Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Swala la uokoaji kumbe sio gumu hapa kwetu tu, yani hadi kumepambazuka ndio wameweza kufika eneo la tukio pamoja na kutumia chopper za night vision.
 
Habari za Ajali ya Helikopta ya Rais wa Iran:

Raisi alithibitisha kufariki kwa kuwa hakuna manusura waliopatikana katika eneo la ajali

Makamu wa Rais wa Iran Muhammad Mukhbar anatarajiwa kuchukua nafasi ya kaimu rais wa Iran.
Nyie waajemi wa kisiwandui akina Accumen Mo na rafiki yake Maghayo the Mongolian adriz Nendeni mkagombee urais jimbo lipo wazi nchini kwenu au mkikosa nafasi, mchukueni hata Malaria 2 pamoja na Ritz Mkapige kura ya kuchagua Rais wa Taifa lenu mwingine kwani huyu wa sasa keshafika kwenye mito ya Pombe anaogelea Ulanzi, pingu, komoni huku Muuza Kangala akimuuzia na Kangara bila kusahau bikra 72 wenye macho makubwa na ya Gololi wakimsubiri awashughulikie.
 
Sasa leo unajitokeza alikufa Gddaf , Saddam Hussein ,Mgufuli ulikuwa wapi ? Mbona unakuwa na fundo kweny moyo wako wakati maisha yanaendelea milele πŸ˜€ πŸ˜€.
 
Una avatar inaonyesha waislamu wana sura za nguruwe punguza chuki πŸ˜€πŸ˜€yaani ndio maana nawaambia nyie wapakwa mafuta mnafundishwa chuki , usitarajie kwamba uislamu utarudi nyuma maisha kazi inaenda dawah ipo pale pale maisha yanaendelea.
 
Haya,Mambo haya, ilikuwaje Rais akasafirishwa kwenye ndege ya kizamani, tena sio ya jeshi, maintainance yake ya mashaka, spare zake adimu,! Kuna mkono wa MTU hapa
 
Duh..

RiP Ebrahim Raisi & co..

Kwani Ben Netanyahu anasemaje?

Kauli za baadhi ya wakulungwa kufuatia hilo tukio:-

"Good riddance" is the reaction of Michael Waltz, the Republican chairman of the House Armed Services Committee.

"Raisi was a murderous human rights abuser before and during his Presidency," he wrote on X.

"If Raisi is dead, the world is now a safer & better place," Rick Scott, a Republican from Florida said on X.

"If he’s gone, I truly hope the Iranian people have the chance to take their country back from murderous dictators," he added.
 
Una avatar inaonyesha waislamu wana sura za nguruwe punguza chuki πŸ˜€πŸ˜€yaani ndio maana nawaambia nyie wapakwa mafuta mnafundishwa chuki , usitarajie kwamba uislamu utarudi nyuma maisha kazi inaenda dawah ipo pale pale maisha yanaendelea.
πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ sina avatar ya namna hiyo unanisingizia. Ngoja niiangalie.
 
Accumen Mo , Ritz , Malaria 2 , Kosugi bila kusahau inamankusweke nendeni mkagombee urais katika nchi yenu. Nafasi ipo wazi. Rais ameenda kuogelea kwenye mito ya pombe sasa na amewahi bikra 72 huko.
Uislamu hauwezi kurudi nyuma hata hapa kwenu Magufuli alikufa ila hapakuwa na haja ya kuleta udini, hii ndio chuzi zenu wapakwa mafuta sasa unajionyesha πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…