TANZIA Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
IMG_9741.jpeg
 
hii dunia inatufunza nini?

halafu ukute kuna mtu anafanya uovu ili watoto wake waje waishi Maisha mazuri kupitia udhulumaji wake, yaani mpaka unamjengea na nyumba na gari kabisa kupitia dhulma, mwishowe unaondoka na hata huoni tena watoto wako wakiponda raha ambazo ww ndo umewatafutia kwa kudhulumu wengine. tunakumbushana tu. mimi siwezi kuhuzunika kwasababu huyo marehemu hakuwa na shida au dhiki yoyote hapa duniani,
 
Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.

Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.
Mkuu mbona unaandika mambo yasiohusiana na thread

Uzi unaongelea msiba wa Rais Mstaafu Mwinyi,Wewe unaongelea habari za Samia

Are u mentally ok?

Kuna wakati kama huna cha kuongea ni heri ukanywa maji na kulala
 
Back
Top Bottom