Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Pumzika kwa Amani Babu......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekurupuka ni wewe zwazwa.Kwanini usingoje unaleta upumbavu kwenye msiba.Punguani wahedi.Wewe ndio mjinga, kabla ya Rais kuhutubia Taifa ilikuja taarifa ya breaking news, haikuwa imewekwa wazi kama ni msiba.
Ukome kukurupuka siku nyingine.
Mzee wa watu hakuwa na makuu!Innalilah wainnailah Rajiun.View attachment 2920481
Kuna kitu sijaelewa hapa..
Yeye uzuri alitubu akiwa hai kuuza loliondo.ila mama tunqsubir ya kuuza bandarAlale mahala pema peponi mzee Mwinyi hakua na ubaya na mtu , alikua mchamungu na mpenda Haki.
Hili bango lako lina uhusiano gani na kifo cha mzee Mwinyi?Apumzike kwa amani mzee wetu.han deni kwa watanzania maana alifanya kila kitu kilicho ndani ya uwezo wake katika kuwaondoa watanzania katika dimbwi la umaskini..lala salama mzee wetu kazi umeimaliza na uliwatendea haki watanzania wote.
Mkuu mbona unaandika mambo yasiohusiana na threadTunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.
Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.
Samahani Niliandika kabla ya kutangazwa kwa kifo cha mzee wenu na tayari nimeshabadilisha. Rudi ukaangalie post yanguUshaanza kuvimba bichwa sasa.
kwahio nahuu msiba mama ndio kasababisha?Apumzike kwa amani mzee wetu.han deni kwa watanzania maana alifanya kila kitu kilicho ndani ya uwezo wake katika kuwaondoa watanzania katika dimbwi la umaskini..lala salama mzee wetu kazi umeimaliza na uliwatendea haki watanzania wote.
Acha wapelekewe motoMzee makamba amefuta Ike kauli yake au bado inasimama?
SahihiWaislmu huwa Wana Muda wa kupoteza huwenda kesho akazikwa jioni ktk makaburi ya kwaomkuranga
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app