hii dunia inatufunza nini?

halafu ukute kuna mtu anafanya uovu ili watoto wake waje waishi Maisha mazuri kupitia udhulumaji wake, yaani mpaka unamjengea na nyumba na gari kabisa kupitia dhulma, mwishowe unaondoka na hata huoni tena watoto wako wakiponda raha ambazo ww ndo umewatafutia kwa kudhulumu wengine. tunakumbushana tu. mimi siwezi kuhuzunika kwasababu huyo marehemu hakuwa na shida au dhiki yoyote hapa duniani,
 
Mkuu mbona unaandika mambo yasiohusiana na thread

Uzi unaongelea msiba wa Rais Mstaafu Mwinyi,Wewe unaongelea habari za Samia

Are u mentally ok?

Kuna wakati kama huna cha kuongea ni heri ukanywa maji na kulala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…