Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Rest In Peace Mzee Mwinyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ata azam tv wametoa taharifaRip..
Chanzo cha taarifa?
Nilisikia kilishahapen muda tangu Low hajazikwa walikua wanasubiria tu lile lipoe poe
Yaani wakufiche kifo Cha mwinyi ili iweje!?Ndio leo wameamua kutupa taarifa.
Rip Ali Hassan Mwinyi
Hivi wewe.kichwani huwa una nini?Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita...
Kulia ama kumlilia mtu hakuhusiani na umri wake, ni ule uchungu wa kuondokewa na marehemu ukikumbuka mema aliyowatendea na pia hamtaonana tena milele na milele!Bado kuna watu watajifanya kulia, sijui wanataka aishi hadi lini
Ww unatumia nini kufikiria?Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika...
Masikini Mzee wa watu, apumzike kwa amani.Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia.
Taarifa hii imetolewa usiku huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2920484