. Mabadiliko madogo sawa ila kubadili kabisa ni tatizo? Wapi pameandikwa lazima Katiba mpya itamke kuwa Wakuu wa Wilaya, Mikoa wawepo achilia huo hayo mawazo yako ya kipumbavu kuwa watapigiwa kura? Kuna muda tumieni akili zenu sio matope.
HUyu sio mjinga anatoa maoni yake
 
Back
Top Bottom