TANZIA Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.

Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.
Ww utaole lwa
 
Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.

Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka nimeona aibu. Huna uchungu hata na msiba wa mzee Mwinyi ? Umemsifiaa samia mwanzo mwisho bila hata kumkumbuka marehemu kwa mazuri yake. Kweli pepo ngumu machawa mna kazi.
 
Back
Top Bottom