BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,043
Mkuu, Afghanistan wana rasilimali gani hadi waweze kuwalipa USD 6 trillion x 100?US hapo wamepata mara 100 ya hizo dola walizotumia!
Ndio mana mimi nikionaga wapinzani wanawashobokea hawa weupe napata hasira sana!
Ni kweli tawlaa zetu hasa waafrika zina shida, ila nikiona watu kama Lisu wameenda kwa hawa beberu kutafuta sapoti huwa nawadharau sana.
We unadhani US wanawapenda sana Waafghanistan mpaka waende kupoteza hela zote hizo bure tu?Mkuu, Afghanistan wana rasilimali gani hadi waweze kuwalipa USD 6 trillion x 100?
Walipiga pressure hata lengo la vita ya Iraq,si unakumbuka hata Tony Blair aliwekwa kitimoto na bunge aeleza kwa nini alipeleka vijana Iraq wakafe?.Raia wa USA ambao ndugu jamaa na marafiki zao wameuawa kwenye hiyo vita wamesha anza kuipiga pressure White house ili ieleze lengo la hiyo vita lilikua ni nini hasa?
Hii ngoma ndio kwanza inaanza,tutajua mengi.
Kwa sasa US ana uhakika na ushawishi wake ndio mana anaachia Urusi sasa. Ila matokeo yatakuwa mabaya zaidi kwa Marekani baadaeWalipiga pressure hata lengo la vita ya Iraq,si unakumbuka hata Tony Blair aliwekwa kitimoto na bunge aeleza kwa nini alipeleka vijana Iraq wakafe?.
Ila baadae mambo yalipoa na hakuna mtu anauliza tena,so hata hili litapoa tu.
Kikubwa vita ya Afghanistan ilikuwa haina maslahi yyte kwa marekani na NATO hata wanajeshi walikuwa washachoka na kukata tamaa,so lazima wangesitisha vita tu.
Umeingia utawala wa kiislam,watatumia sheria za dini kama katiba,yaani watu watabata amsha amsha baraaaaInamaana hyo nchi haina jesh
Jaman?
unadhani wataweza watashindana na USA!!???Raia wa USA ambao ndugu jamaa na marafiki zao wameuawa kwenye hiyo vita wamesha anza kuipiga pressure White house ili ieleze lengo la hiyo vita lilikua ni nini hasa?
Hii ngoma ndio kwanza inaanza,tutajua mengi.
Ndo wanawake wataambiwa hakunaUmeingia utawala wa kiislam,watatumia sheria za dini kama katiba,yaani watu watabata amsha amsha baraaaa
Raia niliowaongelea ni raia wa US ambao ndugu,jamaa na marafiki zao walikufa kwenye hiyo mission huko Afghan.unadhani wataweza watashindana na USA!!???
Mkuu tuwekee hapa hayo makubaliano ili na sisi tuyajue.America siyo mjinga kuna makubaliano tu yaliyofanyika na Taleban hawawezi kuondoka wakamuacha ADUI yao kuwa madarakani
Nawakubali Sana Hawa wajuba, Hamas na Hezbollah,....Hawa wanapgania taifa ...Ila alshabab sijui isis na m23 ni majambaz thapo usa lazima awe mpole sababu walikubaliana kwa sababu wamarekani wakizingua kidogo wamarekani wanaotoroka kabul watachijwa wote hawa jamaa sheria zao sidhani kama zitaendana na marekani
Ni moja la kosa kubwa sana alilolifanya Biden katika utawala wake,kama angemsikiliza yule Generali wake wala yasingetokea haya yoteKuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.[emoji1752][emoji1548]
Hmm??US hapo wamepata mara 100 ya hizo dola walizotumia!
Ndio mana mimi nikionaga wapinzani wanawashobokea hawa weupe napata hasira sana!
Ni kweli tawlaa zetu hasa waafrika zina shida, ila nikiona watu kama Lisu wameenda kwa hawa beberu kutafuta sapoti huwa nawadharau sana.
Nmemuonea huruma mama mmoja alikuwa waziri wa elimu ila anasema kutokana na hatu hiyo ya rais kukimbia nchi itamgharimu yeye mama kwa kuwa aliiunga mkono serikali.
Taliban siyo wabaya ila mibaya ni ile misimamo yao mfano wanawake hawatakiwa hata kwenda shule
Jenerali yupi?Ni moja la kosa kubwa sana alilolifanya Biden katika utawala wake,kama angemsikiliza yule Generali wake wala yasingetokea haya yote
Una uhakika au unasadiki tu?America siyo mjinga kuna makubaliano tu yaliyofanyika na Taleban hawawezi kuondoka wakamuacha ADUI yao kuwa madarakani
So shule nia hiyari yako [emoji23][emoji23]Nchi ikiendeshwa kwa sheria ya dini ni nzuri zaidi, rushwa, ukandamizaji kwa wananchi haitakuwepo, haki sawa kwa kila mutu na maisha yatakuwa mazuli sana, amani itakuwepo. (Kusoma dini ndio kipaumbele na ndio itakusaidia hapa duniani na kesho akhera) Kuhusu shule uislamu haukatazi mtu kusoma shule, labda walete sheria zao.
Hmm??
Wamepata nini sasa? Ushahidi wa walichokipata, ukiacha sadiki, ni upi?
Marekani wamechemka. Wamekaa huko miaka 20.
Maelfu ya askari wao wamekufa.
Wamesaidia kuunda jeshi na wametumia mahela mengi kweli na mwishowe jeshi hilo limeyeyuka!
Mwisho wa siku Taliban wamerudi madarakani.
Hakuna chochote ambacho Marekani imefaidika nacho hapo.
Huo ndo ukweli. Mengine ni nadharia njama na usadiki tu.
Marekani huwa haipatii kila kitu. Kuna mengine hukosea.