TANZIA Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
Apumzike kwa amani mzee wetu, hana deni kwa watanzania maana alifanya kila kitu kilicho ndani ya uwezo wake katika kuwaondoa watanzania katika dimbwi la umaskini..

Lala salama mzee wetu kazi umeimaliza na uliwatendea haki watanzania wote kwa kugusa maisha ya kila mtu..
 
Back
Top Bottom