Rais wa Afghanistan kakimbia nchi!

hapo usa lazima awe mpole sababu walikubaliana kwa sababu wamarekani wakizingua kidogo wamarekani wanaotoroka kabul watachijwa wote hawa jamaa sheria zao sidhani kama zitaendana na marekani
 
Hii kweli kabisa,nchi nyingi hasiwezi vita vya muda mrefu
 
jeshi mpaka USA aamue. Hiyo kitu USA kaipika. ninahisi tayari washasaliti hiyo serikali. USA hanaga rafiki
Raia wa USA ambao ndugu jamaa na marafiki zao wameuawa kwenye hiyo vita wamesha anza kuipiga pressure White house ili ieleze lengo la hiyo vita lilikua ni nini hasa?

Hii ngoma ndio kwanza inaanza,tutajua mengi.
 
Raia wa USA ambao ndugu jamaa na marafiki zao wameuawa kwenye hiyo vita wamesha anza kuipiga pressure White house ili ieleze lengo la hiyo vita lilikua ni nini hasa?

Hii ngoma ndio kwanza inaanza,tutajua mengi.
Sasa hii Vita si ilikuwa ya Bush? Kwa hiyo Biden aelezee nini hapo?
Kimsingi Biden amesema asingependa kumrithisha rais ajaye Vita.
 
Unawajua vizuri hao wanajeshi?
Hakuna wanajeshi bana,wanajeshi gani lege lege hivyo? Hakuna hata ndege za jeshi? Hakuna vifaru? Hatusikii wakipigana zaidi ya kukimbia uwanja wa vita? Kuna wanajeshi au mgambo?
 
Hakuna wanajeshi bana,wanajeshi gani lege lege hivyo? Hakuna hata ndege za jeshi? Hakuna vifaru? Hatusikii wakipigana zaidi ya kukimbia uwanja wa vita? Kuna wanajeshi au mgambo?
Migambo wamechukua nchi sasa
 
Kuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.[emoji1752][emoji1548]
 
🤔 Mh! Hapa ndio nazinduka hata mimi
 
Us and its huge doublestand they must turnabout with a new strategies against that territory
 
Mkuu, huwa nashangaa akili ya US na siwaelewi kabisa. Wametumia gharama kubwa (about USD 6 Trillion + several deaths of army pesonnel) kwenye vita nchini Afghanistan ambayo finally Taleban wameshinda. US wamepata faida gani?
 
Sasa hii Vita si ilikuwa ya Bush? Kwa hiyo Biden aelezee nini hapo?
Kimsingi Biden amesema asingependa kumrithisha rais ajaye Vita.
Vita ni ya USA na USA ni nchi ya watu sio ya raisi aliyeko madarakani au rais mstaafu,

Kwahiyo raia wasiulize kisa serikali iliyoanzisha hiyo vita haipo madarakani?
 
Mkuu, huwa nashangaa akili ya US na siwaelewi kabisa. Wametumia gharama kubwa (about USD 6 Trillion + several deaths of army pesonnel) kwenye vita nchini Afghanistan ambayo finally Taleban wameshinda. US wamepata faida gani?
US hapo wamepata mara 100 ya hizo dola walizotumia!

Ndio mana mimi nikionaga wapinzani wanawashobokea hawa weupe napata hasira sana!

Ni kweli tawlaa zetu hasa waafrika zina shida, ila nikiona watu kama Lisu wameenda kwa hawa beberu kutafuta sapoti huwa nawadharau sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…