Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Nyie waajemi wa kisiwandui akina Accumen Mo na rafiki yake Maghayo the Mongolian adriz Nendeni mkagombee urais jimbo lipo wazi nchini kwenu au mkikosa nafasi, mchukueni hata Malaria 2 pamoja na Ritz Mkapige kura ya kuchagua Rais wa Taifa lenu mwingine kwani huyu wa sasa keshafika kwenye mito ya Pombe anaogelea Ulanzi, pingu, komoni huku Muuza Kangala akimuuzia na Kangara bila kusahau bikra 72 wenye macho makubwa na ya Gololi wakimsubiri awashughulikie.Habari za Ajali ya Helikopta ya Rais wa Iran:
Raisi alithibitisha kufariki kwa kuwa hakuna manusura waliopatikana katika eneo la ajali
Makamu wa Rais wa Iran Muhammad Mukhbar anatarajiwa kuchukua nafasi ya kaimu rais wa Iran.
Na badoGombana na mwingine ila sio Yahudi ππππ
Sasa leo unajitokeza alikufa Gddaf , Saddam Hussein ,Mgufuli ulikuwa wapi ? Mbona unakuwa na fundo kweny moyo wako wakati maisha yanaendelea milele π π.Nyie waajemi wa kisiwandui akina Accumen Mo na rafiki yake Maghayo the Mongolian adriz Nendeni mkagombee urais jimbo lipo wazi nchini kwenu au mkikosa nafasi, mchukueni hata Malaria 2 pamoja na Ritz Mkapige kura ya kuchagua Rais wa Taifa lenu mwingine kwani huyu wa sasa keshafika kwenye mito ya Pombe anaogelea Ulanzi, pingu, komoni huku Muuza Kangala akimuuzia na Kangara bila kusahau bikra 72 wenye macho makubwa na ya Gololi wakimsubiri awashughulikie.
Sahihi.Wanajilaza kando vijitoni wakipata maziwa.Aende atakakopangiwa
Una avatar inaonyesha waislamu wana sura za nguruwe punguza chuki ππyaani ndio maana nawaambia nyie wapakwa mafuta mnafundishwa chuki , usitarajie kwamba uislamu utarudi nyuma maisha kazi inaenda dawah ipo pale pale maisha yanaendelea.Nyie waajemi wa kisiwandui akina Accumen Mo na rafiki yake Maghayo the Mongolian adriz Nendeni mkagombee urais jimbo lipo wazi nchini kwenu au mkikosa nafasi, mchukueni hata Malaria 2 pamoja na Ritz Mkapige kura ya kuchagua Rais wa Taifa lenu mwingine kwani huyu wa sasa keshafika kwenye mito ya Pombe anaogelea Ulanzi, pingu, komoni huku Muuza Kangala akimuuzia na Kangara bila kusahau bikra 72 wenye macho makubwa na ya Gololi wakimsubiri awashughulikie.
Haya,Mambo haya, ilikuwaje Rais akasafirishwa kwenye ndege ya kizamani, tena sio ya jeshi, maintainance yake ya mashaka, spare zake adimu,! Kuna mkono wa MTU hapaTaarifa za hivi punde:
Vikosi vya uokoaji vimefika eneo ilipotokea ajali na kukuta hakuna aliyepona katika ajali hiyo.
Mabaki ya helikopta iliyopata ajali
View attachment 2994675
Makamu wa raisi Muhammad Mukhbar atakuwa raisi wa taifa hilo hadi siku 50 baadaye ambapo uchaguzi utafanyika wa kumchagua raisi mwingine.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Duh..Taarifa za hivi punde:
Vikosi vya uokoaji vimefika eneo ilipotokea ajali na kukuta hakuna aliyepona katika ajali hiyo.
Mabaki ya helikopta iliyopata ajali
View attachment 2994675
Makamu wa raisi Muhammad Mukhbar atakuwa raisi wa taifa hilo hadi siku 50 baadaye ambapo uchaguzi utafanyika wa kumchagua raisi mwingine.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
π π€£ π sina avatar ya namna hiyo unanisingizia. Ngoja niiangalie.Una avatar inaonyesha waislamu wana sura za nguruwe punguza chuki ππyaani ndio maana nawaambia nyie wapakwa mafuta mnafundishwa chuki , usitarajie kwamba uislamu utarudi nyuma maisha kazi inaenda dawah ipo pale pale maisha yanaendelea.
Uislamu hauwezi kurudi nyuma hata hapa kwenu Magufuli alikufa ila hapakuwa na haja ya kuleta udini, hii ndio chuzi zenu wapakwa mafuta sasa unajionyesha π πAccumen Mo , Ritz , Malaria 2 , Kosugi bila kusahau inamankusweke nendeni mkagombee urais katika nchi yenu. Nafasi ipo wazi. Rais ameenda kuogelea kwenye mito ya pombe sasa na amewahi bikra 72 huko.
Unaweka za kupondea uislamu soma mpaka mwisho , lazima mwanamke awe na sapot ya mwanaume kumlinda akiwa anaendesha.π π€£ π sina avatar ya namna hiyo unanisingizia. Ngoja niiangalie.
AmeshaendaMimi habari ninayoingojea ni Kusikia tu Mtu ameshaondoka Mazima duniani. Habari tazama na Mkeo na Mimi usinilazimishe.