Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Ndivyo walivyokuambia ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo walivyokuambia ??
Kwa hiyo tuseme ni inside job Mkuu?mbaya zaidi ilikumbana na changamoto yenyewe ikiwa katikati kwenye hiyo convoy
Why not you , are you the son of devilGod Bless Israel
Ayatolah Mkubwa ametangaza kuwa atasimamia mazishi ya Ayatolah mdogo Magaidi wa Houthi Magaidi wa Hezbola Magaidi wa Hamas Magaidi wa Kataib Hezbola na Magaidi wengine wadogo wadogo wakiwemo Magaidi ya ISIS watawakilishwa na Viongozi wao ambao wameambiwa wavae Hijabu Burka Baibui ili kuepuka Drones za Netanyahu.
Za jikoni👆
Ndio umeandika nini sasa 🤡Huna kazi huko uliko unasubiti sadaka Za wateja kanisani ?
Ndio hivyoNi ajali ya kawaida tu chopa ilifanikiwa kushuka taratibu
Ila nimegundua tukio lolote likitokea iran huwa lina beba attention kwa watu wengi duniani
Ndio umeandika nini sasa 🤡
Rais wa iran ni huyu ndugu aliyekufa kwa ajali ya ndege jina lake Ibrahim raisMkuu naomba unieleweshe maana sielewi, rais wa sasa ndio anaitwa Raisi huyo kwenye picha? na huyu Ayatollah ni nani? maana hua nasikia sana jina la Ayatollah na nilijua ndie rais wa nchi, kama utawea naomba na picha za wote wawili, asante
On behalf of bicha komwe hahahaOn behalf of people of Tanganyika??
Mie sijamtuma. Ajisemee mwenyewe.
Aseme tu, MIMI BIBI KIZIMKAZI natoa pole kufuatia Kifo cha Ayatolla. BASI.
Haya mambo ya ON BEHALF, kukariri kariri tu.
ON BEHALF of BICHWA KOMWE, mnipage na hela hizo basi, mseme ON BEHALF OF TANGANYIKA namkabidhi BICHWA KOMWE MILIONI MIA SITA NA NUSU.
Nimechoshwa na hizi ON BEHALF zisizo na manufaa ya kiuchumi.
Cc: Lamomy dronedrake Mzee wa kupambania Extrovert mshamba_mwingine Poor Brain Depal
Asante mkuu kwa ufafanuzi mzu
Asante piaAsante mkuu kwa ufafanuzi mzuri